Uandishi wa mume wa Zamaradi Mketema 'says it all'

Aliacha chuo Zama hakumaliza
Nilijua tu, kwa akili zake hizo za kuweka mabango na kuandika magazeti Instagram, atakua na yeye ni seti tupu tu. Amshukuru sana sana marehemu Ruge kwa kumpandisha chati na kuzaa nae at least atakua na watoto upstairs wako vizuri, lakini hao wa shamba boy tunamuachia mola maana baba zero na mama zero. hatwariii sana.
 
Alishiriki Umiss akawa kwenye zile top three Nadhani mzazi,hakuendelea Tena na chuo akarudi nyumbani akaanza kutangaza C2C baadae kidogo tetesi zikaja kua Yuko na ruge na ndo anampa maisha na Kwa kua alikua ana akili za kujiongeza akaweka kibanda Kwa ruge kabisa mpk kwenda clouds n.k!!!
 
ok ok hii ni aina ya wanawake tunawaita kilugha " opportunist" kwamba wakinusa fursa wanaweza toa chochote ili wapate wanachokitaka ikiwa ni pamoja na papuchi, Tigo, mimba n.k ili wafikie malengo; na bongo wapo wengi sana wa hivyo. Kumdhulumu kijana wa watu ujira wake halali halafu kumuweka lockup huo ni ushetwani kabisa.Walaaniwe
 
Kuna Feza za aina mbili.

Kuna feza za mtaala wa necta ambazo ada ni around milioni nane kwa mwaka

Na kuna feza za mtaala wa cambridge ambazo ada ni around milioni 20 kwa mwaka.

Watoto wa zamaradi wanasoma za mtaala wa cambridge

Sawa Njoo tuzae wote tumpeleke mtoto wetu hiyo inayotumia syllabus ya Cambridge [emoji6]
 
Hio nyumba mwanzoni ikisemekana huyo mwamba ndio kaijenga nguvu katolea kwa mjomba wake ambae ni pm
 
Kwahiyo hio nyumba bimdashi amechukulia mkopo?!,huyu mwanamke anajaribu kutuaminisha mumewe yupo njema kifedha kumbe yeye ndio anaumia kwa kumaintane status ya mumewe
 
Ujumbe sahihi hufikishwa kwa lugha sahihi,
Sometimes mtu unaweza kudharaulika kwa uandishi wako tu,
Uandishi hutoa picha halisi ya kujua jinsi mtu huyo alivyo.
hahaha kuna wakati nikiwa sitaki mambo mengi huwa najibu msg bila kuacha nafasi (mwandiko wa ki beki 3)

niliwahi mwandikia jamaa 1, akawaambia washkaji kuwa mm n bwege sana
 
Mimi nimeona tu pale alipokuwa ANATUSII kuhusu MAOJIANO wakati ALIKATA KURIPA ADA na kumbe yeye hali HULISI au ULISI na huku dalali muuza nyumba AJALETWA ili ipostiwe ULIOLISI
"ANATUSII kuhusu MAOJIANO wakati ALIKATA KURIPA ADA na kumbe yeye hali HULISI au ULISI na huku dalali muuza nyumba AJALETWA ili ipostiwe ULIO"

Mkuu naomba unieleweshe hapo juu kama umeelewa
 
Mbwembwe tu pale aliingia chaka
Ujue Kuna watu wanapenda sifa sana kias wakipata majanga watu wanashindwa kuwatetea hata kidogo..ifike mahala watu wakubali Hali zao
Kujifanya Wana pesa halafu wanadhulumu watu kitu ambacho sio kizuri kabisaa
Nimesoma Mange kashusha historia fupi ya Shaban na ina make sense aisee.Zama aliamini kabisa kaolewa na nephew wa PM.Sasa kila kitu hadharani kumbe ni mtoto wa Sangoma kutoka Ndanda na hana undugu wowote na PM.Haya maisha ukijifanya mjuaji watu wanafungua mafile yako vizuri tu.Sasa Shaban zile mbwembwe za mpwa wake PM zimemalizwa kabisa.
 
Kwamba Baba alikuwa mfuga Sungura za kwa PM [emoji3][emoji3]
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…