Canabian Rasta
JF-Expert Member
- Aug 18, 2022
- 775
- 1,745
Kwaiyo mkuu umeona ujadili ushoga!!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwaiyo mkuu umeona ujadili ushoga!!
SayngayKumbe hadi nyie wafilisti waga mna nyege?
Unaongea kama umedindisha hogo.
Wewe ndio una uelewa mdogo sasa umeshasema dereva amekamatwa ana makosa anamuomba traffic apokee rushwa, sasa si anampa ili asipewe adhabu ya kuandikiwa cheti lakini si kwamba anapenda, ndio maana mwisho wa siku hao madereva huishia kulalamikaAcha uongo wapo Watu wanaopenda kutoa Rushwa.
Hata mimi kuna mazingira yanaweza kufanya nitoe rushwa ili nifanye mambo yangu kwa uharaka.
Rushwa kuna wakati ni makubaliano ya Watu wawili.
Madereva wangapi wanakosea barabarani lakini wanaomba Matrafiki watoe rushwa waendelee na mambo yao.
Uhalifu ni uamuzi na ndio maana zipo sheria za kudhibiti hiyari za Watu.
Hata ushoga wapo wanaofanya pasipo kupenda. Ndio unaitwa Ulawiti au ubakaji.
Hakuna Haki katika uovu labda hujui maana ya HAKI. Haki inahusu Usafi.
Kwa mfano Kijana wako uliyemzaa mkakubaliana muwe mnafirana au awe anakufira hiyo itakuwa haki Kwa uélewa wako?
Kwa uelewa wako mtu akitaka kujiua kwa hiyari yake hiyo ni Haki?
Sio ajabu Wasiosoma wanadharau waliosoma. Kama mtu amesoma lakini uelewa wake ni mdogo hivi angekuwa hajasoma ingekuwaje?
Haya nasubiri anzia kokote but make sure hakuna kipengele utaruka 😂😂😂
😂😂😂 kuwa makini Junior asije kuzaliwa kabla ya muda wakeWizo unaupiga mwingi hadi mimba yangu imecheza.
Duuh kijana inaonekana huko shule walimu wako walikuwa na kazi ya ziada asee
Baba kulala na kijana wake hiyo ni incest na incest kwa sheria za nchi nyingi ni kosa hata kama watu wamekubaliana, kwahiyo kitakachofanya wahukumiwe hapo ni hilo kosa la incest na si hilo tendo walilofanya kwa sababu wangefanya na watu wazima wengine kwa makubaliano wasingehukumiwa maana siyo kosa
Sasa mimi kufurahia au kutokufurahia mwanangu wa kiume kuwa shoga hakulifanyi hilo tendo kuwa kosa, kwa mfano hata kazi ya kuokota makopo ni halali kabisa lakini sidhani kama kuna mzazi ambaye atafurahia kuona mwanaye ni muokota makopo, kwa hivyo mimi sitafurahia mwanangu wa kiume awe shoga kama ambavyo sitafurahia aje afanye kazi fulani hata kama ni halali
Kuhusu rushwa wewe umetumia vigezo gani kujua kwamba kuna watu wanapenda kutoa rushwa, labda uniambie ni kwa mazingira gani mtu anaweza akapenda kutoa rushwa sehemu ambayo alitakiwa apate haki yake bure au kwa gharama nafuu zaidi, yani mtu awe na option nyingine nzuri zaidi halafu yeye achague tu kutoa rushwa bila sababu
Tatizo lenu mkishaishiwa hoja mnakimbilia ad hominem attacks, kwahiyo mtu akitetea walemavu basi na yeye ni lazima awe mlemavu siyo, maana naona umeanza kuni attack personally kana kwamba mimi kuongea uhalisia kuhusu hao watu basi unaona kama nawatetea na automatically nimeshakuwa one of them
Smart911 unajua venye niko kilaza mie Naomba ukuje kumpa mwongozo wa uzi mama la mama pullliiizzzzzzzzzzzzzzz !Haya nasubiri anzia kokote but make sure hakuna kipengele utaruka 😂😂😂
Sawa na mimi nikuulize kwanini baba kulala na binti yake ni kosa hata kama wamekubaliana, ilihali huyo huyo baba akienda kulala na mwanamke mwingine kwa makubaliano siyo kosa, ukishapata jibu la swali hili basi moja kwa moja utakuwa umepata na jibu la swali lako
Hilo ni kosa kisheria au ni kosa kitamaduni na mbona huwa hamkemei hilo badala yake ndio kwanza mnalipigia chapuo, hasa wanaume mnasema kwenu mwanamke mmoja hatoshi mwanaume lazima awe na michepuko, basi anzeni kuwahukumu wazinzi ndio mje kwa mashoga maana ushoga chanzo chake kikubwa ni uzinziBaba kulala na Mwanamke mwingine nje ya mke wake nalo ni kosa.
Wewe ni mke wa mtu alafu ukatumia hiyari yako kulala na mume wa Mwanamke mwenzako kwa hiyari ni kosa kisheria. Au hujui hilo?
Hilo ni kosa kisheria au ni kosa kitamaduni na mbona huwa hamkemei hilo badala yake ndio kwanza mnalipigia chapuo, hasa wanaume mnasema kwenu mwanamke mmoja hatoshi mwanaume lazima awe na michepuko, basi anzeni kuwahukumu wazinzi ndio mje kwa mashoga maana ushoga chanzo chake kikubwa ni uzinzi
Huwachukii, huwezi kaa karibu nao.tukueleweje??Mkuu sijasoma post yako ila nadhani ulichoongea ni kitu haukijui.
Mashoga wamegawanyika mkú
Kuna ambao ni wanawake ila wana viungo vya kiume yaan wao zile tamaa za kingono huja kwa wanaume wenzao na sio wanawake hawa huwa binafsi siwalaum wala kuwachukia sababu sio wao bali wameumbwa hivo.
Kuna factor nyingi tu husababisha hili yakiwemo malezi ila sanasana hutokea pale mama anapokuwa kwenye msongo mkubwa sana wa mawazo akiwa mjamzito hasa first trisemester
Kuna waliofanyiwa vitendo vya ubakaji kundi hili lina mgawanyiko pia wengine ni tabia ile michezo ya utotoni ya kujaribu kuingiliana na ndo unajikuta imekuwa hivo.
Wengine umaskini wanaamua kujiuza ili kuingiza kipato
Binafsi siwachukii mashoga hata kidogo, na siwapendi hata kidogo (hapa sijaelrweka eeeh)
Siwachukii kwa sababu ni binadamu wenzangu na siwezi kuwa tenga, nawahurumia sana sana dometimes huwa najiskia hata kulia
Nawachukiaa sana kwa sababu ya matendo yao na siwezikaa karibu na shoga alipo. Coz najissikia aibu kuambatana nao
Hakuna anayetetea hapa ila tunajadili uhalisia hatuwezi kujidanganya kwamba eti mashoga wote wanasababishwa na external factors tu wakati hali halisi haiko hivyo, hata mimi mwanzo nilikuwa na mawazo kama yako ila mwisho wa siku nilipogundua ukweli ilinibidi nikubaliane nao tu maana hata nikikiukataa haibadili huo ukweli, ungekuwa uko vizuri kwenye masuala ya saikolojia na biolojia pengine ungeelewa wataalam wanachosema kuhusu hao watu but unfortunately mada zako nyingi huwa hazioneshi hiloNimekuambia ni kosa kisheria kwa sababu uliuliza swali la kwanza kuhusu sheria.
Au unataka kujua ni sheria ipi na kifungu?
Mwanamke mmoja anatosha, anayesema hatoshi ndio ninyininyi mnaotetea uchafu kwa visingizio vya kijinga mara homoni, mara hiyari yaani kama Wendawazimu hivi
Hakuna anayetetea hapa ila tunajadili uhalisia hatuwezi kujidanganya kwamba eti mashoga wote wanasababishwa na external factors tu wakati hali halisi haiko hivyo, hata mimi mwanzo nilikuwa na mawazo kama yako ila mwisho wa siku nilipogundua ukweli ilinibidi nikubaliane nao tu maana hata nikikiukataa haibadili huo ukweli, ungekuwa uko vizuri kwenye masuala ya saikolojia na biolojia pengine ungeelewa wataalam wanachosema kuhusu hao watu but unfortunately mada zako nyingi huwa hazioneshi hilo
Hivi unafahamu kwamba kuna watu wanavutiwa na watu wa jinsia yao, tangu wakiwa wadogo tena wakiwa hawajawahi hata kufanya hiyo michezo, hili nalo kitaalam unaweza ukalielezeaje hebu lielezee bila kutumia mihemko mkuuMlete huyo mtaalamu wa biolojia na saikolojia aje tujadiliane naye maana yeye ndio tunaweza kujadiana naye kwa hoja.
Mwenzako nimemwambia aniambie maana ya homoni kakimbia mpaka sasa anatafuta maana ambayo hata motto wa kidato cha pili anajua
Umeeleweka taikoni wa fasihiUBAKAJI, ULAWITI, UFIRAJI NA USHOGA HAVINA UHUSIANO WOWOTE NA HORMONAL IMBALANCE
Anàandika, Robert Heriel
Mtibeli.
Angalizo: Asome mwenye umri kuanzia miaka 18.
Chini ya hapo awe chini ya uangalizi wa mzazi au mlezi
Kuna majitu ambayo yameshindwa kitabia, kimalezi na sasa yamekubuhu kwenye uchafu uliopitiliza, ni mashetani sasa. Wanajitetea kwa uzushi na uongo wa kijinga ili kuhalalisha tabia zao chafu.
Ushoga hauna tofauti na ulawiti au Ufiraji au ubakaji. Matendo ni yaleyale na yote yanahusisha kushindwa kudhibiti Mihemko ya kimwili lakini pia tamaa mbaya isiyo na mipaka inayohusu kufanya matendo machafu.
Jambo lolote linalohusu malezi halina uhusiano na mambo ya Homoni.
Mtu anayebaka huwezi sema amekumbwa na tatizo la homoni. Au mtu mfiraji au mlawiti huwezi sema amekumbwa na tatizo la ushoga.
Ushoga ni maamuzi wakati tatizo la homoni sio uamuzi wa mtu.
Shoga anauwezo wa kuacha kuwa shoga kama alivyokuwa na uamuzi wa kufanya ushoga.
Ni kama ishu ya Wanaume kupenda wanawake wengi. Hilo sio tatizo la homoni isipokuwa na maamuzi na kujiendekeza.
Watu wanaotetea mashoga ndio haohao wenye uwezo wa kutaka kulala na Baba au mama zao. Au wenye uwezo wa kutoka na mabinti au vijana wao.
Wanaume wanaotetea mashoga kikawaida ndio haohao wenye uwezo wa kufira au Kufirwa na vijana wao. Au ndio wale wajomba ambao wanafira Wapwa wao. Wala hakuna haja ya kupindisha maneno. Kwa sababu huo ndio ukweli.
Wamama wanaotetea Wasagaji ndio haohao ambao wanauwezo wa kuwasaga mabinti zao wa kuwazaa au mabinti kusaga mama zao waliowazaa. Au mashangazi kusaga mabinti wa Kaka zao.
Muogope sana mtu ambaye ni shoga. Ni kama Mbakaji au mlawiti. Hana tofauti na mnyama kwa sababu hawana uwezo wa kujidhibiti. Wanaongozwa na tamaa.
Huwezi tamani Kufirana na mwanaume mwenzako alafu ukasema ni tatizo la homoni. Alafu Watu wakutetee kama Watu hao sio wapenzi wa jambo hilo. Hiyo haiwezekaniki kabisa.
Unajua binadamu hutetea jambo ambalo anamaslahi nalo iwe moja kwa moja au kwa kificho.
Wapo wanaogopa au kuona aibu kuwa mashoga na hivyo hujificha kwenye kutetea mashoga huku wao wakijifanya sio mashoga ili jambo hilo likizoeleka au kukubalika iwe rahisi kwao kujiingiza humo.
Nina kuhakikishia kuwa siku ushoga ukikubalika kwenye jamii na duniani. Utashangaa Baba na kijana wake wanafirana. Au Mama na binti yake wanasagana.
Hilo litatokea kwa hakika kwa sababu kama mtu ameshindwa kujizuia tamaa yake mpaka amekuwa shoga atawezaje kujizuia kumfiraau Kufirwa na Baba au kijana wake? Au atawezaje kujizuia kusagwa au kumsaga mama au binti yake. Hiyo haiwezekaniki.
Kikawaida Watibeli, sheria ya mashoga inafahamika, Ni Kifo bila kujali ni Mimi mwenyewe, mtoto wangu, Baba au ndugu yeyote. Halikadhalika na wasagaji. Ni kifo tuu. Ni kama Wabakaji na walawiti na wafiraji nao ni kifo tuu.
Nafahamu shetani na waovu hutetea haki za waovu ili kujilinda wao na kizazi chao.
Hata hivyo nafahamu wapo Mashoga ambao chanzo cha ushoga wao ni kulawitiwa na Baba au Wajomba au kaka zao kwa muda mrefu kimabavu mpaka wameathirika kisaikolojia.
Hawa ni kesi nyingine. Hawa wachukuliwe kwa matibabu lakini lazima wataje waliowabaka au kuwalawiti ili hao waliowalawiti na kuwabaka wachukuliwe hatua kali.
Hata hivyo inawezekana mtu akawa shoga kisha akasingizia chanzo cha ushoga wake ni kulawitiwa kwa muda mrefu alafu akataja mtu ambaye marehemu.
Au akamsingizia mtu ambaye hata hajawahi kufanya jambo hilo.
Hivyo ni lazima uwekwe utaratibu mzuri wa kudili na matukio haya.
Nawatakia jumapili njema!
Robert Heriel
Taikon wa Fasihi
Kwa sasa Dar es salaam
Naomba tafsiri ya Uasi na uhalifu tafadhari.Huwezi ukawa timamu ukawa shoga.
Ndio maana hata watetezi wanakuambia kuwa ushoga ni tatizo la Homoni IMBALANCE jambo ambalo nakataa.
Kisayansi unlike charge attract like charge repeal.
Kiimani, Mwanaume hawezi na hatakiwi kuvutiwa na mwanaume mwenzake.
Hivyo kinachofanyika ni uhalifu na uasi.
Sasa huna hoja zaidi ya kuleta blaa blaa, kwann nisichekee?Pole Kwa waliokuzaa.
Kuzaa shoga ni zaidi ya pigo.
Ulisema tujadili kwa hoja naona unacheka cheka. Au ndio ushoga wenyewé unakuzidia?