Nadhani issue kupoa ni mpangilio mzima wa event haswa peformance, celebrities walikuwa wachache hasa powerful names kama wema ambao wangewatumia kugawa Tuzo ingekuwa na vibe zaidi
Kuhusu WCB sidhani kama wangeleta kitu kikubwa sanaaaaaa, nakumbuka last year kulikuwa na miss East Africa na wenyewe ndio walikaa mbele na major peformer alikuwa mbosso lakini issue mzima ilibuma.
Kikubwa nadhani labda wangeongeza msisimko Tu hasa kama Zuchu angeingia maana this year kafanya vizuri sana, labda na Diamond na Mbosso. The rest sidhani kama wangeleta impact kubwa sana kuzidi uwepo wa Ali kiba, Marioo, Konde na Mbosso