Tuzuieje shule za wasichana watoto kusagana?

Tuzuieje shule za wasichana watoto kusagana?

nimesoma almsot comment zote so far sijaona aliyetoa solution tunawezaje kudili na hilo tatizo kwa mtizamoa wangu nadhani njia zifuatazo kwa uchache zinaweza kusaidia
1.kuhimiza mafundisho ya dini-watoto wafundishwe wakiwa shuleni juu ya maadili ya dini na tabia njema kwani wakimuogopoa mungu automatically wataacha au kujizuia kufanya hiyo michezo kwa kuwa wanajua ni kinyume na mafundisho ya dini
2.watoto wa kike walazimishwe kushiriki michezo-mawazo hayo potofu ya kusagana huja mara tu mtoto/mtu anapokula vizuri na kushiba na kutokuwa na kitu cha kufanya hivyo wanapoishughulisha miili yao na michezo huchoka na automaticaly wakitoka night prep wakiwa wamechoka ni rahis kulazimika kulalala kuliko kinyume chake kupumzisha mwili
3.watoto watakaobainika wanasagana hasa wale matomb boy wapatiwe adhabu kali ikiwemo kufukuzwa shule ili wengine wajifunze kwayo!!!!
4 mwisho kwa sasa ni kuwa na intelijinsia kali katika rooms za wasichana ili kujua wanaoentatrain hivyo vitendo na kuviweza kuvidhibiti kabla ya kuleta madhara makubwa
 
nimesoma almsot comment zote so far sijaona aliyetoa solution tunawezaje kudili na hilo tatizo kwa mtizamoa wangu nadhani njia zifuatazo kwa uchache zinaweza kusaidia
1.kuhimiza mafundisho ya dini-watoto wafundishwe wakiwa shuleni juu ya maadili ya dini na tabia njema kwani wakimuogopoa mungu automatically wataacha au kujizuia kufanya hiyo michezo kwa kuwa wanajua ni kinyume na mafundisho ya dini
2.watoto wa kike walazimishwe kushiriki michezo-mawazo hayo potofu ya kusagana huja mara tu mtoto/mtu anapokula vizuri na kushiba na kutokuwa na kitu cha kufanya hivyo wanapoishughulisha miili yao na michezo huchoka na automaticaly wakitoka night prep wakiwa wamechoka ni rahis kulazimika kulalala kuliko kinyume chake kupumzisha mwili
3.watoto watakaobainika wanasagana hasa wale matomb boy wapatiwe adhabu kali ikiwemo kufukuzwa shule ili wengine wajifunze kwayo!!!!
4 mwisho kwa sasa ni kuwa na intelijinsia kali katika rooms za wasichana ili kujua wanaoentatrain hivyo vitendo na kuviweza kuvidhibiti kabla ya kuleta madhara makubwa
Unadhani michezo inasaidia? Nimesoma Tabora girls enzi hizo ni shule ya kijeshi ,kwata kwa kwenda mbele na mazoezi mengine lakini watu walikuwa wanasagana.
 
Hili jambo limesumbua sana wazazi, na shule zingine huwezi kiuamini kama wanafanya mchezo huo kwa sababu ni shule za dini mno,ila watoto wakiwa pale, wanaanziana huo mchezo mchafu.

Hivi hizo shule hazina waalimu? hawana intelijensia ya shule, mbona wakifanya uchunguzi wanafunzi wenyewe wanajuana kuwa huyu wa fulani na yule wa fulani? watu hadi wanapata shida watoto wao wakiwa wanasoma huko.

Nini kifanyike? wanaume wameoa wake wengi tu mitaani huko wakiwa shule walikuwa wake wa wanawake wenzao na walikuwa wanalelewa. kuna shule moja walikamata binti anasaga wenzie hadi ana zana katambea nazo kwenye begi toka nyumbani.

Hebu mliosoma shule za girls tu tuambieni, hali uwa ipoje huko? kwa wanaume mchezo mchafu huwa haupo kabisa ukiondoa masterbation.

Soma Pia: Vijana wengi wameathiriwa na kujichua na kusagana
Kila mara waenda out wakutane na wa kiume wenzao wa jirani kwa kila.siku au kila mara kupunguza mhemko
 
Ukiachana na magonjwa, kusagana huwa ina madhara gani kwani??

Naonaga ni kitu ambacho wala hata hakinaga ishu yoyote yani, tofauti na ikitokea upande wa pili
Mental health concerns
Women who have sex with women may be at a higher risk of depression and anxiety than are other women. This might be due to discrimination, rejection by loved ones, weak social connections, abuse or violence

Lack of normal sexual desire
Lack of normal sexual desire which lead to normal marriage failure, lack of generation propagation as lesbianism couple can't give birth to new children.
Addiction to homosexuals way of life
Promotion of homosexuals

Lesbianism haina noma na u-gay

Sexually transmitted infections​

Certain sexually transmitted infections can spread between women. Examples of those infections include human papillomavirus (HPV), bacterial vaginosis and trichomoniasis. Oral sex and other sexual behavior, especially with sex toys, may lead to infections. Female sexual contact may spread HIV, the virus that causes AIDS. There's no cure for HIV/AIDS and some other sexually transmitted infections, such as genital herpes
Infertility

Due to Sexual transimited infections
substances misuse
Lesbians and other women who have sex with women are more likely to have alcohol use disorder and use illegal drugs than are other people.

intimate partner violence​

Violence can affect anyone in an intimate relationship. And research has shown that lesbians and other women who have sex with women experience intimate partner violence at a higher rate than do other people.

Hamna utofauti wa athari za kusagana na ushoga.... Madhara yake ni yanafanana. Huku utamkuta mwanamke Tom boy, kule utakuta mwanaume mlegevu kama binti-zote zimewageuza jinsia kitabia. Zote zina addiction na ngumu kuacha, zote zina magonjwa, zote zinaathiri familia na uwezo wa kujenga familia. Mahusiano yote ya ugay na usagaji hayawezi kuendeleza kizazi as hayana uwezo wa kuzalishana. Mahusiano yote hayo kijamii ni mahusiano machafu yenye kuleta kinyaa. nk nk

NB:On top of that kuna Madhara ya kiimani, huku wataelezea wengine.

health care a priority​

Concern about homophobia and the stigma sometimes associated with homosexuality may prevent some lesbians from getting routine health care.
 
Mental health concerns
Women who have sex with women may be at a higher risk of depression and anxiety than are other women. This might be due to discrimination, rejection by loved ones, weak social connections, abuse or violence

Lack of normal sexual desire
Lack of normal sexual desire which lead to normal marriage failure, lack of generation propagation as lesbianism couple can't give birth to new children.
Addiction to homosexuals way of life
Promotion of homosexuals

Lesbianism haina noma na u-gay

Sexually transmitted infections​

Certain sexually transmitted infections can spread between women. Examples of those infections include human papillomavirus (HPV), bacterial vaginosis and trichomoniasis. Oral sex and other sexual behavior, especially with sex toys, may lead to infections. Female sexual contact may spread HIV, the virus that causes AIDS. There's no cure for HIV/AIDS and some other sexually transmitted infections, such as genital herpes
Infertility

Due to Sexual transimited infections
substances misuse
Lesbians and other women who have sex with women are more likely to have alcohol use disorder and use illegal drugs than are other people.

intimate partner violence​

Violence can affect anyone in an intimate relationship. And research has shown that lesbians and other women who have sex with women experience intimate partner violence at a higher rate than do other people.

Hamna utofauti wa athari za kusagana na ushoga.... Madhara yake ni yanafanana. Huku utamkuta mwanamke Tom boy, kule utakuta mwanaume mlegevu kama binti-zote zimewageuza jinsia kitabia. Zote zina addiction na ngumu kuacha, zote zina magonjwa, zote zinaathiri familia na uwezo wa kujenga familia. Mahusiano yote ya ugay na usagaji hayawezi kuendeleza kizazi as hayana uwezo wa kuzalishana. Mahusiano yote hayo kijamii ni mahusiano machafu yenye kuleta kinyaa. nk nk

NB:On top of that kuna Madhara ya kiimani, huku wataelezea wengine.

health care a priority​

Concern about homophobia and the stigma sometimes associated with homosexuality may prevent some lesbians from getting routine health care.
Mkuu umeleta nondo za chat gpt nn 😁😁
 
nimesoma almsot comment zote so far sijaona aliyetoa solution tunawezaje kudili na hilo tatizo kwa mtizamoa wangu nadhani njia zifuatazo kwa uchache zinaweza kusaidia
1.kuhimiza mafundisho ya dini-watoto wafundishwe wakiwa shuleni juu ya maadili ya dini na tabia njema kwani wakimuogopoa mungu automatically wataacha au kujizuia kufanya hiyo michezo kwa kuwa wanajua ni kinyume na mafundisho ya dini
2.watoto wa kike walazimishwe kushiriki michezo-mawazo hayo potofu ya kusagana huja mara tu mtoto/mtu anapokula vizuri na kushiba na kutokuwa na kitu cha kufanya hivyo wanapoishughulisha miili yao na michezo huchoka na automaticaly wakitoka night prep wakiwa wamechoka ni rahis kulazimika kulalala kuliko kinyume chake kupumzisha mwili
3.watoto watakaobainika wanasagana hasa wale matomb boy wapatiwe adhabu kali ikiwemo kufukuzwa shule ili wengine wajifunze kwayo!!!!
4 mwisho kwa sasa ni kuwa na intelijinsia kali katika rooms za wasichana ili kujua wanaoentatrain hivyo vitendo na kuviweza kuvidhibiti kabla ya kuleta madhara makubwa
Wala siyo tatizo kubwa kama unavyofikiri
 
Kuna shule moja ya wasichana tupu ipo hapa Bagamoyo ni shida kubwa. Wasichana wanakoboana hadi wanagombaniana mademu zao kiasi cha kupigana.

Kuzuia hiyo tabia ni vigumu mno! kwasababu ni mambo ya sirini yanafanyika kwa kificho hadi kuja kugundulika inakuwa too late msichana keshaonjeshwa / kuonja ladha ya chumvi chumvi chumvini.

Ila kwa mzazi / mlezi au ndugu inaumiza sana kuwa na mtoto msagaji au shoga
Ni heri wasagane ila ushoga hpn kmmk
 
Kuna shule moja niliwahi kufika Mkoani mwanza mwaka 2006 nilistaajabu sana.
Vyoo na bafu za mabweni ya wasichana havikuwa na milango. Vilevile chumba cha Matron katika bweni hilo pia hakikua na mlango, nikaambiwa hiyo ndiyo formula wanayotumia kupambana na hali hiyo.
🤣🤣🤣
 
Hii nakubaliana na ww kabisa

Utotoni ndipo kuna shida.

Iwe ushoga au usagaji asilimia kubwa ni yale malezi ya mwanzo ya mtoto. Keep your kids busy, ikiwezekana hata nenda nao sehemu ya kazi kama umejiajiri.



Eva, mtoto anapita lets say once after some years. Tango kila wiki linapitishwa mtu akiwa addicted, wengine hawalali bila tango. Kuna mmoja nmepiga paipu nmemaliza namkuta chooni anajivibrate kumbe alibeba kabisa vibrator yake
Hahahhaah nimecheka sana 🤣🤣🤣
 
Una uhakika? Nawajua waliokuwa wanasagana shuleni na wameolewa na wana familia. Wote wameolewa mbona.
hata mashoga wapo walioacha wakaoa,

ni kwamba mtu akiamua kufanya majaribio ya ngono na jinsia yake, anaweza akaamua hiyo iwe identity yake, sijui hapo inatokeaje

kwahiyo akiamua hayo yawe maisha yake ndo tunawapata wale mnaosema wameshindikana
 
Back
Top Bottom