Inside10
JF-Expert Member
- May 20, 2011
- 29,909
- 32,414
Kwani kila mtu anakaa huko daslamu sie wengine nauli 2000 kwenda na kurudi.Yaan nauli from dsm to Arusha zaidi ya 40'000 plus kurudi ili kufata nyama??
R.i.p Lowassa
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwani kila mtu anakaa huko daslamu sie wengine nauli 2000 kwenda na kurudi.Yaan nauli from dsm to Arusha zaidi ya 40'000 plus kurudi ili kufata nyama??
R.i.p Lowassa
Arusha hii Kuna mtu mwenye shida ya nyama kweli?Hii ni kali kwelikweli, sijawahi ona ng'ombe wengi kiasi hiki (zaidi ya 100) kwenye msiba mmoja na wenye afya kama hawa wakichinjwa kuliwa nyama msibani..
Bila shaka Arusha, Manyara na Kilimanjaro yote inahamia Monduli kwenda kula nyama na kumwaga Mzee Edward Ngoyai Lowassa...
Vijana walevi wasio na uhakika wa kula arusha wamejaa kuliko sehemu yeyote hapa TzArusha hii Kuna mtu mwenye shida ya nyama kweli?
Ni maombolezo ya mpendwa wao.Hii ni kali kwelikweli, sijawahi ona ng'ombe wengi kiasi hiki (zaidi ya 100) kwenye msiba mmoja na wenye afya kama hawa wakichinjwa kuliwa nyama msibani..
Bila shaka Arusha, Manyara na Kilimanjaro yote inahamia Monduli kwenda kula nyama na kumwaga Mzee Edward Ngoyai Lowassa...
[emoji23][emoji23][emoji23] Watu mnavituko hatari.Kama pale barabarani wamemtia mtu ngumi akazima pale pale huko kwenye chakula bin maankuli si wataua kabisa watu
Buchani ndiko kuna vibudu lkn wale anachinjwa unaona mwenyewe, ila una roho mbaya.Nani akale vibudu huko wakati nyama tunakula deile hadi tunaugua gout
Ikiwamo na weweKaribuni sana. Baba ametangulia wengine mtafuata