Tuzioneni tozo kwa facts na namba, zinaumiza hapa wenye namba tu

Tuzioneni tozo kwa facts na namba, zinaumiza hapa wenye namba tu

Aseme sasa kwamba amekuta hamna fedha..mbona magufuli alisema kwamba wenzie hasa wale wawili kabla yake kwamba waliifilisi nchi...SASA YEYE ANAOGOPA KUSEMA NINI?

Ndio maana watu bado wanamuamini Nzilankende miyago mpaka leo
 
Aseme sasa kwamba amekuta hamna fedha..mbona magufuli alisema kwamba wenzie hasa wale wawili kabla yake kwamba waliifilisi nchi...SASA YEYE ANAOGOPA KUSEMA NINI?

Ndio maana watu bado wanamuamini Nzilankende miyago mpaka leo
 
Na hizo trilioni 10 unazozisema amefanyia nini? Kwa maana hakuna nilipoona amekopa kwa ajili ya mradi wowote ule, sasa hizo trilioni 10 ndani ya mwaka 1 ziko wapi? Unaweza kuniambia zimefanya xyz?
Hizo pesa zipo kwenye miradi ile ile iliyoanzishwa tangu awamu ya tano katika kuiendeleza. Tunaposema Samia amekopa maana yake ni serikali katika mipango yake.
 
Hizo pesa zipo kwenye miradi ile ile iliyoanzishwa tangu awamu ya tano katika kuiendeleza. Tunaposema Samia amekopa maana yake ni serikali katika mipango yake.

Pesa alizokopa Samia tumezisoma kwenye media zote za ndani na nje hakuna hata mahali ilipoonyesha au atleast nilipoona mimi pesa imeenda mradi xyz ulioanzishwa na Magufuli, amekopa kujenga madarasa, Airport Unguja, kujenga Ikulu Unguja na mambo mengine ya Unguja na kufadhili biashara za watu binafsi hakuna mahali niliona Samia amekopa kujenga SGR kama ipo unaweza nisahihisha, …
 
Rais wa Sasa amekuta Nchi haina fedha, magufuli aliharibu uchumi wa Nchi kwa miradi mfululizo na mikopo ghali ya riba kubwa na ya muda mfupi
Huyu alikuemo ndani na genge la minsters almost 80percent,wakati huo walikua wakila kuku kwa mrija, hivyo wote waliharibu kwa ujumla wao,na walichoharibu Wanaangushia mzigo kwa wananchi. These people are totally failed.
 
Wewe ni mpumbavu hauko informed,unachanganya mahaba ya dini na taasisi ya urais.
Nyie acheni ushabiki wa kijinga. Magufuli ndio chanzo cha mikopo ya kipumbavu inayoendelea nchini.

Screenshot_20220829-131744.png
Screenshot_20220829-131710.png
 
Pesa alizokopa Samia tumezisoma kwenye media zote za ndani na nje hakuna hata mahali ilipoonyesha au atleast nilipoona mimi pesa imeenda mradi xyz ulioanzishwa na Magufuli, amekopa kujenga madarasa, Airport Unguja, kujenga Ikulu Unguja na mambo mengine ya Unguja na kufadhili biashara za watu binafsi hakuna mahali niliona Samia amekopa kujenga SGR kama ipo unaweza nisahihisha, …
Nitajie mradi wowote wa magufuli uliokamilika.. ukiacha aliyoikuta kama brt, flyover mbili etc.. mingine yote ni endelevu.. unadhani fedha za kuendeleza zinatoka wapi? Unafikiri zipo sehemu cash aliziacha magufuli?

Ndio kama hizi hapa chini alihakikisha zimesainiwa lakini zimekuja kuingia kipindi cha Samia na inaonesha yeye ndio kakopa lakini ni muendelezo tu wa ukopaji wa magufuli.

Screenshot_20220829-131710.png
 
Nitajie mradi wowote wa magufuli uliokamilika.. ukiacha aliyoikuta kama brt, flyover mbili etc.. mingine yote ni endelevu.. unadhani fedha za kuendeleza zinatoka wapi? Unafikiri zipo sehemu cash aliziacha magufuli?

Ndio kama hizi hapa chini alihakikisha zimesainiwa lakini zimekuja kuingia kipindi cha Samia na inaonesha yeye ndio kakopa lakini ni muendelezo tu wa ukopaji wa magufuli.

View attachment 2338354

Sasa na wewe unaniuliza swali tena wakati mimi nimekuuliza unitajie fedha zinakopwa na Samia zinafanyia nini? Hilo Gazeti ni kipindi cha Magufuli na siyo Samia, Mpango alikuwa Waziri wa Magufuli na fedha alizokopa Magufuli ndiko zilikoenda inajulikana na tunaona na siyo SGR tu hata Bwawa la Nyerere pia, sasa za Samia pesa anazokopa zinaenda wapi ? Zinafanyia nini ?
 
Rais wa Sasa amekuta Nchi haina fedha, magufuli aliharibu uchumi wa Nchi kwa miradi mfululizo na mikopo ghali ya riba kubwa na ya muda mfupi
Sasa mbona tozo imekuja wakati miradi ilikuwa tayari umeanza. Au hiyo tozo ni mpya kwanini itumike kwa miradi ya zamani. Kwani kabla ya tozo hiyo miradi ilikuwa inalipwaje
 
Kwenye hiyo 7,000 tozo ni kama 2,000 tuu the rest 5,000 ni makato ya banks..

Kwa hiyo wewe Kati ya 5,000 na 2,000 ipi kubwa?

Mwisho kwani ulikuwa hujui kwamba kufanya transactions za banks to mitandao ya simu and vice versa huwa ni ghali?

Hata kuhamisha pesa Kati ya banks tofauti ni ghali siku zote sasa hapo tozo inalaumiwa kwa lipi?

Hizo ni huduma za kufanya kwa dharura na sio regular na ndio maana hata wao wameweka makato makubwa kwa sababu Wana discourage,kwa nini utoe pesa kwao uwapelekee mitandao?

So umepigwa kwa kujitakia.
Tozo ni wizi wa dola kwetu sisi wananchi, tunalalamika sababu pesa zetu kwanini mtu mwengine ambaye aongezi thamani kwanini anakata. Serikali ilishakata hii pesa kwanini wanaipigia hesabu kuidokoa tena. Kuwa ghali kwa wizi ndio mana tunazuia wizi wa dola. ila nimekuwekea namba pesa pesa ile ile miaka minne nyuma nilikatwa 2360 sasa leo kimeongezeka nini wakate tena.
Pesa si peleki kwa mitandao napelekea watoto na mke aliyemkoani anunue chakula. Kama nimejitakiwa poa ndio tunachukua hatua sasa.
 
Kumbe we kichaa, magufuli ndio Rais aliyekopa fedha nyingi,Tena za riba kubwa na zakurejesha muda mfupi,

Sasaivi serikali inapambana kulipa hiyo mikopo ya kibiashara yenye riba kubwa aliyokopa Ngosha,


Ndio sababu ya Tozo za kila namna
Kumbe asali tamu hivyo
 
Tozo ni wizi wa dola kwetu sisi wananchi, tunalalamika sababu pesa zetu kwanini mtu mwengine ambaye aongezi thamani kwanini anakata. Serikali ilishakata hii pesa kwanini wanaipigia hesabu kuidokoa tena. Kuwa ghali kwa wizi ndio mana tunazuia wizi wa dola. ila nimekuwekea namba pesa pesa ile ile miaka minne nyuma nilikatwa 2360 sasa leo kimeongezeka nini wakate tena.
Pesa si peleki kwa mitandao napelekea watoto na mke aliyemkoani anunue chakula. Kama nimejitakiwa poa ndio tunachukua hatua sasa.
Jibu hoja makato ya tozo na watoa huduma yapi makubwa?
 
Jamaa hebu kuwa mkweli na muungwana. Deni la taifa lilikuwa trilioni 32 mwaka 2015 na lilikuwa trilioni 58 wakati magufuli anafariki. Yaani alizidisha karibu mara mbili deni la serikali kwa miaka mitano.

Moja ya sababu iliyonifanya nimchukie sana magufuli ni tabia yake ya kusema uongo. Amekopa sana afdb, world bank, imf na mbaya zaidi mpaka mikopo kwenye mabenki ya biashara lakini majukwaani anasema hela za ndani. Watanzania kwa ujinga wao wanamuamini. Hata michango ya pssf alikuwa hapeleki hivyo deni la ndani pia liliongezeka sana.
Chanzo cha takwimu zako ni kipi
 
Rais wa Sasa amekuta Nchi haina fedha, magufuli aliharibu uchumi wa Nchi kwa miradi mfululizo na mikopo ghali ya riba kubwa na ya muda mfupi
Acha uongo, alisema mwenyewe alikuta nchi inaakiba ya kula miezi Sita bila kufanya kazi. Kiawango ambacho kilikuwa hakijafikiwa tangu kuumbwa kwa nchi hii.

Wachumi wake wamemdanganya akapunguza Kodi kwenye madini Toka asilimia 6 had 3. Na baada ya hapo akahamia kwa wanyonge kuwanyonga. Huku walamba asali wakilamba kisawasawa.

Acha kutumia akili vibaya.
 
Rais wa Sasa amekuta Nchi haina fedha, magufuli aliharibu uchumi wa Nchi kwa miradi mfululizo na mikopo ghali ya riba kubwa na ya muda mfupi

Rais wa sasa alikuwa makamu wa rais na makamu wa rais wa sasa alikuwa waziri wa fedha, Gavana yupo Yule Yule

Natoa Tu Taarifa
 
Asubuhi hii nimetuma 55000/= kwa mama kupitia simbanking, nimekatwa 5500/=...

Kwa lugha rahisi ni kwamba makato au gharama za kutuma hiyo pesa ni 10% ya nilichomtumia mama.

Nikiendelea kutumia hii simbanking basi CRDB mje mnivishe kibao cha "ZUZU" nimekaa palee Kariakoo Gerezani.

View attachment 2338227

😂😂😂😂
 
Back
Top Bottom