rikiboy
JF-Expert Member
- Feb 19, 2017
- 21,952
- 43,265
π π π π aiseee kazi ipooEnzi zile za ujana nipata demu,nilipiga chini baada ya sms yake
"Lichadi hani njoo ure. arafu kilisitofa.anakusubili.hapa
πππ
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
π π π π aiseee kazi ipooEnzi zile za ujana nipata demu,nilipiga chini baada ya sms yake
"Lichadi hani njoo ure. arafu kilisitofa.anakusubili.hapa
πππ
Pesa ni roho kwahiyo zina sayansi nyingi kuzipata.kwahiyo usihadaike na pesa au utajiri wa mtu sababu hujui umepatikanaje..Kuna jamaa hajui kusoma wala kuandika lakini anapesa mingi sana sasa sijui uandishi sahihi unasaidia nini kwenye dunia hii ya kila kitu pesa.
Anything extra is harmful,Dunia imejaa watu wenye Kila aina ,Yuko sawa ila anakosea anafanya Sasa wengine waone waume zao Bure ,Zama angefanya qiyasi tu Ili kulinda heshima yake,sio wote wanapenda Zama alivyoolewa,anamiliki vya kumiliki,haijalishi hayo ya nyuma ya pazia laiti km angekua kimyaa au anafanya Kwa uchache yasingefika huko mpk kudhalilishwa huku Kwa'ulisi'..Sema on the other side nimependa jinsi zama anamcover mumewe. Anajitahidi sana kumposition. Tatizo linakuja tu pale anapotumia nguvu kubwa kama kuuza majumba ya ulisi ili kumpa status mumewe.
Kumbe anatoa hadi 5mil kweli mange ni kiwanda πNjaa mbaya umbea wa celebrities unalipwa kuanzia 1m mpk 5m,Sasa hapo Si Hela ya msingi hiyoo...kama ndugu hawako loyal wanakuuza tu mbona!!!
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]sasa wew mwanaume anakutxt beib vip umekuraaa??? si utakuwa wako peke akoo [emoji28] [emoji28] [emoji28]
Watu wanaogombania nae Ulisi[emoji1787][emoji1787][emoji1787]sasa nani atamvamiaaa [emoji28] [emoji28] [emoji28]
Mandingo maana yake ni nini?Sababu wengi wao ni Mandingo
Mimi tangu ile siku arobaini ya Salah.. kipindi Zama amegombana na Misa sababu ya nguo...Hajasoma ule ni muandiko WA mtu asiyeenda shule kabisaa au la Saba failure!!na hakika ht mwanangu wa la 5 haandiki vile,nimejua why Zama anatumia nguvu kubwa kuonesha mmewe ana pesa
Miss you Kekue...TISS ya nyokwe
Mnozama hamkutii shilolee weee ule mziki mwingineee...shilole ni really super woman
Tena ni Mwanamke Mjanja wa Mjini...Kuna wanawake wana matatizo . sasa jitu bumunda kama hilo mtu analipeleka wapi?
zinasoma sufuri mkuu...Hivi mwandiko mzuri na MAISHA yanahusiana vipi?
Nyie wenye hati safi isiyo na mushkeli benk akaunt zenu znasoma BILION ngapi?
[emoji23][emoji23][emoji23]Enzi zile za ujana nilipata demu,nilipiga chini baada ya sms yake
"Lichadi hani njoo ure. arafu kilisitofa.anakusubili.hapa
[emoji1][emoji1][emoji1]
[emoji23][emoji23] [emoji1787]Hila, kene kuwatoreha watu basitora, ipo siku hatachokwa. Aiza ataperekwa porisi hau, watu watahamuha wamkande wenyewe. Sheliha mkononi
Huyo ni marioo fulloption yani yeye hajui hata ada za watoto...yani huyu ndio sele mwenyeweHuyu ndo maana halisi ya "msingi kiuno"
We mwenye mwandiko mushkel una shilingi ngapi benki?π€£π€£π€£tuanze na weweHivi mwandiko mzuri na MAISHA yanahusiana vipi?
Nyie wenye hati safi isiyo na mushkeli benk akaunt zenu znasoma BILION ngapi?