Uandaaji wa filamu ya Royal Tour tumepigwa lakini uzinduzi wake tunapigwa zaidi!

Kanumba angekuwepo kwenye filamu ingependeza sn na ingekuwa kali zaidi
 
si wamesema serikali aijatoa hela bali hela zimetolewa na wafanya biashara
 
si wamesema serikali aijatoa hela bali hela zimetolewa na wafanya biashara
Ulitaka waseme nini baada ya kusikia kelele za wananchi wakilaani Rais wa nchi kuwa nje ya nchi yake kwa zaidi ya wiki mbili akitumbua fedha za umma bila shughuli ya maana kwa Taifa!
 
Ulitaka waseme nini baada ya kusikia kelele za wananchi wakilaani Rais wa nchi kuwa nje ya nchi yake kwa zaidi ya wiki mbili akitumbua fedha za umma!
hii noma sana inabidi wajitathimini
 
Anaumwaga mwingi
 
Ulipimaje hao watalii 600 toka France kabla haijatoka
 
MaCHADEMA again. Achaneni na Royal Tour. Tangu mwanzo mlishajitoa
 
Leo wakuu wote na magwanda yao wapo mjengoni wanacheki mchupa.
 
Hujaiona hiyo mikataba ya trl 11 ya akina rostam? Au ulitegemea uone vibabu vikiota jua seronera
Nikueleze tu hata mikataba ya Richmond mawaziri walienda Marekani kwa mbwembwe zote na kuahidi umeme kukatika itakua historia ila tukapigwa kitu kizito
 
Ah! Kumbe ni wewe, ningeshangaa kama angekuwa mtu mwenye akili timamu!

Mbona unaswaga za akina juma lokole? Akili zangu timamu ndo maana naweza kukuonesha pumba unazoandika hapa
 
Tumepigwa! Tumepigwa sisi! Tumepigwa sana!
pesa zilizolipwa kwenye bargain za wliobambakiziwa kesi za uhunumu uchumi na magufuli zimekwenda wapi mbona hazionekani hiyo ndio mada ya kuizungumza.
 
Bila shaka utafanywa wewe!
Wewe unangoja nini, wenzako tumeziona fursa na tunazitumia kweli kweli, hujamuona Rostam yuko USA na mama? Hujamuona mkurugenzi wa Bakhresa kijana mdgo kabisa, Salim Aziz yupo USA na mama wanaziwahi fursa?
 
Sssa unataka tufanye nini kwani tumeanza kupigwa leo?nikipi kimewahi kufanyika kikaleta manufaa kwa wananchi?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…