Bush Dokta
JF-Expert Member
- Apr 11, 2023
- 24,831
- 45,154
Akilete unishtueLete evidence ya Ndugu Yeriko Nyerere kucopy na kupaste kama ulivyosema.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Akilete unishtueLete evidence ya Ndugu Yeriko Nyerere kucopy na kupaste kama ulivyosema.
Hata wewe unatakiwa uandike kitabu ikiwa Kuna Cha maana umewahi kufanya duniani, watu wajifunze.Wewe mpuuzi sasa wote tukiwa waandishi wa vitabu mambo yataenda? Wengine tubaki kuwa wateja wa vitabu
Wewe ni mgambo, polisi, hakimu wa mahakama ya mwanzo au nani hadi kunitaka nilete evidence?Lete evidence ya Ndugu Yeriko Nyerere kucopy na kupaste kama ulivyosema.
Hongera yake,Hongera sana Mzee wa Imani za jadi na Mizimu Yericko Nyerere kwa tuzo hii.
Tuzo zilizotolewa ni za mtunzi bora au mwandishi bora?Mkuu umeshawahi kusoma hicho kitabu? Yeriko kakopi makala nyingi za Mzee Mihangwa. Hakuna alichotunga pale.
Mwandishi Bora wa vitabu Afrika.Tuzo zilizotolewa ni za mtunzi bora au mwandishi bora?
Tuelewe content jamani.
Kitabu kisomwe na wataalamu wa uchumi tungekuwa mbali???
Hivi wachagga wanasoma kitabu gani Cha uchumi?
Mtu anaandika kitabu Cha ujasusi wa uchumi wa academia !
Kuna kina mangi wako Dar es salaam stock exchange wanakimbiza ni Hatari ,hao ndio wafanye review ya hicho kitabu Kisha watushauri.
Mentorship mentorship mentorship
Huu ndio ujasusi wa kichagga.
Sio watu wa academia kupromote legacy ya mwalimu eti Yericko na kitabu chake na hata kiduka hajawahi miliki.
Good read though 🥴
Niliuliza makusudi,ili huyo jamaa aliyekua anapinga utolewaji wa tuzo husika,aone asivyojua alichokomenti.Ni mjinga tu,atakayebeza hiyo tuzo na jitihada za Yericko,katika uandishi wa vitabu.Mwandishi Bora wa vitabu Afrika.
Mpare , chedii 😄Acha kelele Yakhe😀
Uchama ni cancer ingine inayosambaa Kwa Kasi kubwa sana nchini.Niliuliza makusudi,ili huyo jamaa aliyekua anapinga utolewaji wa tuzo husika,aone asivyojua alichokomenti.Ni mjinga tu,atakayebeza hiyo tuzo na jitihada za Yericko,katika uandishi wa vitabu.
Mpare , chedii 😄
Nataka Ila majasusi wawe kina Aikaeli na Masawe , they are naturalsHutaki Nakala ya ujasusi wa kidola Mkuu?
Kijitu kihehe cha Iringa, na baba yake anaitwa Msambila.Samahani Murah.
Kumbe ni mnani😂
Kupongeza na kusujudia tumuachie Nani?Salaam, Shalom!!
Nchi yetu imeng'ara tena katika bara la Afrika baada ya kijana Mahiri, ndugu Yeriko Nyerere kutuletea Tuzo Bora kabisa ya uandishi Bora wa vitabu kwa Afrika nzima.
Tuzo hiyo imetolewa na Taasisi iitwayo, ZIKOMO AFRICA AWARDS yenye maskani yake nchini Zambia iliyotokewa November 2023, Yericko Nyerere akiwa mtanzania pekee aliyechaguliwa kushiriki.
Tuzo hiyo imekuja miaka 6 baada ya kitabu alichoandika ndugu yetu Yeriko Nyerere juu ya Ujasusi wa kidola na kiuchumi.
Ujasusi kidola katika Usalama kama nchi tupo vizuri, Hilo halipingiki, ila Ujasusi kiuchumi, naona Bado tunasuasua. Ikiwa kitabu hiki kingesomwa na wataalamu wetu wa Uchumi Kwa kipindi Cha miaka 6 iliyopita na kifanyiwa KAZI, naamini tusingekuwa hapa tulipo.
Yaani ndugu Philip Mpango na ndugu Mwigulu nchemba, wangechukua haraka ushauri na madini katika kitabu cha mtanzania mwenzetu, tusingekuwa Bado tunafanya na kupita njia tunayopitia kiuchumi.
Tungesoma kitabu hiki kisawa sawa, tusingekubali kukodisha Bandari zetu kwa wageni, kuuza misitu na madini kiholela.
Najua hatujachelewa, tunaandika Katiba mpya, pia tunaelekea Uchaguzi, vyama vinaandaa Ilani zao Kwa mwaka 2025-2030, chonde chonde, msiache kuchungulia kitabu hiki Hasa kuhusu Ujasusi wa kiuchumi, kuona namna gani mtatoa dira nzuri kuhakikisha raslimali zetu zinatunufaisha na kututajirisha Watanzania.
NB: Roho mbaya haijengi, linapokuja suala la Maslahi mapana ya nchi, tuwe kitu kimoja bila kujali, Yeriko Nyerere ametoka CHADEMA au la, Tanzania kwanza.
Mungu ibariki Nchi yangu nzuri niipendayo Tanzania 🇹🇿.
Aamen.
Cc: Yericko Nyerere.
okTafuta, ZIKOMO AFRICA AWARDS, Taasisi hiyo inapatikana Zambia.
kwa kipiii kujifanya usalama auBt ni Big Brain.