Ubaguzi wa rangi ni mzizi wa umaskini wa Wamarekani wenye asili ya Afrika

Ubaguzi wa rangi ni mzizi wa umaskini wa Wamarekani wenye asili ya Afrika

Nayo pia ni moja ya sababu lakini haizuii kwamba waafrika walibweteka sana
Sababu kabla ya wazungu kuja Afrika kuchukua watumwa weusi walianza kutumia watumwa wa kizungu kama wao vile vile..

Lakini swala la elimu ndiyo muhimu zaidi kuweza kufungua ufahamu wa binadamu yeyote yule sio mzungu wala mwafrika na hapo ndipo tulipopigwa utosini ndugu.
Watu wanachukulia poa swala la jamii fulani kunyimwa fursa ya kusoma; lakini ni kitu kikubwa sana. Takwimu zinasema zaidi ya asilimia 80 wa watoto huwa wanakuwa na elimu inayolingana au kuwazidi wazazi wao; sasa kama asilimia kubwa ya black parents wote wako jela, hao watoto watakuwa wapi?

Nakumbuka documentary moja, dogo ana miaka 17 kaingia jela kwa armed robbery mtu wa kwanza kukutana naye ni baba yake. Yule mzee alilia sana.

Over time naamini mambo yatabadilika tu. Ila bado blacks wana kazi ngumu
 
Nawaza tu, hizo Billions za dola Marekani waazowapa Ukraine zingeweza kufuta hali hii ya umaskini kwa raia wao weusi kwa kiwango kikubwa.
US wananiachaga hoi hapo tu,ndani kwao watu hawana pa kulala msosi wa kudandia lkn wao kila uchwao wanadhamin vurugu ktk nchi za wenzao
 
Jamii zote duniani zingelikua kama waarabu tungefika mbali sana,,,watu hawa asikuambie mtu aise,,ni watu wa aina yao usiomithilika, ni watu wakarimu, wana imani, labda wachache tu wako tofauti, tena mmoja mmoja.

Na huwezi kuwaona waarabu wamewatupia miganda ya ndizi, chupa au kuwafananisha na sokwe,lakini pamoja na haya yote bado waarabu+waisilamu wanaonekana wabaya.

Chuki hazijengi bali zinabomoa

So,,Endeleeni kuwaabudu hao wazungu na mayahudi,,, mtajuta.
Ukiwaambia wale mabinti wanaopelekwa kwenda kufanyishwa kazi za ndani uarabuni kitu kama hicho haki wanaweza wakakumwagia maji waliyooshea uchi zao.!!

Mtu anayefahamu ukatili ambao waarabu waliwafanyia waafrika enzi za utumwa pia hawezi kamwe akakuelewa kwa andiko lako hilo.
 
Wamarekani weusi wengi wameona njia ya kutoboa katika maisha ni kupitia Muziki sanasana hip-hop, kuuza madawa ya kulevya na kuendesha magenge ya uhalifu kama wale Compton crips maana fursa zile kubwa naona wameanza kuachia sasa hv ila awali zilikuwa limited Sana mweusi kumiliki

Sent using Jamii Forums mobile app

HApana mkuu, kinachowatesa watu weusi U.S ni kutaka utajiri wa haraka.
 
Black American ni katika watu wa ovyo kabisa kwenye ulimwengu, Niwavivu, wapenda short cut, akili zao zinawaza kula bata tu badala ya kufanya kazi. Kazi yao ni kulialia na kutilisha huruma tu. Inakuaje mtu anatoka Bongo na weusi wake kama Kante anakwenda U.S na anapiga maisha wakati wao wamezaliwa pale na wana fursa kibao za uzawa wanaishia kulialia tu kwamba wanabaguliwa. Ni moja ya watu hopeless kabisa kwenye dunia.
 
Tena hakuna wabaguzi duniani zaidi ya Wabantu, yote kwa ajili ya "inferior complex" waliyonayo. Hapa pwani ya Afrika mashariki Wabantu ni wakuja tu, hawana asili napo. Akasome historia fala huyo.

Wanajua yote haya ila chuki zimewajaa vifuani mwao,,na ndio maana hawaendelei
 
Ya kanisa yanatoka wapi tena, mimi ninaongelea biashara ya utumwa na ukatili waliofanyiwa waafrika na waarabu lakini wewe unaleta mambo ambayo hayapo.

Waafrika waliopelekwa utumwani Asia uzao wao uko wapi si wanaume wote walihasiwa na waarabu.

Hivi vitu unaongea je! Una ushahidinavyo? Lete picha OG ya waarabu wakiwatesa wabantu!!!


Kama wewe ni kidume lete huo ushahidi
 
Wanajua yote haya ila chuki zimewajaa vifuani mwao,,na ndio maana hawaendelei
Tena ukweli ni kuwa hakuna wenye chuki na ubaguzi duniani kama wabantu, pwani ya Afrika Mashariki walikuja kama wageni, wamewakuta wapole na walozowea kupokea wageni kila aina, wakawa kazi yao kuua na kula watu, historia ina ushahidi kabisa.

Licha ya kujaaliwa kuunda vyuma basi walichokiunda zaidi ni mikuki, mishale na zana za kuulia watu kwa uhunzi wao. Unafikiri wataendelea namna hiyo, wana roho za kichawi na ujinga wa asili.AlhamduliLlah, waliostaarabika ni wale tu waliojaaliwa kuiona Nuru ya Uislam.

AlhamduliLlah nshukuru vizazi vya mbabu na mabibi zangu vilijaaliwa kuiona Nuru ya Uislaam mapema sana.
 
Tena ukweli ni kuwa hakuna wenye chuki na ubaguzi duniani kama wabantu, pwani ya Afrika Mashariki walikuja kama wageni, wamewakuta wapole na walozowea kupokea wageni kila aina, wakawa kazi yao kuua na kula watu, historia ina ushahidi kabisa.

Licha ya kujaaliwa kuunda vyuma basi walichokiunda zaidi ni mikuki, mishale na zana za kuulia watu kwa uhunzi wao. Unafikiri wataendelea namna hiyo, wana roho za kichawi na ujinga wa asili.AlhamduliLlah, waliostaarabika ni wale tu waliojaaliwa kuiona Nuru ya Uislam.

AlhamduliLlah nshukuru vizazi vya mbabu na mabibi zangu vilijaaliwa kuiona Nuru ya Uislaam mapema sana.
Mindset slavery of its kinds....!
 
Jamii zote duniani zingelikua kama waarabu tungefika mbali sana,,,watu hawa asikuambie mtu aise,,ni watu wa aina yao usiomithilika, ni watu wakarimu, wana imani, labda wachache tu wako tofauti, tena mmoja mmoja.

Na huwezi kuwaona waarabu wamewatupia miganda ya ndizi, chupa au kuwafananisha na sokwe,lakini pamoja na haya yote bado waarabu+waisilamu wanaonekana wabaya.

Chuki hazijengi bali zinabomoa

So,,Endeleeni kuwaabudu hao wazungu na mayahudi,,, mtajuta.
Ulishawahi sikia shuhuda za wale wadada wanaoenda kufanya kazi arabuni mkuu?
 
Mwarabu ana utu gani? Roho ya mwarabu mbaya kuliko mzungu zaidi ya yote mzungu ndio race inayotutumikisha sote hata huyo mwarabu kwa mzungu kaufyata kimya kama sio yeye

Mti wenye matunda hupigwa mawe, endelea kukariri
 
Back
Top Bottom