Kuna shule moja ya wasichana tupu ipo hapa Bagamoyo ni shida kubwa. Wasichana wanakoboana hadi wanagombaniana mademu zao kiasi cha kupigana.
Kuzuia hiyo tabia ni vigumu mno! kwasababu ni mambo ya sirini yanafanyika kwa kificho hadi kuja kugundulika inakuwa too late msichana keshaonjeshwa / kuonja ladha ya chumvi chumvi chumvini.
Ila kwa mzazi / mlezi au ndugu inaumiza sana kuwa na mtoto msagaji au shoga
Ni hatari sana halafu si salamaNi kweli tena inasikitisha sana.
Halafu kwa jinsi inavyo perform kwa matokeo mazuri kwa watoto unaweza usielewe.
Lakini sasa mtoto hata akipata division one akiwa ni Msagajj itasaidia nini?
Mwisho asijekuwa kama yule Mirembe alokuwa afisa ugavi wa GGM 😭
Hasara kwa mzazi na Taifa.
Mwanao akishakuwa possessed na hiyo spirit mzazi umekwisha 👌👌
Yani ni kama robo ya uchawi,
Kuacha huwa sio rahisi.
Hiyo Shule nasikia kuna wakati waliwatimua kundi la watoto wasagaji kule kwenye Shule walizie da wakaenda kuendeleza michezo yao michafu ya kuharibu watoto wa watu na vizazi vyao, wakastukiwa wakatimuliwa hivi watakuwa Shule ambazo hazifuatilii huko wameenda kuenenda uharibifu wa maisha na vizazi vya watoto wa watu 🙆♂️🤦♀️😭
Hiyo Shule labda Waite Jopo la watumishi wa kiroho wafunge na kuomba kacu yamkini kwa Rehema za Mungu hiyo roho ya uharibifu itaondoka kwenye hiyo Shule .
MayooWabongo bana, bla bla miiingi nmeuliza madhara ni yapi ooh akusagana hazai, ooh subiri yakukute..... Aaah hebu ishieni kwaherini
Mbuyu secondaryKuna shule moja ya wasichana tupu ipo hapa Bagamoyo ni shida kubwa. Wasichana wanakoboana hadi wanagombaniana mademu zao kiasi cha kupigana.
Kuzuia hiyo tabia ni vigumu mno! kwasababu ni mambo ya sirini yanafanyika kwa kificho hadi kuja kugundulika inakuwa too late msichana keshaonjeshwa / kuonja ladha ya chumvi chumvi chumvini.
Ila kwa mzazi / mlezi au ndugu inaumiza sana kuwa na mtoto msagaji au shoga
Mkuu sio masihara ninavyochati na wewe nasubiri mmoja wao wanamalizia sijui wanaita prepo nikutane nae mda huu
Mkuu kwani mwanamke kazi yake si kutuhudumia wanaume Sasa namchezea vipiWee chezea tu na kuharibu watoto wa Watu kisha subiri wako watakavyokuja kufanyiwa na Mungu atahakikisha unaona kwa macho yako na hautaweza kuzuia na madhara yatakuwa makubwa zaidi utalipa with Penalties and interest.
Jutia, acha, tubu, geuka na uondoke utapata Rehema toka kwa Mwenyezi Mungu na kupona na vizazi vyako.
Usijisifu ktk kutenda uovu na uharibifu maana ni chukizo machoni pa Mungu na wanadamu.
Unajuaje sio tomboy unamjua? Mtu akiwa tomboy hazai? Kuna tomboy namjua huyo ni zaid ya tom ila ana mapacha.....
Mkuu kwani mwanamke kazi yake si kutuhudumia wanaume Sasa namchezea vipi
Kusoma mbona wanasoma mkuuHao ni wanafunzi hapaswi kiwashawishi ka namna yoyote , waache wasome usiwarubuni watoto wa watu.
Taarifa za tafiti za sayansi zinaonesha kuwa na madhara makubwa na kuathiri future ya mwanafunzi akijihusisha na mahusiano ya kimapenzi.Kusoma mbona wanasoma mkuu
wacha watoto wale rahaHili jambo limesumbua sana wazazi, na shule zingine huwezi kiuamini kama wanafanya mchezo huo kwa sababu ni shule za dini mno,ila watoto wakiwa pale, wanaanziana huo mchezo mchafu.
Hivi hizo shule hazina waalimu? hawana intelijensia ya shule, mbona wakifanya uchunguzi wanafunzi wenyewe wanajuana kuwa huyu wa fulani na yule wa fulani? watu hadi wanapata shida watoto wao wakiwa wanasoma huko.
Nini kifanyike? wanaume wameoa wake wengi tu mitaani huko wakiwa shule walikuwa wake wa wanawake wenzao na walikuwa wanalelewa. kuna shule moja walikamata binti anasaga wenzie hadi ana zana katambea nazo kwenye begi toka nyumbani.
Hebu mliosoma shule za girls tu tuambieni, hali uwa ipoje huko? kwa wanaume mchezo mchafu huwa haupo kabisa ukiondoa masterbation.
Soma Pia: Vijana wengi wameathiriwa na kujichua na kusagana
Bora wasagane kuliko kufanyana mashoga.!Ukiachana na magonjwa, kusagana huwa ina madhara gani kwani??
Naonaga ni kitu ambacho wala hata hakinaga ishu yoyote yani, tofauti na ikitokea upande wa pili
hiyo si ni ile ya wavaa ushungi pale Mbuyuni.Kuna shule moja ya wasichana tupu ipo hapa Bagamoyo ni shida kubwa. Wasichana wanakoboana hadi wanagombaniana mademu zao kiasi cha kupigana.
Kuzuia hiyo tabia ni vigumu mno! kwasababu ni mambo ya sirini yanafanyika kwa kificho hadi kuja kugundulika inakuwa too late msichana keshaonjeshwa / kuonja ladha ya chumvi chumvi chumvini.
Ila kwa mzazi / mlezi au ndugu inaumiza sana kuwa na mtoto msagaji au shoga
Tstizo ni ushoga huo usagaji hakuna shida yoyote msichana anaweza kuendelea kuwa msichana tu ila ushoga mvulana anapoteza umwanaume wake na kuwa na ulemavu wa uanithi...mwanamke hawezi kuwa anithi kwa kusagana....kitu kibaya sana ni ISHOGA weka mbali na watoto hii kituKuna shule moja ya wasichana tupu ipo hapa Bagamoyo ni shida kubwa. Wasichana wanakoboana hadi wanagombaniana mademu zao kiasi cha kupigana.
Kuzuia hiyo tabia ni vigumu mno! kwasababu ni mambo ya sirini yanafanyika kwa kificho hadi kuja kugundulika inakuwa too late msichana keshaonjeshwa / kuonja ladha ya chumvi chumvi chumvini.
Ila kwa mzazi / mlezi au ndugu inaumiza sana kuwa na mtoto msagaji au shoga