inamankusweke
JF-Expert Member
- Apr 24, 2014
- 20,344
- 21,967
Boarding mtoto wa kiume mpeleke a level akiwa kishakomaa,o level na umri wao siku hizi atafilwa sanaKuna shule moja alihama faza wasichana walilia sana!! Hii kusagana sio zote.!
Halafu unasema boys wanapiga nyeto tu?!!
Huko ndio mashoga wengi walikotokea.!
Bora wanaosagana kuliko shule za wavulana wanaokobekana bila aibu.Hili jambo limesumbua sana wazazi, na shule zingine huwezi kiuamini kama wanafanya mchezo huo kwa sababu ni shule za dini mno,ila watoto wakiwa pale, wanaanziana huo mchezo mchafu.
Hivi hizo shule hazina waalimu? hawana intelijensia ya shule, mbona wakifanya uchunguzi wanafunzi wenyewe wanajuana kuwa huyu wa fulani na yule wa fulani? watu hadi wanapata shida watoto wao wakiwa wanasoma huko.
Nini kifanyike? wanaume wameoa wake wengi tu mitaani huko wakiwa shule walikuwa wake wa wanawake wenzao na walikuwa wanalelewa. kuna shule moja walikamata binti anasaga wenzie hadi ana zana katambea nazo kwenye begi toka nyumbani.
Hebu mliosoma shule za girls tu tuambieni, hali uwa ipoje huko? kwa wanaume mchezo mchafu huwa haupo kabisa ukiondoa masterbation.
Soma Pia: Vijana wengi wameathiriwa na kujichua na kusagana
Naunga mkono hojaUkiachana na magonjwa, kusagana huwa ina madhara gani kwani??
Naonaga ni kitu ambacho wala hata hakinaga ishu yoyote yani, tofauti na ikitokea upande wa pili
Uko sahihi.Boarding mtoto wa kiume mpeleke a level akiwa kishakomaa,o level na umri wao siku hizi atafilwa sana
kabisaTstizo ni ushoga huo usagaji hakuna shida yoyote msichana anaweza kuendelea kuwa msichana tu ila ushoga mvulana anapoteza umwanaume wake na kuwa na ulemavu wa uanithi...mwanamke hawezi kuwa anithi kwa kusagana....kitu kibaya sana ni ISHOGA weka mbali na watoto hii kitu
kabisaTstizo ni ushoga huo usagaji hakuna shida yoyote msichana anaweza kuendelea kuwa msichana tu ila ushoga mvulana anapoteza umwanaume wake na kuwa na ulemavu wa uanithi...mwanamke hawezi kuwa anithi kwa kusagana....kitu kibaya sana ni ISHOGA weka mbali na watoto hii kitu
Mkuu tulia uandike vizuri bana.Unazani ataweza kuwa na hai a ya kike na kumfurahia Mwanaume na Mwanaume kumfurahia?
Unazani anaweza kują kuzaa na kiwa vizazi endelevu?
Unazani kwenye kinyume na asili utafanikiwa ?
Utaweza kumwamini na kumuacha na watoto nyumbani wakabaki silama bila kuambukiza hiyo roho?
Rerejea kuangamia kwa Mirembe wa GGm na yule alokuwa mkewe kwenda kuishia jera ,
Familia zote mbili zimę kula hasara.
Jamii haiwezi kukubaliana na Msagaji au Shoga
Sio zoteBoarding mtoto wa kiume mpeleke a level akiwa kishakomaa,o level na umri wao siku hizi atafilwa sana
Waache wapoteaje wakutane na Yesu watarudi ktk mstari Hawa wameamua kusagana kizazi kutakua cha ovyo sana kijacho haya ni matokeo ya wazazi wenyewe kutengeneza mifumo ya namna hiiHili jambo limesumbua sana wazazi, na shule zingine huwezi kiuamini kama wanafanya mchezo huo kwa sababu ni shule za dini mno,ila watoto wakiwa pale, wanaanziana huo mchezo mchafu.
Hivi hizo shule hazina waalimu? hawana intelijensia ya shule, mbona wakifanya uchunguzi wanafunzi wenyewe wanajuana kuwa huyu wa fulani na yule wa fulani? watu hadi wanapata shida watoto wao wakiwa wanasoma huko.
Nini kifanyike? wanaume wameoa wake wengi tu mitaani huko wakiwa shule walikuwa wake wa wanawake wenzao na walikuwa wanalelewa. kuna shule moja walikamata binti anasaga wenzie hadi ana zana katambea nazo kwenye begi toka nyumbani.
Hebu mliosoma shule za girls tu tuambieni, hali uwa ipoje huko? kwa wanaume mchezo mchafu huwa haupo kabisa ukiondoa masterbation.
Soma Pia: Vijana wengi wameathiriwa na kujichua na kusagana
mahusiano ya jinsia moja ni mwiko kwenye jamii zetu za kiafrikaUkiachana na magonjwa, kusagana huwa ina madhara gani kwani??
Naonaga ni kitu ambacho wala hata hakinaga ishu yoyote yani, tofauti na ikitokea upande wa pili
Haolewi kwanini?mahusiano ya jinsia moja ni mwiko kwenye jamii zetu za kiafrika
msagaji hatoolewa
au unazungumzia bisexuals wanaopenda jinsia zote mbili?
msagaji anavutiwa kingono na wanawake wenzake tu,Haolewi kwanini?
Okay sawamsagaji anavutiwa kingono na wanawake wenzake tu,
akikubali kuishi na mwanaume basi kutakuwa na matatizo huko mbele
Wakitoka maisha shule wataacha. Ni afadhali wasichana kusaganaHili jambo limesumbua sana wazazi, na shule zingine huwezi kiuamini kama wanafanya mchezo huo kwa sababu ni shule za dini mno,ila watoto wakiwa pale, wanaanziana huo mchezo mchafu.
Hivi hizo shule hazina waalimu? hawana intelijensia ya shule, mbona wakifanya uchunguzi wanafunzi wenyewe wanajuana kuwa huyu wa fulani na yule wa fulani? watu hadi wanapata shida watoto wao wakiwa wanasoma huko.
Nini kifanyike? wanaume wameoa wake wengi tu mitaani huko wakiwa shule walikuwa wake wa wanawake wenzao na walikuwa wanalelewa. kuna shule moja walikamata binti anasaga wenzie hadi ana zana katambea nazo kwenye begi toka nyumbani.
Hebu mliosoma shule za girls tu tuambieni, hali uwa ipoje huko? kwa wanaume mchezo mchafu huwa haupo kabisa ukiondoa masterbation.
Soma Pia: Vijana wengi wameathiriwa na kujichua na kusagana
wakishasagana wanakuwa UNGA!!Hili jambo limesumbua sana wazazi, na shule zingine huwezi kiuamini kama wanafanya mchezo huo kwa sababu ni shule za dini mno,ila watoto wakiwa pale, wanaanziana huo mchezo mchafu.
Hivi hizo shule hazina waalimu? hawana intelijensia ya shule, mbona wakifanya uchunguzi wanafunzi wenyewe wanajuana kuwa huyu wa fulani na yule wa fulani? watu hadi wanapata shida watoto wao wakiwa wanasoma huko.
Nini kifanyike? wanaume wameoa wake wengi tu mitaani huko wakiwa shule walikuwa wake wa wanawake wenzao na walikuwa wanalelewa. kuna shule moja walikamata binti anasaga wenzie hadi ana zana katambea nazo kwenye begi toka nyumbani.
Hebu mliosoma shule za girls tu tuambieni, hali uwa ipoje huko? kwa wanaume mchezo mchafu huwa haupo kabisa ukiondoa masterbation.
Soma Pia: Vijana wengi wameathiriwa na kujichua na kusagana
Sio za siku hizi, hata huko zamani yalikuwepo haya. Tuliosoma girls enzi hizo tunayajua haya. Tulikuwa tunazijua couples zote za shule. Tena wanazungusha mzingo kwenye vitanda na wanafanya yao kimyakimya.Shule za bweni za siku hizi miyeyusho Sana.
Bora hata kumsomesha mtoto shule ya kutwa
Wanaacha vizuri sana. Kuna tuliosoma nao ni wake za watu sasa na watoto wakubwaWakitoka maisha shule wataacha. Ni afadhali wasichana kusagana