Los santos
JF-Expert Member
- Jan 14, 2021
- 1,167
- 2,591
Kuhusu unafiki nakubaliana na wew bongo tunaongoza Kwa A+Kwann isiingie akilini? Hivi rafiki wa shoga anayekaa nae mchana, na huyu jamaa anaye mlala usiku yupi ana afadhari?
UNAFIKI wabongo unawasumbua.
We jamaa Hujitambui, ukileta claim umeleta uzi wwe ndio unapaswa ulete ushahidi? Wewe ndio umedai mashoga wanaweza ingilia wazazi au watoto wao ndio nakuuliza umetoa wapi hiyo evidence?Alafu unaposema ilipaswa ungetakiwa uwaambie sasa hao waliofanya huo utafiti ambayo assessment Yao ilikuwa wanaobakwa wafanya uchunguzi ndani ya huo familia waone kama hawatapata majibu yaleyale.
Umemjibu vyema kbsaKama 60% wanaingilia kinyume wake zao mbona kesi za ubakaji sijasikia 60% ya wanaobakwa Tanzania hubakwa na watoto au wazazi wao?
Usiongee mambo bila proof, kesi za ubakaji ndani ya familia ni less than 8% hizo 91% ni ubakaji wa strangers!!
Ukitaka kujua unachoongea ni pumba wale paedophile kma Jeffrey Epstein au Philip Meltzeider mbona wamebaka under age watupu pekee na hawakubaka watu wazima wenzao au wazazi wao?? Fantasy huwa ni SPECIFIC ukipenda kulala na wanawake wenye makalio haimaanishi utapenda kulala na dada yako kisa ina makalio!!
What the hell
We jamaa unachekesha sana nikajua ni mtu reasonable kumbe mweupe kabisa. Kwamba Springer na NIH sio reputable journals? Unajua process za kupublish wewe? Au unadhani ukikusanya data tu inapitishwa? Mpaka hapa nimeshajua huna elimu ya kutosha otherwise ungekua unaelewa springer ni nini.
Kingine tafiti 3 zinakuambia 90% ya mashoga wana low levels za testosterone alafu mtu uliyeishia la Saba unabisha unataka tuamini maneno yako yasiyo na evidence zaidi ya hisia?
Aisee wewe jamaa ni kituko!!
Nakubaliana na hii hojaTiba pekee ya ushoga ni psychospiritual healing.
Combination ya saikolojia na dini.
Tiba ya akili na roho.
Ndo tiba maalumu kwa magonjwa yote ya kiroho mfano ushoga,wizi,ulevi,umalaya,uteja uraibu wa kamari,kujichua nk
Hii tiba ufanya vizuri kwenye maeneo haya.
Kingine tafiti 3 zinakuambia 90% ya mashoga wana low levels za testosterone alafu mtu uliyeishia la Saba unabisha unataka tuamini maneno yako yasiyo na evidence zaidi ya hisia?
Aisee wewe jamaa ni kituko!!
Jamaa unamjibu kwa facts ila yeye analeta porojo bila ushahidiWewe umedai anayefanya ushoga anaweza fanya na Mama yake au baba yake means ni abnormality!! Ndio nikauliza if that's the case mbona hao 60% wanaolawiti wake zao sijasikia wakilawiti watoto wao au dada zao?
Wewe umesema anayemtamani mwanaume mwenzake basi anaweza mtamani na mzazi au mwanaye!! Ndio nikasema ilipaswa takwimu zirandane. Sasa kama 8% pekee ndio ubakaji wa ndugu ina maana sio hoja maana 92 percent nzima ni watu wasio ndugu!! So hoja yako ni ya uongo.
Kama walawiti ni 60% then ilipaswa kuwa ubakaji kati ya ndugu uwe pia 60% ili hoja yako iwe kweli. So umedanganya
Ndio maana nasema ni non sense, kisa unapenda makalio ndio utakula hata kama ni dada yako? Hivi hii pumba unayoongea upo serious? So it means wanaume wote Tanzania wanatamani dada zao wenye makalio kisa tu asilimia kubwa ya wanaume wanapenda makalio?
Wapi imesemwa hii? Leta uthibitisho mkuu kama nilivyofanya ndio mjadala unakua balancedLevel ya testosterone haina uhusiano wowote na Ishu ya ushoga.
Sijui kama unajua maana ya Homoni.
Ndio maana nikasema wewe sio msomi, ukiwa msomi utajua REPUTABLE journals ni zipi kuna Elsevier, Springer, Taylor and Francis n.k hizo huwezi publish uongo maana zinapitia mikono mingi ya maprofessors. So haziwezi tumika kuspread uongoNikakuongezea tuu kuwa kwenye tafiti zipo tafiti Fake zinazolenga kuhamasisha agenda Fulani.
Wapi imesemwa hii? Leta uthibitisho mkuu kama nilivyofanya ndio mjadala unakua balanced
Wewe unachojaribu kufanya ni kulazimisha dhambi zote zifanane kitu ambacho kwa sheria za kidunia hakipo na ndio maana kila kosa lina adhabu na hukumu yake, aliyeua na aliyetapeli wote wametenda makosa ila hawawezi kuchukuliwa sawa wala kuhukumiwa sawa, unfortunately dunia inahukumu makosa ambayo yanapelekea kudhuru watu moja kwa moja na siyo hayo makosa ambayo watu wanaamua wafanye nini na viungo vyaoHata kwenye familia wapo Watu wanazaliwa wanatamaa ya udokozi, umalaya, n.k.
Ndio maana zipo taratibu za kuwaweka sawa.
Kwa mfano wewe ukawa na tamaa au kijana wako akawa na tamaa na wewe baba yake ili umfire au akufire kwa upeo wako ni sahihi?
Yaani tabia mbaya uanze kuipaka paka rangi ndio nini.
Ndio maana nikasema wewe sio msomi, ukiwa msomi utajua REPUTABLE journals ni zipi kuna Elsevier, Springer, Taylor and Francis n.k hizo huwezi publish uongo maana zinapitia mikono mingi ya maprofessors. So haziwezi tumika kuspread uongo
Mimi nimeshakujibu kwa tafiti tatu za kitaalamu zinazoonyesha "Male homos have lower testosterone concentration as compared to heterosexual men" sasa ni kazi yako wewe kukosoa kwa ushahidi wa kitaalamu sio maneno hewa.Testosterone ni homoni haihusiani na kuwa chanzo au sababu ya tabia au hulka.
Mbona kichwa ngumu kijanq
Mtu akiamua kuliwa kinyeo aachwe aliwe kwa raha zake.Huyo anakabiliwa hata mambo asiyoyajua.
Shoga ni mtu aliyeamua kwa hiari yake kuwa shoga full stop.
Akiamua kuacha anaacha.
Wewe unachojaribu kufanya ni kulazimisha dhambi zote zifanane kitu ambacho kwa sheria za kidunia hakipo na ndio maana kila kosa lina adhabu na hukumu yake, aliyeua na aliyetapeli wote wametenda makosa ila hawawezi kuchukuliwa sawa wala kuhukumiwa sawa, unfortunately dunia inahukumu makosa ambayo yanapelekea kudhuru watu moja kwa moja na siyo hayo makosa ambayo watu wanaamua wafanye nini na viungo vyao
Mimi nimeshakujibu kwa tafiti tatu za kitaalamu zinazoonyesha "Male homos have lower testosterone concentration as compared to heterosexual men" sasa ni kazi yako wewe kukosoa kwa ushahidi wa kitaalamu sio maneno hewa.
Mtu akiamua kuliwa kinyeo aachwe aliwe kwa raha zake.
Kinyeo hakihitaji mjadala wa kisayansi au wa kisheria. Unapoteza muda.
Hata wewe ukiliwa kinyeo siwezi kuuliza au kukuhoji.
Kinyeo ni chako, yanihusu nini kikiliwa?
Kumbe hadi nyie wafilisti waga mna nyege?