Benjamini Netanyahu
JF-Expert Member
- Aug 7, 2014
- 95,871
- 116,627
Muulize dada angu mi sijuiYeriko mwenyewe ni chawa wa mbowe
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Muulize dada angu mi sijuiYeriko mwenyewe ni chawa wa mbowe
Samahani Murah.Kwamba Yericko ni Mzanaki???
Nyie ndio mnajua Yericko ni mtoto wa Nyerere.
Huyo jamaa atawapeli mpaka siku atawafira.
Kweli fake it till you make it.
Ukiona umesoma kitabu na usikielewe,Hongera zake.
Tuzo gani kashinda?
Nilipata kusoma hicho kitabu sikuona jambo lolote lenye tija. Niishie hapa nisije itwa hater.
Umewahi kuandika kitabu au jarida lolote tufanye rejea kujua u mtu wa aina Gani?Kwani hapa unaongelea kitabu gani? Usiwe mpumbavu
Ukiona umesoma kitabu na usikielewe,
Jua fika, kitabu hicho hukuandikiwa wewe!!!
Zipo Nchi zitachukua madini yaliyomo katika kitabu hicho na kupiga hatua.
Naamini Nchi yangu imeshakisoma kupitia watu wake ktk kitengo husika.
KM ndugu Chongolo ni hazina, alionyesha Uzalendo Kwa kuchukua upande wa kipekee katika Issue ya DP world.Tatizo la viongozi wetu wengi sio kukosa ujuzi bali ni kupungukiwa uzalendo kwa nchi. Wengi wanayaweka maslahi yao mbele.
Hiyo idara inayoitwa ya ujasusi ndio inaongoza kwa wafanyakazi wake kuteuliwa kwenye nasafi za uongozi wa juu, lakini hata wao wamepubgukiwa uzalendo.
Hongera Yeriko, lakini nina uhakika hata hao wazee wakisoma kitabu chako yataingilia huku na kutokea kule. Uongozi tanzania ni fursa ya kula.
Utayaona matokeo Kwa Ajaye na Ilani zijazo Kwa 2025-2030.Kama wamekisoma nchi imepiga hatua gani toka Kitabu kilipotoka miaka kadhaa iliyopita?
Yeriko nyerere sio mzanaki,na hana uhusiano wowote na familia ya mwalimu julius kambarage nyerere,yeriko ni mla mbwa kutoka irina.Kitabu kisomwe na wataalamu wa uchumi tungekuwa mbali???
Hivi wachagga wanasoma kitabu gani Cha uchumi?
Mzanaki aliyekulia ktk pensheni ya Babu yake Leo anaandika kitabu Cha ujasusi wa uchumi wa academia !
Kuna kina mangi wako Dar es salaam stock exchange wanakimbiza ni Hatari ,hao ndio wafanye review ya hicho kitabu Kisha watushauri.
Mentorship mentorship mentorship
Huu ndio ujasusi wa kichagga.
Sio watu wa academia kupromote legacy ya mwalimu eti Yericko na kitabu chake na hata kiduka hajawahi miliki.
Good read though [emoji3061]
Bt ni Big Brain.Yeriko nyerere sio mzanaki,na hana uhusiano wowote na familia ya mwalimu julius kambarage nyerere,yeriko ni mla mbwa kutoka irina.
Kudadadiki 🤦Yeriko nyerere sio mzanaki,na hana uhusiano wowote na familia ya mwalimu julius kambarage nyerere,yeriko ni mla mbwa kutoka irina.
Impersonate cases, how? He came use #Nyerere name!, alipipie jina, Pana kesi hapo!, probably wazambia watakuwa wametunuku Tuzo kwa heshima ya jina, #Nyerere, kwani jina hilo linaheshimika sana huko kusini.Tafuta, ZIKOMO AFRICA AWARDS, Taasisi hiyo inapatikana Zambia.
Yeriko nyerere si chochote na si lolote,ni bonge la tapeli tu.kitabu alichoandika kimejaa vilaka kutoka kwenye maandiko ya watu mbali mbali.Wewe kenge ni miongoni mwa watu wapuuzi msiopenda kujisomea hata magazeti kama Mtanzania au Rai. Hiyo title ya kitabu isikutishe. Alichofanya Yeriko ni copy & paste ya makala za watu na kuziweka kwenye kitabu. Hakuna kitu alichotunga pale. Kwa waliosoma makala za Mzee Joseph Mihangwa wataona jinsi Yeriko alivyokopi makala nyingi za yule mzee na kuziweka kwenye kitabu chake bila ku-acknowledge. Kibaya zaidi amecopy kama zilivyo hadi nukta. Hata story za Habib Anga the Bold baadhi ziko kwenye hicho kitabu.
Kitabu chake ni cha hadithi na mchango wake ni kuburudisha tu wananchi. Yeriko angepewa tuzo ya mjasiriamali aliyetumia makala za watu kujiandikia kitabu na kuuza hila wahusika kunufaika.
Si vyema mtoto kuwa na Chuki Kwa waliokuzidi.Impersonate cases, how? He came use #Nyerere name!, alipipie jina, Pana kesi hapo!, probably wazambia watakuwa wametunuku Tuzo kwa heshima ya jina, #Nyerere, kwani jina hilo linaheshimika sana huko kusini.
Ni national level achana na hao wachuuzi wako unaohisi wametoboa, ungekisoma au ungejua hata kidogo kinahusu nini usingeandika huu unyongeKitabu kisomwe na wataalamu wa uchumi tungekuwa mbali???
Hivi wachagga wanasoma kitabu gani Cha uchumi?
Mtu anaandika kitabu Cha ujasusi wa uchumi wa academia !
Kuna kina mangi wako Dar es salaam stock exchange wanakimbiza ni Hatari ,hao ndio wafanye review ya hicho kitabu Kisha watushauri.
Mentorship mentorship mentorship
Huu ndio ujasusi wa kichagga.
Sio watu wa academia kupromote legacy ya mwalimu eti Yericko na kitabu chake na hata kiduka hajawahi miliki.
Good read though 🥴
Binafsi namkubali sana sana huyu jamaa. Ingawa sijawahi kununua kitabu chake lkn nimebahatika kukisoma kitabu cha ujasusi wa kidola (kwa kuazima kwa rafiki yangu).Mpongeze kwanza Mtanzania mwenzetu.
Ok, basi kila mtu ni Nyerere! 😁😁😁 Naitwa crocodie_nyerere!Si vyema mtoto kuwa na Chuki Kwa waliokuzidi.
Sijui macho Yako, lakini Mimi nilipomsikia Yeriko Nyerere Kwa mara ya kwanza akiongea, nilijua ana kitu kikubwa sana amebeba.
Habari ya Jina isikitishe, Tazama kilicho ndani yake.
Kusoma sana vitabu ni mental masterbation bora nipate kitu real Kwa wachuuzi wa Dar es salaam stock exchange market.Ni national level achana na hao wachuuzi wako unaohisi wametoboa, ungekisoma au ungejua hata kidogo kinahusu nini usingeandika huu unyonge
Hata Steve ni Nyerere, Jina Si kitu!!Ok, basi kila mtu ni Nyerere! 😁😁😁 Naitwa crocodie_nyerere!
Nimekisoma kitabu na verify 95% ni C & P. toka vitabu mbali mbali, hakipo kilichoonwa na kudadavuliwa kwa ubongo wake!.Hata Steve ni Nyerere, Jina Si kitu!!
Tukubali na kupongezana tufanyapo mazuri tukiwa hai.