gemseeker23
JF-Expert Member
- Jan 26, 2023
- 354
- 246
hakuna mtu atashangaa maana sehemu ulizotaja arusha moshi manyara kwakweli nyama ni kama jadi nenda kwa morombo na kisongo ukaone watu wanavyokula nyamaHii ni kali kwelikweli, sijawahi ona ng'ombe wengi kiasi hiki (zaidi ya 100) kwenye msiba mmoja na wenye afya kama hawa wakichinjwa kuliwa nyama msibani..
Bila shaka Arusha, Manyara na Kilimanjaro yote inahamia Monduli kwenda kula nyama na kumwaga Mzee Edward Ngoyai Lowassa...