Twendeni msibani Monduli - Arusha: zaidi ya ng'ombe 100 watachinjwa na kuliwa nyama kwenye msiba wa Laigwananani Edward Ngoyai Lowassa

Twendeni msibani Monduli - Arusha: zaidi ya ng'ombe 100 watachinjwa na kuliwa nyama kwenye msiba wa Laigwananani Edward Ngoyai Lowassa

Hii ni kali kwelikweli, sijawahi ona ng'ombe wengi kiasi hiki (zaidi ya 100) kwenye msiba mmoja na wenye afya kama hawa wakichinjwa kuliwa nyama msibani..

Bila shaka Arusha, Manyara na Kilimanjaro yote inahamia Monduli kwenda kula nyama na kumwaga Mzee Edward Ngoyai Lowassa...
Arusha hii Kuna mtu mwenye shida ya nyama kweli?
 
Watz akili hatuna kabisa ilitakiwa msiudhurie huko msibani , Ili kushinikiza aliyempiga mtu ngumi achukuliwe hatua hata kulipa faini.
 
Mpaka akili zikae sawa tuna safari ndefu kuliweka taifa kwenye ramani ya dunia
 
Umasikini ni kitu kibaya sana....kama katika maisha yako chakula ni kitu kinakusumbua Sana kupata au ukiona unaenda kwenye sherehe etc ili ule basi jitathimini sana kimaisha. Yaan hapo unaweza nunuliwa kwa ajili ya chakula..
 
Hii ni kali kwelikweli, sijawahi ona ng'ombe wengi kiasi hiki (zaidi ya 100) kwenye msiba mmoja na wenye afya kama hawa wakichinjwa kuliwa nyama msibani..

Bila shaka Arusha, Manyara na Kilimanjaro yote inahamia Monduli kwenda kula nyama na kumwaga Mzee Edward Ngoyai Lowassa...
Ni maombolezo ya mpendwa wao.
 
Back
Top Bottom