Uamuzi wa ku-cheat ni wake

😁😁😁
 
Kupitia stori ya baltazar nimejiridhisha wanawake wanacheat sana tena sana,sema wasiri sana ngumu kuwagundua
Teh, nawashangaaga sana wanaume wanaojibana kuhudumia sana mwanamke eti ili asipate vishawishi akaenda kumchiti kwa mwanaume mwingine.

Mlioyaona kwa Baltazar ndo tabia halisi ya mwanamke, akiamua atachiti tu hata umpe mbingu na nchi
 
Zinapatikana wapi hizo video 400? alonazo tuwasiliane pembeni
 
Uislamu peke ndo ilioelewa mwanamke ni wa aina gani na ukamuekea mipaka na jinsi ya kujistili kwa wanaume wasio waume zake
Nimewapiga piga Tanga wavaa hijab wale ndio wazuri wakati wa kuingia Gest anajifunika mwili wote anawezapishana hata na mumewe mule Gest

Kiufupi wale ndio hatari Bora Mama ntilie achokaye na kazi mgahawani.
 
Teh, nawashangaaga sana wanaume wanaojibana kuhudumia sana mwanamke eti ili asipate vishawishi akaenda kumchiti kwa mwanaume mwingine.

Mlioyaona kwa Baltazar ndo tabia halisi ya mwanamke, akiamua atachiti tu hata umpe mbingu na nchi
Mkuu umemaliza kila kitu,wanawake wanacheat kama sisi tu wanaume hakuna tofauti
 
Wewe ndiye hujielewi kabisa
 
Teh, nawashangaaga sana wanaume wanaojibana kuhudumia sana mwanamke eti ili asipate vishawishi akaenda kumchiti kwa mwanaume mwingine.

Mlioyaona kwa Baltazar ndo tabia halisi ya mwanamke, akiamua atachiti tu hata umpe mbingu na nchi
Tatizo ni nyie kudhani wanawake hawana hisia
 
Embu tumuone wa kwako huyo high standard
 
Nimewapiga piga Tanga wavaa hijab wale ndio wazuri wakati wa kuingia Gest anajifunika mwili wote anawezapishana hata na mumewe mule Gest

Kiufupi wale ndio hatari Bora Mama ntilie achokaye na kazi mgahawani.
Huoni hata wasagaji wengi wanajitanda na kujisitiri?
 
Wanasemaga ukioa Binti bikira hawezi chiti, sasa katika idadi hiyo ya wake za watu alopita nao ina maana wote hawakuolewa na bikira zao?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…