Ubakaji, ulawiti, ufiraji na ushoga havina uhusiano wowote na hormonal imbalance

Siafiki hili, kuhusu hisia kuto controlika ni uongo, maana Inakua ni maamuzi ya mtu.

Hebu eleza kabla ya kuwa Gay alikua vipi, na baadae akawaje?
Sio yeye pekee hata aliwafirimba wakawa kama yeye.

Kwanza huyu mtu hakua muongeaji, alikua mpole alienda shule za uboyzini huko ndo akaanza hiyo michezo.
Kurudi mtaani alificha ficha lakini baada ya muda alianza kubadilika hasa kimaongezi, kutongoza hovyo wanaume wenzie na kuwahonga.
Wengine anawalewesha then anawapasulia yai.

Watu wazima walipomstukia akahamia kwa watoto, na sio kua hakua na wapenzi wa kariba yake. Alikua nao wengi tu ila tamaa tu.
 
Wee mtibelii, mie nilishaacha kuzungumzia haya masuala, maana watu huwa hawana logic, wanakua na mhemko na hasira,

Kwa kifupii nimewaachia nyie muendelee na mnachokijua.

Wewe ndiye mtetezi wa mashoga humu. Tukikuita muwakilishi wa mashoga huku JF hatutakuwa tunakosea.

Haya embu tujadili kwa hoja.

Unafikiri ni kwa nini ushoga usiwekwe kwenye makosa ya Jinai, na uondolewe kwenye dhambi mbaya kwa wale upande wa Dini?
 
Hivi na wewe huwa unaweza kuvutiwa kuwa na mahusiano ya kimapenzi na dada au mama ako na kutaka ufanye nae tendo??

Mimi siwezi kwa sababu ninaamini timamu, hisia timamu, mwili timamu, nafsi timamu, na roho timamu.
 
Wanaume tukae iwekwe sheria ya kifo kwa shoga (muingiliwa na muingilia) alafu uone kama hizo homoni za wengine zitaleta shida
Si mkakae hata kesho, mnashindwa nn?
Unavyoongelea kifo, as if sasa hivi hakuna makosa adhabu yake ni kifo (kunyongwa)

Unadhan kuna mtu anatishika sasa?
 
Si mkakae hata kesho, mnashindwa nn?
Unavyoongelea kifo, as if sasa hivi hakuna makosa adhabu yake ni kifo (kunyongwa)

Unadhan kuna mtu anatishika sasa?

Wapo wanaogopa kifo. Nazungumzia Watu wenye roho wa Mungu. Waovu hawaogopi kufa kwa sababu nafsi zao tayari zilishakufa.
Sio ajabu mtu kutaka kuwania shoga, au mchawi au mshirikina, au muuaji, au mlawiti au mfiraji.
 
Mimi siwezi kwa sababu ninaamini timamu, hisia timamu, mwili timamu, nafsi timamu, na roho timamu.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] ndo maana yule Zitto huwezi kumuelewa, unajifanya mjuaji kumbe hollah,

Kwan mtu akiwa shoga ndo atavutiwa na baba au kaka ake?

Hata hao mashoga wana roho timamu, nafsi timamu, na hisia timamu pia.

Kuna mtu alikuambia juzi, akili zako ulikopeleka zirudishe.
 
Wapo wanaogopa kifo. Nazungumzia Watu wenye roho wa Mungu. Waovu hawaogopi kufa kwa sababu nafsi zao tayari zilishakufa.
Sio ajabu mtu kutaka kuwania shoga, au mchawi au mshirikina, au muuaji, au mlawiti au mfiraji.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] poleeee wee.
 

Huwezi ukawa timamu ukawa shoga.
Ndio maana hata watetezi wanakuambia kuwa ushoga ni tatizo la Homoni IMBALANCE jambo ambalo nakataa.

Kisayansi unlike charge attract like charge repeal.
Kiimani, Mwanaume hawezi na hatakiwi kuvutiwa na mwanaume mwenzake.

Hivyo kinachofanyika ni uhalifu na uasi.
 
01.Wapo ambao wamezaliwa na shida hiyo ya hormone

02.na wapo wenye tamaa tuu.

03.wapo pia walio haribiwa na ndugu wakajikuta wako hvyo

Sawa hao wa hormone hawajapenda kuwa hivyo na hawapendi hiyo hali
 
01.Wapo ambao wamezaliwa na shida hiyo ya hormone

02.na wapo wenye tamaa tuu.

03.wapo pia walio haribiwa na ndugu wakajikuta wako hvyo

Sawa hao wa hormone hawajapenda kuwa hivyo na hawapendi hiyo hali

Homoni ni kichocheo.
Homoni sio chanzo na haisababishi ushoga.acheni kupotosha Watu.

Ushoga kama sio tabia yako homoni haiwezi kuchochea au kusababisha tabia ambayo haipo ndani yako.

Ushoga ni tabia ya nje ambayo mtu hazaliwi nayo.
Ushoga sio silika bali ni hulka.

Ninyi Watu vipi asee!
Hoja ya tatu ndio upo sahihi
 
Hao ndiyo ukisikia mashetani.

Mabaya yote duniani yanaanzia kwao.

Kitu kinachoitwa "new world order" ni ushetani mkubwa sana. Kimeanzishwa na mazayuni wasiokuwa na dini, wakijificha nyuma ya "uyahudi" lakini si waumini kabisa wa mafundisho ya Torati ya wayahudi:

Your browser is not able to display this video.
 

Alafu kuna hizi mbuzi zinazoitwa Wasomi uchwara ambazo kazi yao ni kukariri tuu.

Mtu anasema wapo Watu wanazaliwa wakiwa mashoga, mwanaume kuwa na hisia na mwanaume mwenzake. Na wanasema ni tatizo la kihomoni kwa hiyo mwanaume anakuwa na kiwango kikubwa cha homoni za Estrogen.
Ukiwauliza na wale wanaovutiwa na kulala na wanyama wanakuwa na kiwango gani cha homoni wanabaki kupiga blah!blah!

Alafu hawaoni shida mtu kuwa shoga lakini muda huohuo wanaona shida Baba akimfira au Kufirana na kijana wake. Hiyo hawaiti tena Homoni.
Uone yalivyomajinga
 
Hao elewa kuwa ni mashoga wanaoutetea ushoga.
 
Hao elewa kuwa ni mashoga wanaoutetea ushoga.

Wanachoshindwa kujua ni kuwa jambo linalomzuia Mwanadamu kulala na Mnyama, jinsia yake, Mama yake, au Baba yake, dadake au kakaake au ndugu yake ni suala la Imani(amri ya Mungu).
Nje ya hapo hakuna kizuizi chochote.
Hii inamanisha ngono au mapenzi ni ishu ya maamuzi.

Wanashindwa kuelewa kuwa sheria huwekwa kwa Watu wenye hiyari na maamuzi.
Sheria haiwekwi kwenye jambo lisilohiyari au uamuzi.
Mfano huwezi weka sheria mtu asiwe na hasira au asizaliwe mfupi, au mweupe, kwa sababu hayo ni mambo yanayokuja naturally.

Kakini unaweza kuweka sheria za mtu kujidhibiti hasira au chuki zake au tamaa zake kwa kuzuia asimpige mtu, asione cha mtu, asiue n.k
 
We jamaa unachekesha sana nikajua ni mtu reasonable kumbe mweupe kabisa. Kwamba Springer na NIH sio reputable journals? Unajua process za kupublish wewe? Au unadhani ukikusanya data tu inapitishwa? Mpaka hapa nimeshajua huna elimu ya kutosha otherwise ungekua unaelewa springer ni nini.

Kingine tafiti 3 zinakuambia 90% ya mashoga wana low levels za testosterone alafu mtu uliyeishia la Saba unabisha unataka tuamini maneno yako yasiyo na evidence zaidi ya hisia?

Aisee wewe jamaa ni kituko!!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…