Uandishi wa mume wa Zamaradi Mketema 'says it all'

Uandishi wa mume wa Zamaradi Mketema 'says it all'

Kuna jamaa hajui kusoma wala kuandika lakini anapesa mingi sana sasa sijui uandishi sahihi unasaidia nini kwenye dunia hii ya kila kitu pesa.
Pesa ni roho kwahiyo zina sayansi nyingi kuzipata.kwahiyo usihadaike na pesa au utajiri wa mtu sababu hujui umepatikanaje..
Eg; nguvu za giza hizo ndo nyingi sana, kubetua( dadeki unakuta mtu ana madiaba matatu yamejaa pesa ndani)
Watchout ridhika na maisha yako ya utafutaji ila ukitaka kwenda beyond nature aiseeh hata sahiz tu ukiitaji pesa zinaweza jaa chumbani kwako! Pesa ni roho inasikia, inaona, inasema, inatembea so ni wewe tu ukiitaji dakika sifuri unajaza diaba hizo home kwako🀣
 
Sema on the other side nimependa jinsi zama anamcover mumewe. Anajitahidi sana kumposition. Tatizo linakuja tu pale anapotumia nguvu kubwa kama kuuza majumba ya ulisi ili kumpa status mumewe.
Anything extra is harmful,Dunia imejaa watu wenye Kila aina ,Yuko sawa ila anakosea anafanya Sasa wengine waone waume zao Bure ,Zama angefanya qiyasi tu Ili kulinda heshima yake,sio wote wanapenda Zama alivyoolewa,anamiliki vya kumiliki,haijalishi hayo ya nyuma ya pazia laiti km angekua kimyaa au anafanya Kwa uchache yasingefika huko mpk kudhalilishwa huku Kwa'ulisi'..
Ukijisifu sana unakosa mtetezi
Mange alimposti profesa Jay alitukanwa mpk amefuta
 
Hajasoma ule ni muandiko WA mtu asiyeenda shule kabisaa au la Saba failure!!na hakika ht mwanangu wa la 5 haandiki vile,nimejua why Zama anatumia nguvu kubwa kuonesha mmewe ana pesa
Mimi tangu ile siku arobaini ya Salah.. kipindi Zama amegombana na Misa sababu ya nguo...

Kwenye kutoa Speech ya Bwana Shabani nilisema tuna safari ndefu sana kwa yule Bwana...

Alikuwa anaongea hata Steve simple Boy ana afadhali..
 
Hili ni tatizo kubwa sana kwa watu maarufu wengi. Hadi sasa hivi bado Mkubwa Fella hana mpinzani kwa uandishi wa hovyo. Nadhani Fella nae ni mtu wa kusini. Mume wa Zamaradi akiongeza juhudi anaweza kuvunja rekodi ya Mkubwa Fella. Harmonize nae hayuko nyuma kwenye hili jambo. Kutoka Kaskazini kuna DC msomi Nikki wa Pili ana tatizo kwenye kuandika.
 
Back
Top Bottom