Tuzo Ndg. Yeriko Nyerere itupe funzo kuthamini 'big brains' wa ndani ya nchi

Tuzo ya ZIKOMO ni ya hovyo. Brand bora ya biashara Afrika kapewa dogo mmoja wa Lusaka ambaye kibiashara bado mdogo mno.
 
Ni kweli kabisa nimesoma sehemu ya kile kitabu cha ujasusi wa kidola na kiuchumi nikaona story za the bold nyingi tu mfano yule jamaa alieteka ndege na kutaka apewe pesa aachie abiria halafu akapotea mpaka leo haijulikani yuko wapi. Yeriko hata facebook amejitanabaisha kama mpinga Mungu wa hizi dini za wazungu na waarabu lakini hoja zake ni nondo za kiranga wa hapa jf na uko facebook anawaokota kinoma wasiojua uhuni wake
 
Tuonyeshe copy ya kitabu Cha Yericko Nyerere ulichosoma na kugundua amecopy na kupaste.

Ama Kweli, Nabii hakubaliki nyumbani kwao!!
Kitabu cha ujasusi wa kidola na kiuchumi ni copy and paste kweli sijui kuhusu vitabu vingine alivyoandika
 
Bila picha mkuu?
 
Hivi ukiambiwa ulete vitabu huo mkusanyiko wa makala za Yericko utauleta? tuache utani kwenye vitu serious
Yericko hajawahi na wala sio mwandishi ball mzugaji Kama wazugaji wengine,Hana sifa yoyote ya kiuandishi kuanzia matumizi ya lugha mpaka mpangilio wa Maneno.
it's nonsensical
 
Umeandika pumba na kwa mihemko sana. Ni wivu na roho mbaya vimekujaa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…