Tuzo Ndg. Yeriko Nyerere itupe funzo kuthamini 'big brains' wa ndani ya nchi

Wewe mpuuzi sasa wote tukiwa waandishi wa vitabu mambo yataenda? Wengine tubaki kuwa wateja wa vitabu
Hata wewe unatakiwa uandike kitabu ikiwa Kuna Cha maana umewahi kufanya duniani, watu wajifunze.

Anyway, kitabu Gani umewahi kukisoma ukamaliza pages zote na kukielewa.
 
Mkuu umeshawahi kusoma hicho kitabu? Yeriko kakopi makala nyingi za Mzee Mihangwa. Hakuna alichotunga pale.
Tuzo zilizotolewa ni za mtunzi bora au mwandishi bora?
Tuelewe content jamani.
 

Acha kelele Yakhe😀
 
Mwandishi Bora wa vitabu Afrika.
Niliuliza makusudi,ili huyo jamaa aliyekua anapinga utolewaji wa tuzo husika,aone asivyojua alichokomenti.Ni mjinga tu,atakayebeza hiyo tuzo na jitihada za Yericko,katika uandishi wa vitabu.
 
Niliuliza makusudi,ili huyo jamaa aliyekua anapinga utolewaji wa tuzo husika,aone asivyojua alichokomenti.Ni mjinga tu,atakayebeza hiyo tuzo na jitihada za Yericko,katika uandishi wa vitabu.
Uchama ni cancer ingine inayosambaa Kwa Kasi kubwa sana nchini.
 
Kupongeza na kusujudia tumuachie Nani?
 
ni kataasisi ka hovyo kwe ye tuzo zake

mpaka ommy dimpoz kawekwa et msanii bora wa mwaka

mtu ambaye hana wimbo mwaka mzima



msanii bora wa hip hop pia joh makini yupo sijui kama mnakubaliana nayo hii


msanii bora wa kike irine Robert naye kashiriki

mi hata kumjua simjui


so yeriko kupewa haka basi apewe tu taasis ambayo imemtunuku sio ya kitaaluma kabisa

ni kama kill music award kwa kwetu enzi hizo
hakuna jopo la maprof wataalamu walaaaaa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…