Ukisikia mwanamke anasema "mimi kwake sijafuata mali wala muonekano, mimi nampenda vilevile alivyo". basi huyo mwanamke ndiyo huyu sasa.Huu uandishi mnau-rate ngapi kwa scale ya 1 mpaka 10 wanajamvi.
Kumbe ndiyo maana haandikagi sana mitandaoni..
Ni bora aendelee kukaaga kimya tu, amfichie hizi aibu ndogondogo huyo overrated wife wake.
View attachment 2745599
Kijana mbona hutoi heshima kwangu, au Ume sahau mi mwalimu wakoππKabla sijatuma hapa nauliza jirani wa karibu asome kwaza mkuu π
Oyaaa msi nirushie Stimu, kwani SI tuna ishi kwa simu au mdomoπUkisikia mwanamke anasema "mimi kwake sijafuata mali wala muonekano, mimi nampenda vilevile alivyo".
Mwambieni jamaa ajishikilie vizuri kwa huyo dem. Huyo dem anampenda huyo jamaa kiukweli hasa, so jamaa asije akajisahau akaharibu.
Dem anampenda jamaa yake kiasi kwamba wala hata hahitaji kumfanyia editing, wala nini
[emoji1787][emoji1787] mkuu mchagua jembe si mkulimaNi sawa ukutane na shombo la feri wakati wa ......[emoji125][emoji125][emoji125]Inakata stim zote
Vp lakini k aliigusaAmenikumbusha mchaga mmoja ex wangu akiandika sms ukimaliza.kusoma unaenda kumeza diclopar
Herufi kubwa kama zote halafu yaani upuuzi mtupu ngoja nione kama bado ninazo
Sent from my SM-A725F using JamiiForums mobile app
Unakua kama unapaliwa[emoji1787][emoji1787] dah naomba msamaha kwa niaba yao na nawapa ushauri wanywe maji mengiWeweee ile shomba hua hadi inaleta uchungu koooni. Usiombe kukutwa na bwana pepsi nyie hamjui tu
Kwa hiyo unataka kusema anaishi kwa hisani ya kiuno na kifanyio π€?Halafu hapo kwenye waraka wake kaisema familia ya Ruge,eti hawajawahi kuleta hata chupi,kamsema Kusaga alikataa kutoa ada na kamsema Ruge alikufa bila kuacha mambo sawa. Kasahau kuwa anaishi kwenye nyumba iliyojengwa na marehemu Ruge. Ila sema ninasikia wanaume wa kutoka Lindi na Mtwara wapo vizuri sana kwenye bed.
π π π Ni hatariUnakua kama unapaliwa[emoji1787][emoji1787] dah naomba msamaha kwa niaba yao na nawapa ushauri wanywe maji mengi
Mbona hauna tofauti na wanaoandika humu JF.Huu uandishi mnau-rate ngapi kwa scale ya 1 mpaka 10 wanajamvi.
Kumbe ndiyo maana haandikagi sana mitandaoni..
Ni bora aendelee kukaaga kimya tu, amfichie hizi aibu ndogondogo huyo overrated wife wake.
View attachment 2745599
Hii ni kweli, yupo mkaka namfahamu anazo semi trailer zake kadhaa ana biashara na mshiko mzuri tu ila ndo hivyo hajui kuandika vizuri, kuna siku hesabu ndogo tu ya darasa la nne ilimshinda ikabidi nimsaidieKuna jamaa hajui kusoma wala kuandika lakini anapesa mingi sana sasa sijui uandishi sahihi unasaidia nini kwenye dunia hii ya kila kitu pesa.
Sijasahau ticha πKijana mbona hutoi heshima kwangu, au Ume sahau mi mwalimu wakoππ
Walimu wa kiswahili mnatuonea sanaMwandiko mchafu sana!!
Khaa nimeshindwa soma, mwandiko unaumiza kichwa na macho.Walimu wa kiswahili mnatuonea sana
watu wa mahalage lobo wananikera sana nilijua jamaa zimo kichwan kumbe ni mjinga mmoja kuandika pia hajui anachatije na mkewe mimi ningemchoka haraka sana