Uandishi wa mume wa Zamaradi Mketema 'says it all'

Uandishi wa mume wa Zamaradi Mketema 'says it all'

Aliacha chuo Zama hakumaliza
Nilijua tu, kwa akili zake hizo za kuweka mabango na kuandika magazeti Instagram, atakua na yeye ni seti tupu tu. Amshukuru sana sana marehemu Ruge kwa kumpandisha chati na kuzaa nae at least atakua na watoto upstairs wako vizuri, lakini hao wa shamba boy tunamuachia mola maana baba zero na mama zero. hatwariii sana.
 
Nilijua tu, kwa akili zake hizo za kuweka mabango na kuandika magazeti Instagram, atakua na yeye ni seti tupu tu. Amshukuru sana sana marehemu Ruge kwa kumpandisha chati na kuzaa nae at least atakua na watoto upstairs wako vizuri, lakini hao wa shamba boy tunamuachia mola maana baba zero na mama zero. hatwariii sana.
Alishiriki Umiss akawa kwenye zile top three Nadhani mzazi,hakuendelea Tena na chuo akarudi nyumbani akaanza kutangaza C2C baadae kidogo tetesi zikaja kua Yuko na ruge na ndo anampa maisha na Kwa kua alikua ana akili za kujiongeza akaweka kibanda Kwa ruge kabisa mpk kwenda clouds n.k!!!
 
Alishiriki Umiss akawa kwenye zile top three Nadhani mzazi,hakuendelea Tena na chuo akarudi nyumbani akaanza kutangaza C2C baadae kidogo tetesi zikaja kua Yuko na ruge na ndo anampa maisha na Kwa kua alikua ana akili za kujiongeza akaweka kibanda Kwa ruge kabisa mpk kwenda clouds n.k!!!
ok ok hii ni aina ya wanawake tunawaita kilugha " opportunist" kwamba wakinusa fursa wanaweza toa chochote ili wapate wanachokitaka ikiwa ni pamoja na papuchi, Tigo, mimba n.k ili wafikie malengo; na bongo wapo wengi sana wa hivyo. Kumdhulumu kijana wa watu ujira wake halali halafu kumuweka lockup huo ni ushetwani kabisa.Walaaniwe
 
Kuna Feza za aina mbili.

Kuna feza za mtaala wa necta ambazo ada ni around milioni nane kwa mwaka

Na kuna feza za mtaala wa cambridge ambazo ada ni around milioni 20 kwa mwaka.

Watoto wa zamaradi wanasoma za mtaala wa cambridge

Sawa Njoo tuzae wote tumpeleke mtoto wetu hiyo inayotumia syllabus ya Cambridge [emoji6]
 
Halafu hapo kwenye waraka wake kaisema familia ya Ruge,eti hawajawahi kuleta hata chupi,kamsema Kusaga alikataa kutoa ada na kamsema Ruge alikufa bila kuacha mambo sawa. Kasahau kuwa anaishi kwenye nyumba iliyojengwa na marehemu Ruge. Ila sema ninasikia wanaume wa kutoka Lindi na Mtwara wapo vizuri sana kwenye bed.
Hio nyumba mwanzoni ikisemekana huyo mwamba ndio kaijenga nguvu katolea kwa mjomba wake ambae ni pm
 
Kaka kwani haujasikia anaishi nyumba ya mke wake?

Na haujasikia hiyo nyumba ndiyo Zamaradi amechukulia mkopo kwa ajili ya kuendeshea Zamaradi TV?

Meanwhile Zamaradi alikuwa anajisifu kwamba hiyo TV amefunguliwa na mume wake...

Point hapa ni nini? Ni kwamba hawa the so called motivational speakers wana fake sana life.. Huenda wewe na mkeo mko vizuri sana kuwashinda wao, ila kwa sababu ya kufake maisha mnajihisi hamjafanya kitu maishani mwenu kumbe siyo kweli...
Kwahiyo hio nyumba bimdashi amechukulia mkopo?!,huyu mwanamke anajaribu kutuaminisha mumewe yupo njema kifedha kumbe yeye ndio anaumia kwa kumaintane status ya mumewe
 
Ujumbe sahihi hufikishwa kwa lugha sahihi,
Sometimes mtu unaweza kudharaulika kwa uandishi wako tu,
Uandishi hutoa picha halisi ya kujua jinsi mtu huyo alivyo.
hahaha kuna wakati nikiwa sitaki mambo mengi huwa najibu msg bila kuacha nafasi (mwandiko wa ki beki 3)

niliwahi mwandikia jamaa 1, akawaambia washkaji kuwa mm n bwege sana
 
Mimi nimeona tu pale alipokuwa ANATUSII kuhusu MAOJIANO wakati ALIKATA KURIPA ADA na kumbe yeye hali HULISI au ULISI na huku dalali muuza nyumba AJALETWA ili ipostiwe ULIOLISI
"ANATUSII kuhusu MAOJIANO wakati ALIKATA KURIPA ADA na kumbe yeye hali HULISI au ULISI na huku dalali muuza nyumba AJALETWA ili ipostiwe ULIO"

Mkuu naomba unieleweshe hapo juu kama umeelewa
 
Mbwembwe tu pale aliingia chaka
Ujue Kuna watu wanapenda sifa sana kias wakipata majanga watu wanashindwa kuwatetea hata kidogo..ifike mahala watu wakubali Hali zao
Kujifanya Wana pesa halafu wanadhulumu watu kitu ambacho sio kizuri kabisaa
Nimesoma Mange kashusha historia fupi ya Shaban na ina make sense aisee.Zama aliamini kabisa kaolewa na nephew wa PM.Sasa kila kitu hadharani kumbe ni mtoto wa Sangoma kutoka Ndanda na hana undugu wowote na PM.Haya maisha ukijifanya mjuaji watu wanafungua mafile yako vizuri tu.Sasa Shaban zile mbwembwe za mpwa wake PM zimemalizwa kabisa.
 
Nilijua tu, kwa akili zake hizo za kuweka mabango na kuandika magazeti Instagram, atakua na yeye ni seti tupu tu. Amshukuru sana sana marehemu Ruge kwa kumpandisha chati na kuzaa nae at least atakua na watoto upstairs wako vizuri, lakini hao wa shamba boy tunamuachia mola maana baba zero na mama zero. hatwariii sana.
Kwamba Baba alikuwa mfuga Sungura za kwa PM [emoji3][emoji3]
 
Back
Top Bottom