Ubaguzi wa kisiasa anaouonesha Magufuli hadi CCM wenyewe wanamshangaa

Rais Magufuli hana nia njema na Tanzania ila ana nia njema na barabara tu
 
Anafanya ubaguzi kwa makusudi.
 
Reactions: BAK
Huna akili
 
Mie naona upumbavu na utoto tu unaendelea. Kwa nini viongozi wanakuwa wanaongea utafikiri viranja wa shule ya msingi?
 
Kwahiyo rais ni mshushuaji .?
 
Hii ndio unaiba nguo usiku kwenye kamba ,kuja ndani unakuta ulizo iba ni nguo zako na sio za jirani.
Kweli mkuu mimi huwa sipendi kufatilia siasa lakini ulichokizungumza ni kweli leo TBC aliaanza kumponda sana mbunge wa hapo akijua ni wachama cha upinzani. Baada ya kuambiwa anatokea ccm ikabidi aanze kumsifia bila hata aibu
 
Na leo eti anasema anasmhukuru lijuakali yupo, japo wakati wabunge wa ccm wanaongea wananchi walikua kimya.. ila aliposimama mbunge wa mikumi bwana haule toka chadema hadi wananchi wamesimama kumchangilia na akaongea point tupu.
Upinzani kuna vichwa huwezi linganisha na utopolo wa ccm! Yeye mwenyewe kajionea!
 
Kila kona ya nchi Dkt Magufuli anahitajika akahutubie, kila anapopita watu nyomi

Watu nyomi ni jambo nadra nchi hii? Kama watu wanaweza kusimama na kuangalia bulldozer likichimba barabara, tena wakiwa wamejazana, ndio itakuwa kwenye ziara ya rais ambazo kuna vikundi vya burudani kabisa? Hujawahi kuona watu wamejazana wakiangalia show za promotion za bidhaa mbalimbali? Sasa kipi kinakushangaza watu kujazana kwenye hafla zenye burudani, tena huko mikoani?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…