Tuzuieje shule za wasichana watoto kusagana?

Bora wanaosagana kuliko shule za wavulana wanaokobekana bila aibu.
Huko ndiko kubaya zaidi
 
Mi wanangu wa kike/kiume kuanzia form one huwa napenda wasome shule ya kutwa tena mchanganyiko ili wapate uzoefu wa kutongoza/kutongozwa na kukataa ama kukubali pilikapilika za wanafunzi wa jinsia tofauti na wao.

Sioendi shule za bording hasa jinsia moja kwani zinawafanya kuwa mashoga/wasagaji wa kimataifa.

Kakini pia wanakosa ujanja wa kukabiliana nabinadamu wa jinsia tofauti na wao
 
kabisa
 
kabisa
 
Mkuu tulia uandike vizuri bana.
 
Waache wapoteaje wakutane na Yesu watarudi ktk mstari Hawa wameamua kusagana kizazi kutakua cha ovyo sana kijacho haya ni matokeo ya wazazi wenyewe kutengeneza mifumo ya namna hii
 
Ukiachana na magonjwa, kusagana huwa ina madhara gani kwani??

Naonaga ni kitu ambacho wala hata hakinaga ishu yoyote yani, tofauti na ikitokea upande wa pili
mahusiano ya jinsia moja ni mwiko kwenye jamii zetu za kiafrika

msagaji hatoolewa

au unazungumzia bisexuals wanaopenda jinsia zote mbili?
 
Wakitoka maisha shule wataacha. Ni afadhali wasichana kusagana
 
wakishasagana wanakuwa UNGA!!
 
Shule za bweni za siku hizi miyeyusho Sana.
Bora hata kumsomesha mtoto shule ya kutwa
Sio za siku hizi, hata huko zamani yalikuwepo haya. Tuliosoma girls enzi hizo tunayajua haya. Tulikuwa tunazijua couples zote za shule. Tena wanazungusha mzingo kwenye vitanda na wanafanya yao kimyakimya.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…