Uamuzi wa ku-cheat ni wake

Uamuzi wa ku-cheat ni wake

Sina full context ya hiyo taarifa. Lakini kwa udadisi tu kuna uwezekano hao wanawake wote ni Wafanyakazi au wasomi wanaotafuta kazi. Sababu mwanamke ni kiumbe kilichokuwa-programmed kuhudumiwa, na yeye ata automatically reciprocate hiyo treatment kwa mwili wake. Au wanaita kurudisha fadhila kwa kiswahili. It's in their nature. Hivyo ni vizuri mwanamke akiolewa akae nyumbani alee familia na mwanaume awe full support system.

Vinginevyo huko kazini ndio kutageuka nyumba na boss anayempa mshahara atamuona equivalent au kama mume. Na ndio maana wanawake wengi wenye kazi (hasa sekta binafsi) hawaheshimu ndoa zao, sababu ameolewa mara mbili. Kifuatacho tumia akili yako mwenyewe.

Alafu hao wanawake ni wakawaida kinyama, ni below, below average. Ina make sense kuwapata kirahisi sababu hawana soko, hivyo yoyote atayeonesha interest hata kama ni kiwete hawawezi kataa.
😁😁😁
 
Kupitia stori ya baltazar nimejiridhisha wanawake wanacheat sana tena sana,sema wasiri sana ngumu kuwagundua
Teh, nawashangaaga sana wanaume wanaojibana kuhudumia sana mwanamke eti ili asipate vishawishi akaenda kumchiti kwa mwanaume mwingine.

Mlioyaona kwa Baltazar ndo tabia halisi ya mwanamke, akiamua atachiti tu hata umpe mbingu na nchi
 
Kutokana na hili sakata la Baltazar kuna mambo Mengi ya kujifunza hapa, nitaelezea kwa summary tu;

Most of the women ambao walicheat na Jamaa , wapo kwenye mahusiano na matajiri wa kubwa na pia powerful men.

Kwa waliodhan kwamba Hawa wanawake walicheat kwasababu ya pesa au umaarufu au chochote Hapana walienda pale kwasababu ya adventure tu.

Kuanzia binti wa prezda, wake 20 wa mawaziri na wengine wengi walitoka kwenye nyumba zenye utajiri na Kila kitu kilichojitosheleza.

Wanaume/wanawake wa naweza kuamua kucheat na mwanaume/mwanamke yeyote mwingine atakayeamua bila kujali elimu, nafasi yake katika Jamii, dini , cheo nafasi ya kifedha.

Hakuna akili ya ziada, principle au chochote kile kinachoweza kumzuia mwanamke/mwanaume kucheat labda kama binafsi hajataka au hajaamua tu.

Huwezi kumzuia asicheat, huwezi kumtisha asicheat, huwezi kuwahi mbele ya mipango yake ya kucheat na pia huwezi kupata mwanamke mwenye uwezekano mdogo kabisa wa kucheat hiyo ni probability.

Hii trendy pia imetufundisha kwamba wanawake wengi wanacheat na wanaume wao siyo rahisi kujua, kugundua au kuhisi.

Mwanamke wako anaweza akawa ofisin anayola na boss wake, mfanyakazi mwenzie, nurse anatoka na dokta, mfanyabiashara anatoka na mteja wake, mwalimu na mwalim mwenzie, n.k

Chakufanya kwa wakati huu ni kucheza/kukaa katika nafasi yako kikamilifua na kutumaini kwamba ana sense ya kujithamini (self worth ) kwasababu maamuzi ya kucheat yapo mikononi mwake.

Exactly this is why loyal women needs their flowers.

Class dismissed, no offense I beg to submit.
Zinapatikana wapi hizo video 400? alonazo tuwasiliane pembeni
 
Uislamu peke ndo ilioelewa mwanamke ni wa aina gani na ukamuekea mipaka na jinsi ya kujistili kwa wanaume wasio waume zake
Nimewapiga piga Tanga wavaa hijab wale ndio wazuri wakati wa kuingia Gest anajifunika mwili wote anawezapishana hata na mumewe mule Gest

Kiufupi wale ndio hatari Bora Mama ntilie achokaye na kazi mgahawani.
 
Teh, nawashangaaga sana wanaume wanaojibana kuhudumia sana mwanamke eti ili asipate vishawishi akaenda kumchiti kwa mwanaume mwingine.

Mlioyaona kwa Baltazar ndo tabia halisi ya mwanamke, akiamua atachiti tu hata umpe mbingu na nchi
Mkuu umemaliza kila kitu,wanawake wanacheat kama sisi tu wanaume hakuna tofauti
 
Sina full context ya hiyo taarifa. Lakini kwa udadisi tu kuna uwezekano hao wanawake wote ni Wafanyakazi au wasomi wanaotafuta kazi. Sababu mwanamke ni kiumbe kilichokuwa-programmed kuhudumiwa, na yeye ata automatically reciprocate hiyo treatment kwa mwili wake. Au wanaita kurudisha fadhila kwa kiswahili. It's in their nature. Hivyo ni vizuri mwanamke akiolewa akae nyumbani alee familia na mwanaume awe full support system.

Vinginevyo huko kazini ndio kutageuka nyumba na boss anayempa mshahara atamuona equivalent au kama mume. Na ndio maana wanawake wengi wenye kazi (hasa sekta binafsi) hawaheshimu ndoa zao, sababu ameolewa mara mbili. Kifuatacho tumia akili yako mwenyewe.

Alafu hao wanawake ni wakawaida kinyama, ni below, below average. Ina make sense kuwapata kirahisi sababu hawana soko, hivyo yoyote atayeonesha interest hata kama ni kiwete hawawezi kataa.
Wewe ndiye hujielewi kabisa
 
Teh, nawashangaaga sana wanaume wanaojibana kuhudumia sana mwanamke eti ili asipate vishawishi akaenda kumchiti kwa mwanaume mwingine.

Mlioyaona kwa Baltazar ndo tabia halisi ya mwanamke, akiamua atachiti tu hata umpe mbingu na nchi
Tatizo ni nyie kudhani wanawake hawana hisia
 
Sina full context ya hiyo taarifa. Lakini kwa udadisi tu kuna uwezekano hao wanawake wote ni Wafanyakazi au wasomi wanaotafuta kazi. Sababu mwanamke ni kiumbe kilichokuwa-programmed kuhudumiwa, na yeye ata automatically reciprocate hiyo treatment kwa mwili wake. Au wanaita kurudisha fadhila kwa kiswahili. It's in their nature. Hivyo ni vizuri mwanamke akiolewa akae nyumbani alee familia na mwanaume awe full support system.

Vinginevyo huko kazini ndio kutageuka nyumba na boss anayempa mshahara atamuona equivalent au kama mume. Na ndio maana wanawake wengi wenye kazi (hasa sekta binafsi) hawaheshimu ndoa zao, sababu ameolewa mara mbili. Kifuatacho tumia akili yako mwenyewe.

Alafu hao wanawake ni wakawaida kinyama, ni below, below average. Ina make sense kuwapata kirahisi sababu hawana soko, hivyo yoyote atayeonesha interest hata kama ni kiwete hawawezi kataa.
Embu tumuone wa kwako huyo high standard
 
Kutokana na hili sakata la Baltazar kuna mambo Mengi ya kujifunza hapa, nitaelezea kwa summary tu;

Most of the women ambao walicheat na Jamaa , wapo kwenye mahusiano na matajiri wa kubwa na pia powerful men.

Kwa waliodhan kwamba Hawa wanawake walicheat kwasababu ya pesa au umaarufu au chochote Hapana walienda pale kwasababu ya adventure tu.

Kuanzia binti wa prezda, wake 20 wa mawaziri na wengine wengi walitoka kwenye nyumba zenye utajiri na Kila kitu kilichojitosheleza.

Wanaume/wanawake wa naweza kuamua kucheat na mwanaume/mwanamke yeyote mwingine atakayeamua bila kujali elimu, nafasi yake katika Jamii, dini , cheo nafasi ya kifedha.

Hakuna akili ya ziada, principle au chochote kile kinachoweza kumzuia mwanamke/mwanaume kucheat labda kama binafsi hajataka au hajaamua tu.

Huwezi kumzuia asicheat, huwezi kumtisha asicheat, huwezi kuwahi mbele ya mipango yake ya kucheat na pia huwezi kupata mwanamke mwenye uwezekano mdogo kabisa wa kucheat hiyo ni probability.

Hii trendy pia imetufundisha kwamba wanawake wengi wanacheat na wanaume wao siyo rahisi kujua, kugundua au kuhisi.

Mwanamke wako anaweza akawa ofisin anayola na boss wake, mfanyakazi mwenzie, nurse anatoka na dokta, mfanyabiashara anatoka na mteja wake, mwalimu na mwalim mwenzie, n.k

Chakufanya kwa wakati huu ni kucheza/kukaa katika nafasi yako kikamilifua na kutumaini kwamba ana sense ya kujithamini (self worth ) kwasababu maamuzi ya kucheat yapo mikononi mwake.

Exactly this is why loyal women needs their flowers.

Class dismissed, no offense I beg to submit.
Wanasemaga ukioa Binti bikira hawezi chiti, sasa katika idadi hiyo ya wake za watu alopita nao ina maana wote hawakuolewa na bikira zao?
 
Back
Top Bottom