Tuzioneni tozo kwa facts na namba, zinaumiza hapa wenye namba tu

Tuzioneni tozo kwa facts na namba, zinaumiza hapa wenye namba tu

inabidi tubadilike. tujifunze kuishi kwa bajeti, yaani unapanga bajeti zako za mwezi, unadraw pesa benki mara moja tu. huko benki unaacha akiba tu. Matumizi ya kila siku unachimbia nje ya nyumba. La sivyo sisi wenye vimishahara uchwara ukiwa na tabia ya kuingia atm kila wakati, utajikuta 40% ya mashahara wako umeilipa serikali
 
Rais wa Sasa amekuta Nchi haina fedha, magufuli aliharibu uchumi wa Nchi kwa miradi mfululizo na mikopo ghali ya riba kubwa na ya muda mfupi

Hiyo mikopo ya Magufuli aliyochukuwa imerekodiwa wapi? Wapi records? Mpaka Magufuli anafariki deni la Tanzania lilikuwa dogo karibia kuliko wakati wowote ule, sasa hiyo Mikopo gani unayoiongelea aliyochukuwa Maguguli? Deni la Tanzania limeongezeka kwa kiasi kikubwa sana kuanzia raisi wa sasa alivyoingia!
 
Yeye si ndiye alikuwa makamu wa Magu,Mama amefuja pesa kwa kununua maushungi na madera mengi.
Unamchukia sababu ya dini yake, ana akitoka Samia anaingia January au Ridhiwan Kikwete, wa imani yenu Ni makatili hawafai kupewa nchi
 
Rais wa Sasa amekuta Nchi haina fedha, magufuli aliharibu uchumi wa Nchi kwa miradi mfululizo na mikopo ghali ya riba kubwa na ya muda mfupi
Huu ndio ukweli wenyewe.. ila sasa huyu mama yeye hajawa smart sana. Alipaswa kubana matumizi ya serikali badala ya kuruhusu wananchi waumizwe.
 
Hiyo mikopo ya Magufuli aliyochukuwa imerekodiwa wapi? Wapi records? Mpaka Magufuli anafariki deni la Tanzania lilikuwa dogo karibia kuliko wakati wowote ule, sasa hiyo Mikopo gani unayoiongelea aliyochukuwa Maguguli?
Kumbe we kichaa, magufuli ndio Rais aliyekopa fedha nyingi,Tena za riba kubwa na zakurejesha muda mfupi,

Sasaivi serikali inapambana kulipa hiyo mikopo ya kibiashara yenye riba kubwa aliyokopa Ngosha,


Ndio sababu ya Tozo za kila namna
 
Hiyo mikopo ya Magufuli aliyochukuwa imerekodiwa wapi? Wapi records? Mpaka Magufuli anafariki deni la Tanzania lilikuwa dogo karibia kuliko wakati wowote ule, sasa hiyo Mikopo gani unayoiongelea aliyochukuwa Maguguli? Deni la Tanzania limeongezeka kwa kiasi kikubwa sana kuanzia raisi wa sasa alivyoingia!
Jamaa hebu kuwa mkweli na muungwana. Deni la taifa lilikuwa trilioni 32 mwaka 2015 na lilikuwa trilioni 58 wakati magufuli anafariki. Yaani alizidisha karibu mara mbili deni la serikali kwa miaka mitano.

Moja ya sababu iliyonifanya nimchukie sana magufuli ni tabia yake ya kusema uongo. Amekopa sana afdb, world bank, imf na mbaya zaidi mpaka mikopo kwenye mabenki ya biashara lakini majukwaani anasema hela za ndani. Watanzania kwa ujinga wao wanamuamini. Hata michango ya pssf alikuwa hapeleki hivyo deni la ndani pia liliongezeka sana.
 
Kumbe we kichaa, magufuli ndio Rais aliyekopa fedha nyingi,Tena za riba kubwa na zakurejesha muda mfupi,

Sasaivi serikali inapambana kulipa hiyo mikopo ya kibiashara yenye riba kubwa aliyokopa Ngosha,


Ndio sababu ya Tozo za kila namna

Records ziko wapi? Kila fedha inayokopwa na Serikali Deni linaonekana, sasa mpaka Magufuli anafariki debt to GDP ratio ilikuwa ndogo sana na imeongezeka baada ya Utawala huu kuingia records zipo kila mahali, …
 
Jamaa hebu kuwa mkweli na muungwana. Deni la taifa lilikuwa trilioni 32 mwaka 2015 na lilikuwa trilioni 58 wakati magufuli anafariki. Yaani alizidisha karibu mara mbili deni la serikali kwa miaka mitano.

Moja ya sababu iliyonifanya nimchukie sana magufuli ni tabia yake ya kusema uongo. Amekopa sana afdb, world bank, imf na mbaya zaidi mpaka mikopo kwenye mabenki ya biashara lakini majukwaani anasema hela za ndani. Watanzania kwa ujinga wao wanamuamini. Hata michango ya pssf alikuwa hapeleki hivyo deni la ndani pia liliongezeka sana.

Sina uhakika na data zako isitoshe hata kama ni kweli 58 siyo mara 2 ya 38 hiyo ni tofauti kubwa sana.

Sasa sema Samia kaongeza Deni kwa kiasi gani ndani ya mwaka 1?
 
Rais wa Sasa amekuta Nchi haina fedha, magufuli aliharibu uchumi wa Nchi kwa miradi mfululizo na mikopo ghali ya riba kubwa na ya muda mfupi
Hili watu hawalioni. Nilshawahi sema huko nyuma,atakayemrithi JPM atakuwa na wakati mgumu
sana na sasa linatokea
 
Sina uhakika na data zako isitoshe hata kama ni kweli 58 siyo mara 2 ya 38 hiyo ni tofauti kubwa sana.

Sasa sema Samia kaongeza Deni kwa kiasi gani ndani ya mwaka 1?
Angalia vizuri hizo namba, ni 32 mpaka 58. Yaani ongezeko la trilioni 26 kwa miaka mitano. Samia na hata magufuli mwenyewe walikopa lakini fedha zinaelekezwa kwenye maeneo ambayo sio ya uzalishaji na matokeo yake kulipa inakuwa tabu kwelikweli.
 
Kwenye hiyo 7,000 tozo ni kama 2,000 tuu the rest 5,000 ni makato ya banks..

Kwa hiyo wewe Kati ya 5,000 na 2,000 ipi kubwa?

Mwisho kwani ulikuwa hujui kwamba kufanya transactions za banks to mitandao ya simu and vice versa huwa ni ghali?

Hata kuhamisha pesa Kati ya banks tofauti ni ghali siku zote sasa hapo tozo inalaumiwa kwa lipi?

Hizo ni huduma za kufanya kwa dharura na sio regular na ndio maana hata wao wameweka makato makubwa kwa sababu Wana discourage,kwa nini utoe pesa kwao uwapelekee mitandao?

So umepigwa kwa kujitakia.
Nimetuma 100,000 kwenda tigo pesa kwa simbanking, VAT sh. 974.70, govt levy sh. 1,009.00, TMS CHARGE TIGO 5,415.00, wenye akili timamu nimekatwa sh 7,398.7 kwa transaction hii moja tu. Pesa ilitoka kwa mshahara ambao wajuba walishakata PAYE. ni 7.4%. Mwaka 2017 kwa muamala kama huu nilikuwa naktwa sh. 2,360 maana yake sh. 5,038 imeongezwa kwa kipindi cha miaka mitano. Hali ya uchumi na inflation ni kubwa sasa kuliko ilivyokuwa 2017.

Jinsi mambo yanavyokuwa magumu tigo nimetoa sh 5,000 makato ni sh. 1,010 ambayo ni 20.2% hii ni zaidi ya 18% VAT. Tujuzane hapa mambo haya ya kukatana pesa tulizotolea jasho yataisha lini? Kwanini mnatukata kwa kiasi hiki kwa value ipi mnayotuongezea? Wale ambao mnalipwa kwa kushadadia na kujibu humu hata hili na nyie linawagusa pia, twendeni kwa namba kwanza.

Maisha sasa ni ghali mno na watunga sera lazima wawe flexible, kama mashirika ya kimataifa yanaona hali ngumu na kutoa nafuu kwa nini hawa viongozi wetu wanaweka pamba masikioni na kulazimisha kuendelea na mipango yao tu?! Maana hata midege tumelazimishwa kuyanunua bila kuona hali halisi na midude inaleta hasara. Reli toka waanze kujenga hawamalizi tu(Dar, Moro tu) politiks kila kukicha na wanatutwisha gharama bila sababu matokeo yake hata makampuni ya simu na yao yanatupiga pia.
 
Angalia vizuri hizo namba, ni 32 mpaka 58. Yaani ongezeko la trilioni 26 kwa miaka mitano. Samia na hata magufuli mwenyewe walikopa lakini fedha zinaelekezwa kwenye maeneo ambayo sio ya uzalishaji na matokeo yake kulipa inakuwa tabu kwelikweli.

Kwa nini hautaki kusema Samia amekopa shilingi ngapi ndani ya mwaka 1? Weka namba kama ulivyoweka kwa Magufuli pamoja na kwamba haujaweka kielelezo, isotoshe bado 58 siyo mara 2 ya 32, kuna tofauti!
 
Kwa nini hautaki kusema Samia amekopa shilingi ngapi ndani ya mwaka 1? Weka namba kama ulivyoweka kwa Magufuli pamoja na kwamba haujaweka kielelezo, isotoshe bado 58 siyo mara 2 ya 32, kuna tofauti!
Huyo Samia mimi namuona yuko incompetent na ameshakopa karibu trilioni 10 mpaka sasa.

Yote kwa yote magufuli ndio alianzisha huu ujinga wa kuharibu uzalishaji na uwekezaji na kujikita kwenye mikopo.

Huyo mama karithi tatizo ambalo hana uwezo wa kulitatua hasa ukiweka vita ya ukraine pamoja na athari za covid.
 
Kumbe we kichaa, magufuli ndio Rais aliyekopa fedha nyingi,Tena za riba kubwa na zakurejesha muda mfupi,

Sasaivi serikali inapambana kulipa hiyo mikopo ya kibiashara yenye riba kubwa aliyokopa Ngosha,


Ndio sababu ya Tozo za kila namna
Wewe ni mpumbavu hauko informed,unachanganya mahaba ya dini na taasisi ya urais.
 
Huyo Samia mimi namuona yuko incompetent na ameshakopa karibu trilioni 10 mpaka sasa.

Yote kwa yote magufuli ndio alianzisha huu ujinga wa kuharibu uzalishaji na uwekezaji na kujikita kwenye mikopo.

Huyo mama karithi tatizo ambalo hana uwezo wa kulitatua hasa ukiweka vita ya ukraine pamoja na athari za covid.

Na hizo trilioni 10 unazozisema amefanyia nini? Kwa maana hakuna nilipoona amekopa kwa ajili ya mradi wowote ule, sasa hizo trilioni 10 ndani ya mwaka 1 ziko wapi? Unaweza kuniambia zimefanya xyz?
 
Back
Top Bottom