dudus
JF-Expert Member
- Feb 28, 2011
- 23,782
- 54,213
... issue ndogo sana hiyo! ... yatatungiwa sheria!Naanza mchakato wa kuishi kwenye handaki
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
... issue ndogo sana hiyo! ... yatatungiwa sheria!Naanza mchakato wa kuishi kwenye handaki
hivi ile kodi ya visima iliishia wapi? kwamba kila mwenye kisima kwake alipie kodi ya maji.Sheria inasemaje kuhusu kila nyumba kulipa kodi, iwe kwenye surveyed or unsurveyed areas? Is this not against the law?
Huyo brother ndo atalipaNi ngumu kutoza kodi ya nyumba maana mimi nitasema nakaa kwa Brother amenipa nikae bure.
Nani ataverify kiwango cha kodi? maana mimi naweza kusema nalipa elfu 50 kwa mwezi.Huyo brother ndo atalipa
Haina shida najenga bonge la kiota... issue ndogo sana hiyo! ... yatatungiwa sheria!
Kwani undahani si atulipi kodi? Au unadhani kodi ni PAYE tu?Lipeni kodi jaman
Walimu tunalipa kodi kila mwezi
Sasa hamtaki kulipa kodi mnategemea nini???
Nyumba nyingi za kawaida zinalipiwa sh.10,000/= kwa mwaka. Za udongo zinalipiwa sh.5000/= bilashaka maghorofa yanalipiwa zaidi. Kwa mujibu wa Jafo, ambaye aliagiza nyumba zote nchini kusajiliwa mpaka kufikia tarehe 28 Februari, kila nyumba ya tofali itatakiwa kulipiwa kodi.Nani ataverify kiwango cha kodi? maana mimi naweza kusema nalipa elfu 50 kwa mwezi.
Ohoo unazungumzia kodi ya ardhi na jengo kumbe mie nilijua House Rent ambayo ndio inakatwa kodi.Nyumba nyingi za kawaida zinalipiwa sh.10,000/= kwa mwaka. Za udongo zinalipiwa sh.5000/= bilashaka maghorofa zinalipiwa zaidi. Kwa mujibu wa Jafo, ambaye aliagiza nyumba zote nchini kusajiliwa mpaka kufikia tarehe 28 Februari, kila nyumba ya tofali itatakiwa kulipiwa kodi.
KODI ni kipato..kama huna kipato hulipii kodi (kijijini)... juzi niliwasiliana na jamaa zangu vijijini huko; kila nyumba na kila banda pote pote lilipo ndani ya mipaka ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania (TANZANIA BARA) linaingizwa kwenye rejesta kuu ili lilipe kodi. Kodi ni wajibu wa kila mtanzania aliyefikisha 18. Kila mtu atafikiwa.
... mchuma janga hula na wa kwao; wahenga hawajawahi kufanya mistake katika fasihi elimishi.wamewatukana wazungu waliokuwa wana2apa pesa za bure wamewakatia mirija wanatugeukia sisi.
... ziko kodi za aina kadhaa; zinazotokana na vipato na zisizotokana na vipato. Kipande cha ardhi hata kama hakikuingizii kipato unapaswa kukilipia kodi; vivyo hivyo kwa nyumba hata kama ni ya makazi tu. Hivi unajua kuliwahi kuwa na kodi hadi za redio na kichwa? Kichwa kinakuingizia kipato gani hadi ukilipie kodi?KODI ni kipato..kama huna kipato hulipii kodi (kijijini)
... muswada wa sheria ya viota vya makazi itakuhusu.Haina shida najenga bonge la kiota
kodi ya kichwa,redio baiskeli ni za kikoloni........ ziko kodi za aina kadhaa; zinazotokana na vipato na zisizotokana na vipato. Kipande cha ardhi hata kama hakikuingizii kipato unapaswa kukilipia kodi; vivyo hivyo kwa nyumba hata kama ni ya makazi tu. Hivi unajua kuliwahi kuwa na kodi hadi za redio na kichwa? Kichwa kinakuingizia kipato gani hadi ukilipie kodi?
kipato kinakuja kama wenye mamlaka wametengeneza mazingira ya ajira na uwekezaji. sasa nchi hii viongozi wanatamani 'matajiri waishi kama mashetani' unategemea raia wake watakuwa na kipato cha kueleweka kiasi cha kuwarundikia kodi wakati hawana kazi?KODI ni kipato..kama huna kipato hulipii kodi (kijijini)
sijui viliishia wap...hivi ile kodi ya visima iliishia wapi? kwamba kila mwenye kisima kwake alipie kodi ya maji.