Uandishi wa mume wa Zamaradi Mketema 'says it all'

Uandishi wa mume wa Zamaradi Mketema 'says it all'

[emoji23]hapana chezea mganga.
Naona mganga alikaa akasema ngoja amalize kuongea nimshughulikie
Yaani alijua kumkomesha jamani daahh...siku wamerudiana anahojiwa Kawa mpoleee [emoji1][emoji1][emoji1][emoji1]nkasema Mganga karudisha imani Kwa wateja na mganga methali ya mganga hajigani ikafaa
 
Khaa,kumbe na Chuo kaliishia njiani? Ila kidada kina roho mbaya sana,sijui hajioni na alivyo sasa.Jinsi anavyojaribu kutuonyesha yupo vizuri sana na watoto wake kusoma FIS utadhani hapo shuleni wanaosoma ni watoto wake tu.Nilihudhuria mahafari na mwanae pia alikuwa anagraduate.

Wazazi tulimpendekeza yeye ndiyo atoe nasaha kwa niaba yetu kumbe waliompendekeza walijua kina penda sifa hizi.Tangu hili sakata litokee tunakuwa tunapigiana simu na kucheka hatari.Mama muwakilishi wetu katudharirisha sana[emoji3][emoji3]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] mbna mabwakuuu.
 
Kuna Feza za aina mbili.

Kuna feza za mtaala wa necta ambazo ada ni around milioni nane kwa mwaka

Na kuna feza za mtaala wa cambridge ambazo ada ni around milioni 20 kwa mwaka.

Watoto wa zamaradi wanasoma za mtaala wa cambridge
Mil 20, duuuh watu wana hela wallah.
 
Nimesoma Mange kashusha historia fupi ya Shaban na ina make sense aisee.Zama aliamini kabisa kaolewa na nephew wa PM.Sasa kila kitu hadharani kumbe ni mtoto wa Sangoma kutoka Ndanda na hana undugu wowote na PM.Haya maisha ukijifanya mjuaji watu wanafungua mafile yako vizuri tu.Sasa Shaban zile mbwembwe za mpwa wake PM zimemalizwa kabisa.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Sasa fundi garage na HKL wapi na wapi???amezoea lete 16 lete 18 fixed,,,lete 20 combine baaaasi ndo kizungu Chao na elimu yao ilipoishia
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Mil 20, duuuh watu wana hela wallah.

Ni hela nyingi kwetu sisi maskini.

Ila sio hela nyingi za kutisha

Dar kuna kaya za familia zaidi ya 10000 zinazoweza kulipia watoto wao hata watano kwenye shule za milioni 20 kwa mwaka.

Mfano key peoples wa banks mfano chief financial officers wa benk zote nchini wana afford hizo ada.

Waarabu na wahindi kibao wana afford hizo ada

Wabunge wote wana afford hizo ada

Ma kamishna wa majeshi yote wana afford hizo ada

Kwa dar wateja wa feza ni wengi sana
 
[emoji23][emoji1][emoji1][emoji1][emoji1][emoji1][emoji1][emoji1][emoji23]mganga alimuacha aropoke tu ,yaani jitu shirikina vile unajitangazia umma mmeachana naimani Abdul alituma majini yote kutoka baharini yamrudishe divaa
Sio akili yake Ile bwanaa !!!Shirki live ile
Kwa hiyo kukimbia Magomeni kujihamishia kote kwenye apartment ya gharama, mganga anaenda huko huko🤣 Mwisho wa hili penzi utakuwa kilio kikubwa Kwa Diva.
 
Kwa hiyo kukimbia Magomeni kujihamishia kote kwenye apartment ya gharama, mganga anaenda huko huko[emoji1787] Mwisho wa hili penzi utakuwa kilio kikubwa Kwa Diva.
Yaani mganga anaenda huko huko mganga ni marioo pro max....
Yaani Diva Jana ujanja Kwa yule kaka!kaingia mtumbwi wa vibwengo kabisaa!!!

[emoji38][emoji38][emoji38]
Ndo maana baba levo alimchana Siku Ile Ile aliyoandika magezeti yake hakumbakisha
 
Huyu kweli alikuwa mlisha Ng'ombe wa kwa waziri mkuu.Maana angekuwa mpwa basi angepelekwa hata Memkwa.
Alikuwa mtoto wa mganga shule angapata muda sasa ngapi? Nani angetumwa kuchimba mizizi msituni na kuongeza makali huko sumbawanga😄😄😄😄😄
 
Yaani mganga anaenda huko huko mganga ni marioo pro max....
Yaani Diva Jana ujanja Kwa yule kaka!kaingia mtumbwi wa vibwengo kabisaa!!!

[emoji38][emoji38][emoji38]
Ndo maana baba levo alimchana Siku Ile Ile aliyoandika magezeti yake hakumbakisha
Manake huitaji jicho la rohoni kujua Yule Sheikh hampendi Diva, Yani hata kuigiza hawezi....Naye tumuweke kwenye maombi🤣🤣

Ila wanaume wa siku hizi wanaroga nyiee....wananifanya nianze kumuhisi vibaya Hadi Baba K wangu🤣🤣🤣, ukute siku nyingi nishawekwa kwenye kibuyu🤣
 
Alikuwa mtoto wa mganga shule angapata muda sasa ngapi? Nani angetumwa kuchimba mizizi msituni na kuongeza makali huko sumbawanga😄😄😄😄😄
Ila Kazi ya kuchimba mizizi imemlipa kajua dawa 🤣🤣
Sasa hivi kamdhibiti mudada wa mjini, analishwa, nyumba za Ulisi zinauzwa apewe mtaji na kwenye bango atundikwa🤣🤣

Hao waliokuwa wanaenda shule hadi masika hata kwenye wallpaper ya simu hawawekwi🤣🤣🤣 Mjini akili
 
Back
Top Bottom