DOKEZO Ubakaji wa kutisha Coco beach, Kawe beach na Kigamboni, wanaharakati wa kike kimya

DOKEZO Ubakaji wa kutisha Coco beach, Kawe beach na Kigamboni, wanaharakati wa kike kimya

Hili ni dokezo maalum toka kwa mwananchi mtumiaji wa JF mwenye nia ya kuusaidia umma kuwa na taarifa 'maalum'
Wacha kwanza Mh GWAJIMA aende na hili la WANAWAKE kubakwa mbele za wazazi wao coco Beach na Kawe na Kigamboni pale mikadi.
Serikali impatie Mh Gwajima fedha za ku-monitor beaches zote.
bunge litunge sheria kali maana sasa hawa watu wamezidi.
Mnapoteza muda wenu hamtofanikiwa.
 
Mimi tayari Nyege zimeshanipanda na Mademu zangu Wote utafikiri waliambiana au wana Agenda Maalum kwani kila ninayempigia Simu kutaka Mbunye yake / zao anasema / wanasema kwa sasa Bwawa lake la Mindu limefurika labda nisubirie likauke baada ya Siku Nne hadi Saba.
[emoji1][emoji1][emoji1]chief kulikuw na ulazima wa kutaja bwawa letu la Mindu
 
View attachment 2791093

Angalia huyu binti hapo amefanya sex mbele ya ndugu zake na wazazi bila kujua, anatoka akipandisha chupi na hawezi kusema kutokana na aibu:

Watu wanapokwenda beach, wasichana wengi wanapenda kuogelea na wengi wao hawajui, hivyo wale Beach Boys wanaokodisha maboya huingia nao kwenye maji kwa lengo la kuwafundisha.

“Kinachofuata sasa, Beach Boys hupeleka boya hadi kwenye kina kirefu, wakifika huko kijana huomba apewe penzi huku akimtishia mdada kuwa akigoma anamuachia afe.

“Mdada akijifanya mbishi anazamishwa, anakunwya maji kidogo kisha anaibuliwa, akishaona mlango wa kuzimu anakubali kiulainii. Kwa staili hii wadada wengi wamepewa mimba na kuambukizwa magonjwa.”

Mmoja wa mabinti aliyewahi kufanyiwa mchezo huo aliyeomba hifadhi ya jina lake alidai kuwa, kuna wakati alifika na wenzake kwa lengo la kufundishwa kuogelea lakini kilichompata hatasahau.

“Mimi kila wakati nikienda kule beach natamani sana kuogelea lakini nilikuwa siwezi ndo nikaambiwa wale vijana wanaokodisha yale maboya ukitaka wanakufundisha.

“Siku moja nikaenda pale, nikaongea na kijana mmoja ambaye alikubali kunifundisha kwa malipo ya shilingi elfu tano. Wakati ananifundisha akawa ananipeleka kwenye sehemu yenye maji mengi, tukaenda mbali sana ambako nisingeweza kurudi peke yangu.

“Huko akaanza kunitaka nimpe penzi huku akisema hata nisipomlipa, kwa kweli nilichangayikiwa. Wakati najifikiria alishaanza kunichezea kisha akanibaka,” alidai binti huyo.​
😃😃, ALAFU KWENYE MAJI MACHINE KULALA( KUMWAGA) HUWA INACHELEWA BALAAAAA
 
Mnapoteza muda wenu hamtofanikiwa.
Mh Dr Gwajima hakika atatutoa hapa, na kwa hili atakuwa na ujasiri wa kusimama jimbo lolote, iwe Dar au Mkosni na kujivunia alivyo okoa watoto wa kike kwenye ubakaji:
Gwajima tusaidiane kumaliza hii kitu.
 
Inawezekana ubakaji upo lakini kwa tukio hilo jinsi binti alivyokuwa akitoa ushirikiano ni dhahiri zoezi lilifanyika kwa hiari.
 
View attachment 2791093

Angalia huyu binti hapo amefanya sex mbele ya ndugu zake na wazazi bila kujua, anatoka akipandisha chupi na hawezi kusema kutokana na aibu:

Watu wanapokwenda beach, wasichana wengi wanapenda kuogelea na wengi wao hawajui, hivyo wale Beach Boys wanaokodisha maboya huingia nao kwenye maji kwa lengo la kuwafundisha.

“Kinachofuata sasa, Beach Boys hupeleka boya hadi kwenye kina kirefu, wakifika huko kijana huomba apewe penzi huku akimtishia mdada kuwa akigoma anamuachia afe.

“Mdada akijifanya mbishi anazamishwa, anakunwya maji kidogo kisha anaibuliwa, akishaona mlango wa kuzimu anakubali kiulainii. Kwa staili hii wadada wengi wamepewa mimba na kuambukizwa magonjwa.”

Mmoja wa mabinti aliyewahi kufanyiwa mchezo huo aliyeomba hifadhi ya jina lake alidai kuwa, kuna wakati alifika na wenzake kwa lengo la kufundishwa kuogelea lakini kilichompata hatasahau.

“Mimi kila wakati nikienda kule beach natamani sana kuogelea lakini nilikuwa siwezi ndo nikaambiwa wale vijana wanaokodisha yale maboya ukitaka wanakufundisha.

“Siku moja nikaenda pale, nikaongea na kijana mmoja ambaye alikubali kunifundisha kwa malipo ya shilingi elfu tano. Wakati ananifundisha akawa ananipeleka kwenye sehemu yenye maji mengi, tukaenda mbali sana ambako nisingeweza kurudi peke yangu.

“Huko akaanza kunitaka nimpe penzi huku akisema hata nisipomlipa, kwa kweli nilichangayikiwa. Wakati najifikiria alishaanza kunichezea kisha akanibaka,” alidai binti huyo.​
Msikilize huyu binti!

 
Tafadhali wote wenye ushahidi au taarifa juu ya huu ukatili wanitumie ujumbe kwenye namba 0765345777 au 0734124191 ili tuelewe vizuri zaidi tupange uchunguzi kwa hatua zaidi. Na iwapo jambo hili lipo, huu ni unyanyasaji wa kijinsia na tukimpata au kuwapata hawa makatili, watatutajia mnyororo mzima uchukuliwe hatua. Aidha , taarifa zitasaidia kumulima utaratibu mzima wa hizi huduma.

Lakini ndugu wanawake na mabinti, jilindeni na huduma ambazo hazina usajili au utaratibu rasmi popote pale, ni hatari.

Naitwa Dkt Gwajima Dorothy Waziri wa Maendeleo ya Jamii Jinsia Wanawake na Makundi Maalumu. Ahsante Sana.
Asante Muheshimiwa Waziri Nadhani wahusika wa unyanyasaji na waathirika wote waliofanyiwa hivyo na wenye Ushahidi watakutafuta ila ningependa pia usiri wa taarifa za mtoaji pia uzingatiwe
 
GENTAMYCINE ulisema unaushahidi wote haya muheshimiwa waziri anaomba umtumie
Ushahidi ninao ( tena baadhi yao ni Marafiki zangu ) na kwanini NIMEKASIRIKA na sasa naunga mkono Vitendo vya hawa Beach Boys ni kwamba mwaka huu huu niliandika Uzi hapa KUTAHADHARISHA hili na KUFAFANUA kiundani ili hatua zichukuliwe ila NIKAPUUZWA na sikumuona huyu Waziri wenu Dkt. Gwajima D akija hata Kuuchagia tu huo Uzi na Kunipongeza halafu leo anajifanya Kuguswa nalo na Kujitokeza.
 
Imagine mshkaji kashawafanyia mabinti wangapi kabla ya uyo
Kaka, kwa siku si chini ya wanne , tena wengi wanafunzi ambao wanatoroka shule wanakwenda beach na uniforms., wanakodisha chupi za kuogea kwa hao hao ma beach boy na kufundishwa kuoga, waki ingizwa majini ndipo wanawaambia wafanye na hawatatozwa hela.

Wanafunzi.
Weekend ndio watoto wa majumbani na wanafunzi wa vyuo.
 
Back
Top Bottom