Wangari Maathai
JF-Expert Member
- Aug 13, 2018
- 34,962
- 70,576
Thatβs obviously!
Kwa pesa zake zile unaanzaje kuona dosari.?
Tunaoumia ni sisi, pesa hatuna na hata miili ya mvuto imegoma... mtuhurumie tu nasi tusimamie ukucha.
Bahati mbaya sikua namaanisha kwa utajiri wake...yes anashobokewa tu Kama ana body zuri...!Kisa ana pesa!Fukara akiwa na mwili mzuri au handsome pia utamshobokea?
[emoji1][emoji1][emoji1][emoji1]Nop mie sijaangalia kwa jicho la utajiri wake mkuu..sasa we account ikiraise Sana ni 2m lakini kitambi kikuuubwa[emoji14][emoji14]!hahhaaa..huu mwichi hata beach unachetuka naye tu[emoji39]
Wanajuaje kama ni TV ya korido ya kutoka chooni tu... Na sio TV ya msebuleni!
Basi sisi tumekua tukiaminishwa bila kitambi wewe ni njaa tu, ilikuwa hata ukigombea mwenzio ana kitambi atakushinda asubuhi tu.
Basi huku na huku nasi tumepata kaunafuu kidogo tukafuga vitambi, ghafla upepo umegeuka tena na heshima zinashuka.
Basi acha tuendelee kuvifutia simu tu!
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Hapo ni chooni kwake!
Kitambi kama cha Okonkwo!?[emoji1][emoji1][emoji1][emoji1]Nop mie sijaangalia kwa jicho la utajiri wake mkuu..sasa we account ikiraise Sana ni 2m lakini kitambi kikuuubwa[emoji14][emoji14]!hahhaaa..huu mwichi hata beach unachetuka naye tu[emoji39]
Wrestlers!dahπKitambi kama cha Okonkwo!?
Kuna kavideo kakatupia anacheza wimbo wa diamond, (jeje) kwakweli huyu kaka Yuko vizuri kwa jinsi nilivyomchunguliaAna mwili mzuri Sana aisee!π
Kuna kavideo kakatupia anacheza wimbo wa diamond, (jeje) kwakweli huyu kaka Yuko vizuri kwa jinsi nilivyomchungulia
Mimi ndio Mo mwenyewe, nyanyua mikono juu umshukuru bwana tayari amesikia hitajio lako, nitamtuma dereva wangu akufate uje tukeshe kama kote! nukta!Kimapenzi..yuko romantic...hachoshi...hachushi!..kukesha Kama kote!nukta!
ππππππ¦π¦π¦π¦π¦π¦Mimi ndio Mo mwenyewe, nyanyua mikono juu umshukuru bwana tayari amesikia hitajio lako, nitamtuma dereva wangu akufate uje tukeshe kama kote! nukta!
[emoji1787][emoji1787] dahh, binadamu muna misemno aseeNanukuu..
Ukubwa wa sauti ya sabufa ..ndio ukubwa wa umaskini wa mmiliki..
Ila nipe maoni yako kwanza unaichuliaje tivii yangu?[emoji1][emoji1][emoji1][emoji1][emoji1][emoji97][emoji97][emoji97][emoji97][emoji97][emoji97]
Mie naona kawaida tu...iwe kubwa au ndogo poa tuIla nipe maoni yako kwanza unaichuliaje tivii yangu?
Inaendana na hadhi yangu?