Tuzuieje shule za wasichana watoto kusagana?

Daah aiseee vitoto vidogo vinakuwa vishabanduliwa Hadi nyuma daah,

So painful wakuuu
Aloh hatari ila kama jana mwanawane nimeona vitoto vya miaka 15-17 vya kike vilivyo vaa unasemanhivi kweli mzazi anamruhusu mwanae atoke nyumbani akiwa amevaa vile.....wazazi wanafeli sana katika malezi these day.
 
Solu
Solution watoto wasome shule mchanganyiko
 
Ndio mkuu kuna video watoto wamefanya uchafu, ni watoto wadogo kwa mtu mwenye maadili ya uzazi ila dah , acha tu inasikitisha sanaaa tunakoenda Bao Bab wajitafakari
Tulieni nyinyi uchafu uchafu mnaujua uchafu nyinyi mna usafi gani au sababu hamuwekwi kwenye front camera?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…