Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kuwa fukara USA ni kujitakia nobody will tell me otherwise.
Bado ndo nchi yenye fursa kuliko nchi yeyote ile kwa mtu yeyote yule.
Naijua Detroit vizuri na viunga vyake hadi Benton Harbor kule South of Michigan kama navyoijua Mwanjelwa na Uyole tu. Ni kweli kuna baadhi ya maeneo yamechoka sana tu, Detroit has become a ghost city baada ya viwanda vya magari kuhama mji kama mnavyojua it was once a motor city ila bado hiyo haitoshi kukufanya mtu uwe maskini US.
Unemployment rate US sahizi ni 3.6% yani katika watu 10 ni watu wanne tu hawana kazi. Wakati huo huo makampuni yote sahizi yanatafuta wafanyakazi, kila sehemu ukipita kuna bango la "We're Hiring" from Google to Apple to Mcdonalds to kampuni za usafi na kutunza wabibi. Unakosaje kazi kwa mfano?
Kuwa fukara US ni kujitakia.
Dah..Saabaya leo yuko huru
Waarab hawahawa? Du hii kaliJamii zote duniani zingelikua kama waarabu tungefika mbali sana,,,watu hawa asikuambie mtu aise,,ni watu wa aina yao usiomithilika, ni watu wakarimu, wana imani, labda wachache tu wako tofauti, tena mmoja mmoja.
Na huwezi kuwaona waarabu wamewatupia miganda ya ndizi, chupa au kuwafananisha na sokwe,lakini pamoja na haya yote bado waarabu+waisilamu wanaonekana wabaya.
Chuki hazijengi bali zinabomoa
So,,Endeleeni kuwaabudu hao wazungu na mayahudi,,, mtajuta.
Duh ..ni kweli kazi zipo labda mtu mwenyewe afanye uhalifu utakompelekea kushindwa kuajiriwa!..
Naona baada ya Corona, watu walikuja na "the great resignation " watu wengi waliacha kazi hata baada ya mambo ya lockdown kuisha sijui tatizo lilikuwa nini?
Jamii zote duniani zingelikua kama waarabu tungefika mbali sana,,,watu hawa asikuambie mtu aise,,ni watu wa aina yao usiomithilika, ni watu wakarimu, wana imani, labda wachache tu wako tofauti, tena mmoja mmoja.
Na huwezi kuwaona waarabu wamewatupia miganda ya ndizi, chupa au kuwafananisha na sokwe,lakini pamoja na haya yote bado waarabu+waisilamu wanaonekana wabaya.
Chuki hazijengi bali zinabomoa
So,,Endeleeni kuwaabudu hao wazungu na mayahudi,,, mtajuta.
Muarabu koko wa Buza unaendelea kutetea miarabu hadi unatokwa jasho 🤣 🤣 miarabu must be proud of you Son.
Serikali inajitahidi kujali raia wao katika nyanja zoteWalioacha kazi wengi ni uvivu tu na haikuwa AA pekee bali watu wote including mizungu.
Serikali pia ilichangia watu kuacha kazi sababu ilikua inatoa pesa kwa watu waliosimama kufanya kazi sasa mtu anaona kama nalipwa bure kwanini nifanye kazi?
Aidha kuna makampuni yanaajiri watu wenye criminal background wanatangaza kabisa ila bado mtu hataki kufanya kazi.
USA right now kuna over 11Million open positions from top positions to entry level ones, mtu unakosaje kazi?
It's not possible kukosa kazi Marekani na kuwa maskini ni kujitakia.
![]()
There are more than 11 million open jobs in America right now—and workers have the upper hand
In January there were 6.5 million hires and 6.1 million separations, according to the Department of Labor's latest Job Openings and Labor Turnover Survey.www.cnbc.com
Serikali inajitahidi kujali raia wao katika nyanja zote
Ni kweli kabisa unakuwa na kizazi kinachotaka zaidi na zaidi,Kujali kukizidi kunageuka mzigo.
Kuwa fukara USA ni kujitakia nobody will tell me otherwise.
Bado ndo nchi yenye fursa kuliko nchi yeyote ile kwa mtu yeyote yule.
Naijua Detroit vizuri na viunga vyake hadi Benton Harbor kule South of Michigan kama navyoijua Mwanjelwa na Uyole tu. Ni kweli kuna baadhi ya maeneo yamechoka sana tu, Detroit has become a ghost city baada ya viwanda vya magari kuhama mji kama mnavyojua it was once a motor city ila bado hiyo haitoshi kukufanya mtu uwe maskini US.
Unemployment rate US sahizi ni 3.6% yani katika watu 10 ni watu wanne tu hawana kazi. Wakati huo huo makampuni yote sahizi yanatafuta wafanyakazi, kila sehemu ukipita kuna bango la "We're Hiring" from Google to Apple to Mcdonalds to kampuni za usafi na kutunza wabibi. Unakosaje kazi kwa mfano?
Kuwa fukara US ni kujitakia.
Vipi kuhusu historical injustice? Hazichangii kuwafanya Blacks kuwa nyuma?Pia watu weusi huko wavivu sana wanachojua ni muziki,bata,vitu vya anasa cheni sijui nini..
Wazungu wajanja walipeleka watoto wao shule then waafrika weusi wakawasukumia kwenye basketball,muziki ili watoto wao waendelee kushika system huku waafrika wakiishia kwenye muziki wengine wanapata utajiri lakini anaishia kwenye madawa nk.
Kwahiyo tuwaabudu waarabu?Jamii zote duniani zingelikua kama waarabu tungefika mbali sana,,,watu hawa asikuambie mtu aise,,ni watu wa aina yao usiomithilika, ni watu wakarimu, wana imani, labda wachache tu wako tofauti, tena mmoja mmoja.
Na huwezi kuwaona waarabu wamewatupia miganda ya ndizi, chupa au kuwafananisha na sokwe,lakini pamoja na haya yote bado waarabu+waisilamu wanaonekana wabaya.
Chuki hazijengi bali zinabomoa
So,,Endeleeni kuwaabudu hao wazungu na mayahudi,,, mtajuta.
Hata Marekani wanachunwa kila kituAise bora ubaguliwe uko state na wazungu kuliko Hawa weusi wenzetu ccm wao ubaguzi wao ni kukuchuna Kila kitu ulichonacho imradi matumbo Yao yanashiba. Na shida ya tumbo halina aibu, leo linashiba kesho linataka Tena.
Nayo pia ni moja ya sababu lakini haizuii kwamba waafrika walibweteka sanaVipi kuhusu historical injustice? Hazichangii kuwafanya Blacks kuwa nyuma?
Ninaposema historical ni vitu kama slavery, Jim Crow etc. Maana issue kama elimu wakati mwingine ni historical; hata hapa Tz maeneo/jamii yaliyopata elimu mapema ndio zilistawi na kuwa zenye nguvu mpaka leo.
Hii tabia ya weusi kulialia hakutatusaidia mbona hukohuko USA weusi wengi ni matajiri wakubwa sana?Ubaguzi wa rangi ni personal issue.
Systematic racism ni kama imepungua kwa asilimia kubwa..
Lakini hata sisi weusi tunabaguana wenyewe kwa wenyewe.
Peleka ujinga wako kuleee.Jamii zote duniani zingelikua kama waarabu tungefika mbali sana,,,watu hawa asikuambie mtu aise,,ni watu wa aina yao usiomithilika, ni watu wakarimu, wana imani, labda wachache tu wako tofauti, tena mmoja mmoja.
Na huwezi kuwaona waarabu wamewatupia miganda ya ndizi, chupa au kuwafananisha na sokwe,lakini pamoja na haya yote bado waarabu+waisilamu wanaonekana wabaya.
Chuki hazijengi bali zinabomoa
So,,Endeleeni kuwaabudu hao wazungu na mayahudi,,, mtajuta.
Kwahiyo tuwaabudu waarabu?