DOKEZO Ubakaji wa kutisha Coco beach, Kawe beach na Kigamboni, wanaharakati wa kike kimya

Hili ni dokezo maalum toka kwa mwananchi mtumiaji wa JF mwenye nia ya kuusaidia umma kuwa na taarifa 'maalum'
Tafadhali wote wenye ushahidi au taarifa juu ya huu ukatili wanitumie ujumbe kwenye namba 0765345777 au 0734124191 ili tuelewe vizuri zaidi tupange uchunguzi kwa hatua zaidi. Na iwapo jambo hili lipo, huu ni unyanyasaji wa kijinsia na tukimpata au kuwapata hawa makatili, watatutajia mnyororo mzima uchukuliwe hatua. Aidha , taarifa zitasaidia kumulima utaratibu mzima wa hizi huduma.

Lakini ndugu wanawake na mabinti, jilindeni na huduma ambazo hazina usajili au utaratibu rasmi popote pale, ni hatari.

Naitwa Dkt Gwajima Dorothy Waziri wa Maendeleo ya Jamii Jinsia Wanawake na Makundi Maalumu. Ahsante Sana.
 
Jambo hili limekuwa likifanyika kwa kipindi kirefu sasa
 
Mh
Mh.inabidi muandae operations maalumu kwa siri kwenye beach zote za dar na watu WA usalama ili kushuhudia na mkiwabaini wahusika na wahanga WA Ivyo vitendo mnawatia kwenye vyombo vya sheria
 
Siyo kweli kwamba huwa wanabakwa, huwa wameridhia.

Mleta mada anavyosema wanapelekwa kwenye kina kirefu, huyo anaevaa chupi alikuwa kwenye kina kirefu hapo?
Hujaelewa wewe. Binti huyo anaepandisha chupi usifikiri kilichotoka kufanyika ameridhia?. Yaani ukikodi kufundishwa unapelekwa mbali na hilo boya. Then kule anakuambia ampe penzi. Ukikataa unazamishwa kidogo ili kukutisha. Unajua kufa maji kunavyotisha?. Lazima ukubali. Na hapo inakuwa kama ameridhia,lakini amebakwa,ni sawa na kuwekewa bunduki.
Huo mchezo nimeusikia mara nyingi kwa hao beach boy.
 
Huwa wanataka wenyewe kugongwa acheni kuwalaumu hao beachboys.

Na kama huwa unaenda beach utagundua kua ufuska hufanyika kwenye kina kifupi kma hapo.
Kina Kirefu MKURUDUNGU / MKUYENGE hauwezi Kuingia / Kuzama Wote MBUNYENI / KOKWANI kwani kunakosekana Balance ya Wimbi, ya uwekaji / Usimikaji wa Miguu ili Kiuno kifanye Kazi yake ya Kutukuka ( hasa katika Kusukuma ndani na kuitoa ), Volume ya Maji ya Bahari, Ujazo wa Chumvi iliyoko Majini katika Eneo husika, Speed ya Maji, Force of Gravity na kusumbuliwa na Samaki wadogo wadogo wanaokuwa Wanawapigieni Chabo wao wakiwa ndani ya Maji.
 
imagine binti yako ndio anapelekewa moto apo kama wewe utafanya nini?
Kwa umri huo ni kuanzia miaka 25 na kuendelea hvyo ana free will kufanya au kutokufanya kingine kwa mujibu wa video inaonekana kabisa kina cha maji ni kifupi sana ni cha miguuni mpka kiunoni hivyo kufanywa vile ni mipango na sio tishio... Be detective kijana vitu vingine haviitaji akili kubwa
 
Bahari ya Coco ina maji machafu sana.

Sasa yakiingia huko ukeni si ndio mwanzo wa magonjwa.
Maji yana chumvi sana pale Coco , uke unajisafisha!
Kumbuka unakula smaki wa baharini na kinyesi
Pweza, changu, dagaa mchanga ndio wanakula huo unaoita uchafu alafu unalipa elf 15 kwa ugali samaki.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…