Uandishi wa mume wa Zamaradi Mketema 'says it all'

Uandishi wa mume wa Zamaradi Mketema 'says it all'

Yani ni tatizo sana sasa hivi. Na mitandao hii ndio inawaumbua kabisaa. Watu hawajui kuandika, bado kwenye kuongea wanaongea ‘selasini, semanini, taLehe, staLehe, Apo (hapo), natasmini..’ Bado hawajui kuanza na herufi kubwa kwenye majina ya watu, miji, etc.. Hawajui kuweka nukta wala koma. Mtu anaandika weee, hakuna nukta wala koma.

Yani imekuwa ni vurugu tupu. Na wengine wamefika hadi chuo ila uandishi ni kasheshe. Sijui shida ipo huko mashuleni? Duh..
Mkuu umeamua kutuchambua..... yaani mtu ukimsikia anaongea kama cherehani ila mpe aandike sasa.
 
Halafu hapo kwenye waraka wake kaisema familia ya Ruge,eti hawajawahi kuleta hata chupi,kamsema Kusaga alikataa kutoa ada na kamsema Ruge alikufa bila kuacha mambo sawa. Kasahau kuwa anaishi kwenye nyumba iliyojengwa na marehemu Ruge. Ila sema ninasikia wanaume wa kutoka Lindi na Mtwara wapo vizuri sana kwenye bed.
Ila kusema ukweli Marehemu Ruge ni mtu aliyetengeneza maisha ya watu wengi huku akifeli maisha yake binafsi. Hii kitaalam sijui tunaweza kuielezeaje
 
Ile Familia ya kina Ruge siku wakiamua kumchamba kisomi sijui ataficha wapi sura yake...
Halafu Ruge aliacha watoto wengine wawili mmoja ni mkubwa ambaye mama yake ni mke wa RDj Rommy na mwingine last born ana mama yake nimemsahau jina watoto wote hao wanasoma Feza na sijawahi kuona mama zao wakilalamika kuhusu matunzo. Huyu Shabani Madobe anawasimanga watoto anaolea hadi mambo ya chupi sijui. Aibu nimeona mimi.
 
Halafu Ruge aliacha watoto wengine wawili mmoja ni mkubwa ambaye mama yake ni mke wa RDj Rommy na mwingine last born ana mama yake nimemsahau jina watoto wote hao wanasoma Feza na sijawahi kuona mama zao wakilalamika kuhusu matunzo. Huyu Shabani Madobe anawasimanga watoto anaolea hadi mambo ya chupi sijui. Aibu nimeona mimi.

Mbona shabani madobe[emoji23][emoji23][emoji23]
 
Back
Top Bottom