Boss Ruge nae kajitahidi Kwa Wadada..Kwa Zama ndo alitulia japo shoo za nje kama Kawa na mpk kuzaa wale watoto wengine wanaolingana na watoto wakeRuge alikua na Phina mango toka siku kadondoka bongo,mocassin mchongoko na suti bwangaenzi hizo.
Hilo chochoro alilipata tu kupooza hewa baada ya phina kutambaa na mzungu.
Umekumbuka mbaali eehhh[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Eehh...kaka we kama una umbea WA Star with vivid evidence peleka unapata msingi kabisaa au PESA ya kiwanja VikinduHivi kumbe Mange anawalipa hela ndefu namna hii wanaompelekea umbea?
Nimesoma nimebaki gaahhh.....ngachoka mama!!!Nimesoma Mange kashusha historia fupi ya Shaban na ina make sense aisee.Zama aliamini kabisa kaolewa na nephew wa PM.Sasa kila kitu hadharani kumbe ni mtoto wa Sangoma kutoka Ndanda na hana undugu wowote na PM.Haya maisha ukijifanya mjuaji watu wanafungua mafile yako vizuri tu.Sasa Shaban zile mbwembwe za mpwa wake PM zimemalizwa kabisa.
[emoji3526][emoji3526][emoji1][emoji1][emoji1]kaka hashauriki huyuuu .we muache litankuta jambooo baaahhhhhhKumbe wewe ni mmwera,sasa si umshauri kaka yako aisee aache mambo za kiwaki
Wee....Kwenda hukoo[emoji1][emoji1][emoji1787][emoji23][emoji23][emoji1787]unaandika vzr kabisaMbona mnatunyanyapaa sisi tulioishia drs la saba jaman?,kwahiyo mm mwandiko wangu umefanana na wa jamaa[emoji16]
Hapana utu kwanza kaka ,ujue haya mambo yana mwisho na Mange haan Shoga wa kudumu Wala adui wa kudumu unashangaa siku najikuta na mie mbele kabisaaUza tuu unawaza nin aisee,si unamwambia tuu Mange, "please hide my id"unakunja buku tatu yako,ni mpunga mrefu eti
Ukiitea kwenye fursa jua we ndo fursa mwenyewe [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Hlf zama kuna kipindi alianzisha shindano, watu wampelekee ideas mbalimbali na mshindi kupewa milioni moja. Watu wakaandika weee hd leo hamna mshindi alotangazwa
Kaka uko Dunia ya wapi mpk kamtia mdai ndaniKwani Zamaradi anadaiwa na nan au ni kijana yupi anatakiwa amlipe?
Wada wa mujini haooo [emoji1][emoji1]Kwahiyo hio nyumba bimdashi amechukulia mkopo?!,huyu mwanamke anajaribu kutuaminisha mumewe yupo njema kifedha kumbe yeye ndio anaumia kwa kumaintane status ya mumewe
Ndio maana ni fundi garage, yeye na harmo hawana tofauti sanaHuu uandishi mnau-rate ngapi kwa scale ya 1 mpaka 10 wanajamvi.
Kumbe ndiyo maana haandikagi sana mitandaoni..
Ni bora aendelee kukaaga kimya tu, amfichie hizi aibu ndogondogo huyo overrated wife wake.
View attachment 2745599
Hadi yule milly wa tz shaderoom alivalia njuga hilo swala, zama si ndo akampeleka polisi eti milly anamchafua.Ukiitea kwenye fursa jua we ndo fursa mwenyewe [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Nimesoma Mange kashusha historia fupi ya Shaban na ina make sense aisee.Zama aliamini kabisa kaolewa na nephew wa PM.Sasa kila kitu hadharani kumbe ni mtoto wa Sangoma kutoka Ndanda na hana undugu wowote na PM.Haya maisha ukijifanya mjuaji watu wanafungua mafile yako vizuri tu.Sasa Shaban zile mbwembwe za mpwa wake PM zimemalizwa kabisa.
Umekumbuka mbaali eehhh
Hivi Phina mango yuko wapi ?Ruge alikua na Phina mango toka siku kadondoka bongo,mocassin mchongoko na suti bwangaenzi hizo.
Hilo chochoro alilipata tu kupooza hewa baada ya phina kutambaa na mzungu.
Nimesoma nimebaki gaahhh.....ngachoka mama!!!
Yaani Zama Yuko uchi aseehhh
Kaaibika Bora wangemlipa tu kaka wa watu au angekaa kimya baasi
Mwamba alitakiwa apige kimya raia wasingemshtukia,ona sasa kaharibu,wale waliosemaga ukimya ni jibu hawakukoseaMimi bado ntamlaumu jamaa kwa kujiharibia status yake iliopambwa sana na mkewe na maisha haya kwani kurudi darasani bei gani mtu ukajua kuandika vizuri.
Mwamba alipambwa sana kumbe kiazi dah noma. Mitandao injua kuaibisha sana.
@Nyamizi kama Nyamizi [emoji2] halafu unaweza kukuta wewe ni swahiba wake wa karibu sanaKhaa,kumbe na Chuo kaliishia njiani? Ila kidada kina roho mbaya sana,sijui hajioni na alivyo sasa.Jinsi anavyojaribu kutuonyesha yupo vizuri sana na watoto wake kusoma FIS utadhani hapo shuleni wanaosoma ni watoto wake tu.Nilihudhuria mahafari na mwanae pia alikuwa anagraduate.
Wazazi tulimpendekeza yeye ndiyo atoe nasaha kwa niaba yetu kumbe waliompendekeza walijua kina penda sifa hizi.Tangu hili sakata litokee tunakuwa tunapigiana simu na kucheka hatari.Mama muwakilishi wetu katudharirisha sana[emoji3][emoji3]
Wanamantaine status kumbe wanaumia kwa ndani,maisha ya kupretend sio mazuri kabisaKatika kitu nilidharau sana ni huyo mzee wa ULISI kujipa ujiko wa kulipia watoto wa Ruge school fees.Jamaa mwenyewe ukimuona live alivyo mchafu mchafu hata huo uwezo wa kulipia tu hata shule hizi za kawaida za 3.5M hana ije iwe School fees ya FIS.
Umenena kweli hata huyo wa kwao ni Zama ndiyo atakuwa analipia ada na siyo mwanaume.
Milion 16 kwa mwaka dadeekiKuna Feza za aina mbili.
Kuna feza za mtaala wa necta ambazo ada ni around milioni nane kwa mwaka
Na kuna feza za mtaala wa cambridge ambazo ada ni around milioni 20 kwa mwaka.
Watoto wa zamaradi wanasoma za mtaala wa cambridge