Ubaguzi umezidi, hamu ya kurudi nyumbani inanijia kwa kasi

Wazungu si ndio mnawatukuza hapa jf kwamba ni watu wazuri?
 
Sisi waafrica tuanzishe kampeni wa kuwaita watu weupe nguruwe pindi wanapotubagua!! Kwa wao wanafanana sana na nguruwe has a kwa NGOZI na TABIA!!!
Mfano tuvae tishet zenye picha ya nguruwe na MTU mweusi ( mwafrica) yenye maneno "pigs stop harass beautiful Africans"
Au Pigs stop harass monkeys,!!!
Au Pigs and monkeys created by GOD!!!
 
Hii JF usiiichukulie siriaz sana mpenzi. Waeza kuta jamaa yuko hapo Ngaramtoni anavuta bangi ya Tarime...., inamdanganya yuko pembeni ya white house anasikiliza hotuba ya Joe Biden
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Mimi sijamwelewa mleta uzi. Labda wenzangu mliomuelewa mnielemishe.

Haya maneno ya kibaguzi dhidi ya sisi wananchi ambao hatubahatika kuishi ughaibuni uliyoyaandika hapa chini yana tofauti gani na ubaguzi walio nao Wazungu unaowananga?

Kwa kutoa maneno fidhuli na ya kibaguzi dhidi ya sisi wananchi wenzako......je, huoni kuwa wewe ni mbaguzi zaidi hata kuzidi hao Wazungu ambao wanaowabagua ni watu wa rangi nyingine?

 
Pole sana kwa kuwa umeshawekeza vya kutosha..karibu tu bongo...tupambane na siasa maji taka
 
Nimekomaa sana. Nilisema labda niiende kuishi English speaking countries kama Canada au Australia mambo ni yale yale tu. Chuki na ubaguzi naskia huko Canada ubaguzi umetawala. Licha ya kutaka wahamiaji lakini wana deport sana hata ukiiba supermarket.
Vipi England?
 
Maelezo mazuri mkuu , mimi ninachokitafuta ni connection tu mkuu, je ni kitu kjnachowezekana tukitafuta huku JF? Unaweza nipa mwanga , na siwi tukasake life !
Shukrani
 
Unawabaguaje?
Nimejipanga sijawahi kufanya kazi zisizo na heshima zinazofanya watu wabaguliwe kirahisi.

Sijakaa mitaa ambayo ina wabaguzi.

Sina tabia ya kushobokea watu nisiowajua na wasionijua wanipende. Ukiwa na tabia hii watu wanaweza kukubagua kwa sababu hawakujui tu, yani hata mweupe wasiyemjua watambagua, kwa sababu hawamjui, wewe ukaona wanakubagua kwa sababu mweusi.

Mimi ni mtu wa kufanya kazi zangu, kuishi maisha yangu, sina muda mwingi wa kubaguliwa.

Nimechagua kufanya kazi inayoheshimika watu ninaofanya nao kazi wananiheshimu.

Na siku wakionesha kutoniheshimu nina uwezo wa kuacha kazi mara moja kuendelea na biashara zangu au kufanya kazi nyingine.

Pia, sehemu nilipo kuna sheria kali dhidi ya ubaguzi, na ubaguzi unaonekana kuwa ni tusi kubwa.

Nina network ndefu ya highly trained and highly successful and supportive progressive black professionals ambao wanaweza kunishauri vizuri sehemu nitakapohitaji ushauri. Hivyo matatizo yangu siwezi kumpelekea mbaguzi anibague zaidi.

Watu wengine wanaweza kulalamika kubaguliwa, kumbe wao wenyewe ndio wana matatizo hawajawabagua wabaguzi vya kutosha.

Ukienda kuishi katikati ya neo-nazis lazima wakubague.

Ukifanya kazi za kupanga maboksi supermarket uwezekano wa kubaguliwa ni mkubwa.

Hata ukirudi Bongo, kama hujajipanga, utabaguliwa na wahindi na Waafrika wenzako.
 
Nimekuelewa
 
Dah mkuu umenikumbusha jamaa yangu alikuwa anafanya job bakery akaiba mkate dah jamaa akatemwa .
 
Pande zipi hiyo Babu?
 
Kweli Kabisa, wakati flani Shobo za kijingajinga zinafanya mtu ubaguliwe
 
Mkuu umefikaje huko ulaya na mimi nije nina milion moja mfukoni niongeze milioni ngapi nifike uko kama vipi weka namba yako nikutumie uthibitishe kama ni ya kweli au ya bandia.
 
Usirudi na stori tu kaka.. Hebu watie mimba kama watano hivi ndio urudi.. Labda katatokea kaobama toka kwako mkuu..
 

Unawapangia adhabu? Kwamba ukiiba supermarket usamehewe? Lengo la kuwa depot wezi wa supermarket ni kukomesha tabia ya wizi. Ukiweza kuiba supermarkets hutashindwa kuiba na kwingineko. Wizi ni wizi tu hata kama kaiba pipi
 
Nimekomaa sana. Nilisema labda niiende kuishi English speaking countries kama Canada au Australia mambo ni yale yale tu. Chuki na ubaguzi naskia huko Canada ubaguzi umetawala. Licha ya kutaka wahamiaji lakini wana deport sana hata ukiiba supermarket.
Canada hadi wadosi nao eti wanajifanya kuwabagua black,kuna mdosi alijichanganya kwa mwana m1 mdosi maji aliita mma kichapo alichochezea,halafu ajabu white wote walioshuhudia tukio wakawa upande wa mwana 😀
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…