Mufti kuku The Infinity
JF-Expert Member
- Sep 21, 2019
- 6,053
- 10,032
I think you meant Tanzania
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Yupo sahihi maana mkopaji ni Tanganyika na mlipaji ni Tanganyika..I think you meant Tanzania
Yupo sawa.Inakopa Tanganyika halafu wanatumia pamoja na Zanzibar ila kulipa kunarudi kwa Tanganyika.Tanganyika ni kama mshumaa tu.Unajimaliza kwa kuwaangazia wengine.I think you meant Tanzania
Yupo sahihi maana mkopaji ni Tanganyika na mlipaji ni Tanganyika..
Uhusika wa Zanzibar Kwenye mikopo upo kwenye kuitumbua pekee
Kumbe hutokea mawazo kuwa bampa to bampa/bumper to bumper?Yupo sawa.Inakopa Tanganyika halafu wanatumia pamoja na Zanzibar ila kulipa kunarudi kwa Tanganyika.Tanganyika ni kama mshumaa tu.Unajimaliza kwa kuwaangazia wengine.
Yule maneno meeengi huku hesabu anazozijua ni kujumlisha na kutoa tuu!Ngoja aje Daktari Bingwa wa Uchumi kutoka Mkoa wenye alizeti zake atupe Shule ya Uchumi na Mikopo 🤗
Anataka kutulinganishia kilimo mseto cha familia moja kwa ufugaji punda ulinganishwe na uchumi wa nchi.Madelu won't stop being comical.Yule maneno meeengi huku hesabu anazozijua ni kujumlisha na kutoa tuu!
Daktari Bingwa wa UchumiYule maneno meeengi huku hesabu anazozijua ni kujumlisha na kutoa tuu!
MwiguluAdhibitiwe!!
Hii inflation haikuwepo wakati wa JPM?CHADEMA kwa sasa ina watu wasio na akili kabisa kuweza kujenga hoja. Trilioni 30 ya nyakati ni trilioni ngapi za enzi za mwalimu? Kwa miaka yote hiyo hakuna kushuka thamani ya pesa wala inflation? Mwaka 2001 dola ilikuwa Tsh 900 na leo hii ni 2600 na bado hujaongeza 2% ya inflation kwa mwaka. Halafu kila rais wa Tanzania huwa akiingia madarakani anapokea miradi inayoendelea huku akianzisha mingine mipya. Na katika marais wote Mama Samia kapokea miradi mikubwa inayohitaji matrilioni mengi sana. Ifike sehemu CHADEMA muache upumbavu.
JPM aliyemng'oa CAG kwa kuanika matumizi ya trilioni 1.5 yasiyoeleweka? Au JPM yupi ulimaanisha?Hii inflation haikuwepo wakati wa JPM?
Huyo huyo, haikuwepo hiyo inflation?JPM aliyemng'oa CAG kwa kuanika matumizi ya trilioni 1.5 yasiyoeleweka? Au JPM yupi ulimaanisha?
Kama ni huyo sina haja ya kuendelea kukujibu. Amini unachoaminiHuyo huyo, haikuwepo hiyo inflation?
Hapa sio imani, ni hoja, toa hoja tu.Kama ni huyo sina haja ya kuendelea kukujibu. Amini unachoamini