Tuzo Ndg. Yeriko Nyerere itupe funzo kuthamini 'big brains' wa ndani ya nchi

Tuzo Ndg. Yeriko Nyerere itupe funzo kuthamini 'big brains' wa ndani ya nchi

Nimekisoma kitabu na verify 95% ni C & P. toka vitabu mbali mbali, hakipo kilichoonwa na kudadavuliwa kwa ubongo wake!.
WIVU tu unakusumbua,

Weka hizo pages alizocopy kuthibitisha usemacho.
 
Wewe kenge ni miongoni mwa watu wapuuzi msiopenda kujisomea hata magazeti kama Mtanzania au Rai. Hiyo title ya kitabu isikutishe. Alichofanya Yeriko ni copy & paste ya makala za watu na kuziweka kwenye kitabu. Hakuna kitu alichotunga pale. Kwa waliosoma makala za Mzee Joseph Mihangwa wataona jinsi Yeriko alivyokopi makala nyingi za yule mzee na kuziweka kwenye kitabu chake bila ku-acknowledge. Kibaya zaidi amecopy kama zilivyo hadi nukta. Hata story za Habib Anga the Bold baadhi ziko kwenye hicho kitabu.

Kitabu chake ni cha hadithi na mchango wake ni kuburudisha tu wananchi. Yeriko angepewa tuzo ya mjasiriamali aliyetumia makala za watu kujiandikia kitabu na kuuza hila wahusika kunufaika.
Ninahisi hufahamu chochote kuhusu publications.

Yericko ameandika Kitabu na ameweka references(rejea) alizozitumia
17016969408254291001087559265405.jpg
17016969897737493329342026423300.jpg
17016970585571526871445961818433.jpg
17016970924912167103458503751770.jpg
 
WIVU tu unakusumbua,

Weka hizo pages alizocopy kuthibitisha usemacho.
Isome post no #43 itakidhi haja zako zote, #Baboon je unafahamu hapa jukwaani kuna wasomi wa kina, maprofesor tunaposema jambo huwa tunamaanisha jambo!
 
Hongera Kijana Yeriko Nyerere, kelele zisikurudishe nyuma. Andaa toleo la pili la UJASUSI WA KIELIMU, UJUZI NA TEKINOLOJIA. UTHUBUTU NI VITENDO SIO MANENO
 
Isome post no #43 itakidhi haja zako zote, #Baboon je unafahamu hapa jukwaani kuna wasomi wa kina, maprofesor tunaposema jambo huwa tunamaanisha jambo!
Msomi Gani unayeamini kuwa hapa chini ya jua unaweza andika kitabu kizima bila kuquote maandishi ya wengine katika mada husika?

Pagge no 43, ameonyesha Reference ya watu waliowahi kuandika kama Yeye ktk baadhi ya issues alizoandika.

Ni vyema tukatanguliza TANZANIA 🇹🇿 mbele kuliko vyama vyeti.

Uzalendo kwanza🙏
 
Umewahi kuandika kitabu au jarida lolote tufanye rejea kujua u mtu wa aina Gani?
Wewe mpuuzi sasa wote tukiwa waandishi wa vitabu mambo yataenda? Wengine tubaki kuwa wateja wa vitabu
 
Kuna REJEA na kuna copy & paste. Alichofanya yeye ni copy & paste au Plagiarism
Plagiarism ni kitendo cha kutumia kazi ya mtu na kufanya kama ni ya kwako. Kutoa reference ni kinyume cha plagiarism. Yericko amerejea na amesema amerejea kwa nani.

Nimeshakumbia hujui kuhusu machapisho. Acha ubishi!


Plagiarism means using someone else’s work without giving them proper credit. In academic writing, plagiarizing involves using words, ideas, or information from a source without citing it correctly. In practice, this can mean a few different things.

Examples of plagiarismWhy is it wrong?

Copying parts of a text word for word, without quotation marksIt makes it seem like these are your own words.

Paraphrasing a text by changing a few words or altering the sentence structure, without citing the sourceIt makes it seem like you came up with the idea, when in fact you just rephrased someone else’s idea.
Giving incorrect information about a sourceIf readers can’t find the cited source, they can’t check the information themselves.

Quoting so much from a source that it makes up the majority of your textEven with proper citations, you’re not making an original contribution if you rely so much on someone else’s words.

Reusing work you’ve submitted for a previous assignment, without citing yourselfEven though it’s your own work, the reader should be informed that it’s not completely new but comes from previous research.

Submitting a text written entirely by someone else (e.g., a paper you bought from a ghostwriter)Not doing the work yourself is academically dishonest, undermines your learning, and is unfair to other students.
 
Plagiarism ni kitendo cha kutumia kazi ya mtu na kufanya kama ni ya kwako. Kutoa reference ni kinyume cha plagiarism. Yericko amerejea na amesema amerejea kwa nani.

Nimeshakumbia hujui kuhusu machapisho. Acha ubishi!


Plagiarism means using someone else’s work without giving them proper credit. In academic writing, plagiarizing involves using words, ideas, or information from a source without citing it correctly. In practice, this can mean a few different things.

Examples of plagiarismWhy is it wrong?

Copying parts of a text word for word, without quotation marksIt makes it seem like these are your own words.

Paraphrasing a text by changing a few words or altering the sentence structure, without citing the sourceIt makes it seem like you came up with the idea, when in fact you just rephrased someone else’s idea.
Giving incorrect information about a sourceIf readers can’t find the cited source, they can’t check the information themselves.

Quoting so much from a source that it makes up the majority of your textEven with proper citations, you’re not making an original contribution if you rely so much on someone else’s words.

Reusing work you’ve submitted for a previous assignment, without citing yourselfEven though it’s your own work, the reader should be informed that it’s not completely new but comes from previous research.

Submitting a text written entirely by someone else (e.g., a paper you bought from a ghostwriter)Not doing the work yourself is academically dishonest, undermines your learning, and is unfair to other students.
Hawa wanaojiita CHAWA, uelewa wao wengi ni mdogo sana.
 
Salaam, Shalom!!

Nchi yetu imeng'ara tena katika bara la Afrika baada ya kijana Mahiri, ndugu Yeriko Nyerere kutuletea Tuzo Bora kabisa ya uandishi Bora wa vitabu kwa Afrika nzima.

Tuzo hiyo imetolewa na Taasisi iitwayo, ZIKOMO AFRICA AWARDS yenye maskani yake nchini Zambia iliyotokewa November 2023, Yericko Nyerere akiwa mtanzania pekee aliyechaguliwa kushiriki.

Tuzo hiyo imekuja miaka 6 baada ya kitabu alichoandika ndugu yetu Yeriko Nyerere juu ya Ujasusi wa kidola na kiuchumi.

Ujasusi kidola katika Usalama kama nchi tupo vizuri, Hilo halipingiki, ila Ujasusi kiuchumi, naona Bado tunasuasua. Ikiwa kitabu hiki kingesomwa na wataalamu wetu wa Uchumi Kwa kipindi Cha miaka 6 iliyopita na kifanyiwa KAZI, naamini tusingekuwa hapa tulipo.

Yaani ndugu Philip Mpango na ndugu Mwigulu nchemba, wangechukua haraka ushauri na madini katika kitabu cha mtanzania mwenzetu, tusingekuwa Bado tunafanya na kupita njia tunayopitia kiuchumi.

Tungesoma kitabu hiki kisawa sawa, tusingekubali kukodisha Bandari zetu kwa wageni, kuuza misitu na madini kiholela.

Najua hatujachelewa, tunaandika Katiba mpya, pia tunaelekea Uchaguzi, vyama vinaandaa Ilani zao Kwa mwaka 2025-2030, chonde chonde, msiache kuchungulia kitabu hiki Hasa kuhusu Ujasusi wa kiuchumi, kuona namna gani mtatoa dira nzuri kuhakikisha raslimali zetu zinatunufaisha na kututajirisha Watanzania.

NB: Roho mbaya haijengi, linapokuja suala la Maslahi mapana ya nchi, tuwe kitu kimoja bila kujali, Yeriko Nyerere ametoka CHADEMA au la, Tanzania kwanza.

Mungu ibariki Nchi yangu nzuri niipendayo Tanzania 🇹🇿.

Aamen.

Cc: Yericko Nyerere.
The Road to Power
 
Plagiarism means using someone else’s work without giving them proper credit. In academic writing, plagiarizing involves using words, ideas, or information from a source without citing it correctly. In practice, this can mean a few different things.
Asante sana Msomi
 
Back
Top Bottom