Ubaguzi wa rangi ni mzizi wa umaskini wa Wamarekani wenye asili ya Afrika

Ubaguzi wa rangi ni mzizi wa umaskini wa Wamarekani wenye asili ya Afrika

Sasa unashutumu jamii wakati ushahidi wenyewe huna!!! Chuki zenu na ndio maana hamuendelei. Olenimala nkoi?? Au nikutafsirie kwa kisukuma???
Unyama waliofanya waarabu kwenye biashara haramu ya utumwa kila mtu anafahamu tena iko ducumented kabisa.
 
Ulishawahi sikia shuhuda za wale wadada wanaoenda kufanya kazi arabuni mkuu?

Sijashuhudia, na wala sina hakika kama wako hivyo

Je! Huku huoni yanayotokea? Kabla hujashutumu waarabu, angalia ya hapa kwanza.
Unyama waliofanya waarabu kwenye biashara haramu ya utumwa kila mtu anafahamu tena iko ducumented kabisa.

Kwahiyo wewe unafuata mkumbo sio,,nimekuomba ushahidi huna, sasa unaniambia kila mtu anafahamu, kufahamu sio tatizo,,,je! Ushahidi upo?
 
Wewe kama sio wale waarabu wa sikonge au kakonko au nzega sijui

Huna hoja za msingi ewe mgalatia,,chuki zinakusumbua mpaka. Waangalie walee ndugu zako wanavyopagawa na kuyumba mbele ya Profesa mazinge n.k.

Kwa ufupi hamuna hoja za kujadiliana na sisi.
 
Sijashuhudia, na wala sina hakika kama wako hivyo

Je! Huku huoni yanayotokea? Kabla hujashutumu waarabu, angalia ya hapa kwanza.


Kwahiyo wewe unafuata mkumbo sio,,nimekuomba ushahidi huna, sasa unaniambia kila mtu anafahamu, kufahamu sio tatizo,,,je! Ushahidi upo?
Wote ni wabaguzi, ila hoja yangu ni kwamba wewe umewatetea waarabu kana kwamba ni malaika.
 
Back
Top Bottom