Bush Dokta
JF-Expert Member
- Apr 11, 2023
- 24,831
- 45,154
Mama J?
Jamaa anaandika Kama MKE wangu [emoji4]
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Jamaa anaandika Kama MKE wangu [emoji4]
Mkuu umeamua kutuchambua..... yaani mtu ukimsikia anaongea kama cherehani ila mpe aandike sasa.Yani ni tatizo sana sasa hivi. Na mitandao hii ndio inawaumbua kabisaa. Watu hawajui kuandika, bado kwenye kuongea wanaongea ‘selasini, semanini, taLehe, staLehe, Apo (hapo), natasmini..’ Bado hawajui kuanza na herufi kubwa kwenye majina ya watu, miji, etc.. Hawajui kuweka nukta wala koma. Mtu anaandika weee, hakuna nukta wala koma.
Yani imekuwa ni vurugu tupu. Na wengine wamefika hadi chuo ila uandishi ni kasheshe. Sijui shida ipo huko mashuleni? Duh..
Bi dada amesoma SAUT darasa moja na Gentamycin 2006.Kabisa kwa mwandiko huu bora nikope bustisha nikupigie tumalizane
Ila tusiongee sana kwani bi dada ana elimu gani
kasomea ujinga msemo wa dada faiza 😆 😆Bi dada amesoma SAUT darasa moja na Gentamycin 2006.
Kama dada mwenyewe hii ndio cycle yale na Genta hii ndio class mate anayokubali basi ujue ni mapopoma wote.
atakuwa mdogo kama piritonNasubiri kwa hamu maana sidhani kama kuna ukweli wowote kwa aliyoyasema shemeji Shabani juu ya matunzo ya wale watoto wa mwendazake Ruge
[emoji23][emoji23][emoji23]Watu waliokuwa hawazingatii shule wanaumbuka sana. Utetezi wao ni kuwa ukiwa na hela inatosha.
Hao Super Woman ni wapuuzi na wana umalaya wa kimyakimya. Akikopa hela harudishi kwa kuhisi utatulia akikulipa papuchi. Wako broke kinyamaUtajua tu huyu ni Mbulula kama wengine.....Hawa wanawake wanaojiita Super woman hawapendi kuolewa na Mtu mwenye akili😆😆😆
Hehehe una uzoefu nao?Hao Super Woman ni wapuuzi na wana umalaya wa kimyakimya. Akikopa hela harudishi kwa kuhisi utatulia akikulipa papuchi. Wako broke kinyama
Jamaa anaandika Kama MKE wangu [emoji4]
[emoji23][emoji23][emoji23] watu mna maneno.Na hapo ni kuandika kwenye simu ni kugusa herufi tu keyboard kumemshinda.
Akipewa karatasi na kalamu aandike huyu ataishia kuchora njia ya luangwa na kurudi
Kwa hiyo fundi Cherehani huwa anazikarabati "Cherehani"? Na Fundi Ujenzi huwa anakarabati "Ujenzi"?Anazikarabati gereji?
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] nimechekaa had machozii, waja siwawezii khaaahHuyu kweli alikuwa mlisha Ng'ombe wa kwa waziri mkuu.Maana angekuwa mpwa basi angepelekwa hata Memkwa.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] kwa kweliKamuaibisha wife material na role model wa wanawake wengi.... si angempa hata Shuby amuandikie jaman
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] dada unanivunja mbavuu.Ila Zama na huyu 'Misheni Town 'wake wameyakanyaga...
Wangekaa kimya ingewasaidia....
Ujinga tu,aibu gani sasa.Yaani kudanganya Umma TV pesa katoa mmewe wakati ni amekopa Bank.Kwani angekaa tu kimya na si kudanganya. Maana kusema ukweli hakuna ulazima wowote wa kuandika instagram pesa ya TV alitoa wapi.Binafsi namsifu zamradi kwa kumfichia aibu mumewe,Ke wachache Sana Wana moyo wa zamaradi
Ila kusema ukweli Marehemu Ruge ni mtu aliyetengeneza maisha ya watu wengi huku akifeli maisha yake binafsi. Hii kitaalam sijui tunaweza kuielezeajeHalafu hapo kwenye waraka wake kaisema familia ya Ruge,eti hawajawahi kuleta hata chupi,kamsema Kusaga alikataa kutoa ada na kamsema Ruge alikufa bila kuacha mambo sawa. Kasahau kuwa anaishi kwenye nyumba iliyojengwa na marehemu Ruge. Ila sema ninasikia wanaume wa kutoka Lindi na Mtwara wapo vizuri sana kwenye bed.
Halafu Ruge aliacha watoto wengine wawili mmoja ni mkubwa ambaye mama yake ni mke wa RDj Rommy na mwingine last born ana mama yake nimemsahau jina watoto wote hao wanasoma Feza na sijawahi kuona mama zao wakilalamika kuhusu matunzo. Huyu Shabani Madobe anawasimanga watoto anaolea hadi mambo ya chupi sijui. Aibu nimeona mimi.Ile Familia ya kina Ruge siku wakiamua kumchamba kisomi sijui ataficha wapi sura yake...
Halafu Ruge aliacha watoto wengine wawili mmoja ni mkubwa ambaye mama yake ni mke wa RDj Rommy na mwingine last born ana mama yake nimemsahau jina watoto wote hao wanasoma Feza na sijawahi kuona mama zao wakilalamika kuhusu matunzo. Huyu Shabani Madobe anawasimanga watoto anaolea hadi mambo ya chupi sijui. Aibu nimeona mimi.
HahahAiseee kwa mwandiko huu Harmonize ni profesa wa Kiswahili.