Twendeni msibani Monduli - Arusha: zaidi ya ng'ombe 100 watachinjwa na kuliwa nyama kwenye msiba wa Laigwananani Edward Ngoyai Lowassa

Kuna
Msiba huu ambao waombolezaji wanakung'utwa makonde kwa kujipanga barabarani kuaga? Kwenye majungu ya minofu si watafanyiwa zaidi ya ilo?😂😂😂mzikane tu!
Kuwa na akili basi kidogo, waombolezaji gani walikung'utwa makonde? Kulikuwa na maelfu ya waombolezaji wewe uliona yule mlevi mwenzako mmoja kama vile wako wengi baada ya kuadabushwa?
 
Kuna
Kuwa na akili basi kidogo, waombolezaji gani walikung'utwa makonde? Kulikuwa na maelfu ya waombolezaji wewe uliona yule mlevi mwenzako mmoja kama vile wako wengi baada ya kuadabushwa?
Nilizo nazo zinanitosha ndugu. Wala sikuwa na shida ya kuwaona wengi,huyo niliyemuona anatosha kabisa. Hata mchele ujae ungo,uwa tunaona uchafu maana haupaswi kuwa humo.
 
Wangechinja ngiri 100 au ngamia 100 siyo ng’ombe imejaa buchani kila mtaa.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…