GENTAMYCINE
JF-Expert Member
- Jul 13, 2013
- 60,660
- 121,325
Na Miguu ALIIPANUA Kiustadi Mwenyewe.Huyo kataka mwenyewe...
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Na Miguu ALIIPANUA Kiustadi Mwenyewe.Huyo kataka mwenyewe...
Acheni Wabanduliwe.Nakubaliana na wewe asilimia 100%...
Kama mtu wa kwanza alifanyiwa hivyo then alivotoka kwenye maji alichukua hatua gani ..?
Kama alikaa kimya means alipenda.
Kukaaa kuwatetea tetea sana hii inashusha thamani yao. Tena inaonesha jinsi gani dada zetu hawajielewi.
Anaye fanyiwa hayo mambo sio mtoto ni mtu mzima na akili zake..
Ukifika beach tuu hizi story zipo nyingi sana. Kusema huyo anayeenda huko beach ni mgeni, katoka mkoani au ..?
Hao wanapenda wenyewe. Ingekua wanaofanyiwa hivi ni watoto hapo hatua zingechukuliwa .
Mtu mzima na akili zako unafanyiwa hivo na unatoka upo comfortable kabisa si uchizi huo 😂😂😂😂😂😂
hamna mwenye kosa binti ametaka mwenyewe kuliwa kwenye majiMkuu we hapo unazani nani mwenye makosa...?
Haya mambo hayajaanza leo kumbuka...Kaka, kwa siku si chini ya wanne , tena wengi wanafunzi ambao wanatoroka shule wanakwenda beach na uniforms., wanakodisha chupi za kuogea kwa hao hao ma beach boy na kufundishwa kuoga, waki ingizwa majini ndipo wanawaambia wafanye na hawatatozwa hela.
Wanafunzi.
Weekend ndio watoto wa majumbani na wanafunzi wa vyuo.
Hapo bado.....Acheni Wabanduliwe.
Bado sana. Mpaka siku binti au dada anakumbwa na masaibu haya ndiyo mtu unashtuka. Mfumo dume bado unatawala japo nimeona hata baadhi ya wanawake wenyewe wanaunga mkono. Badooo!Achana na huyu maana anaongea kama zile video za kutafuta views YouTube.
Ila kiukweli kuna namna Tanzania tunachukulia sexual abuse kama kitu cha kawaida hadi pale inapomkuta mtu wako wa karibu.
Ukifuatilia comments za humu ndio utaelewa
Saaafiiiii tupo pamoja...hamna mwenye kosa binti ametaka mwenyewe kuliwa kwenye maji
Na Miguu ALIIPANUA Kiustadi Mwenyewe.
Mfume dume umeingiaje hapo mkuu...?Bado sana. Mpaka siku binti au dada anakumbwa na masaibu haya ndiyo mtu unashtuka. Mfumo dume bado unatawala japo nimeona hata baadhi ya wanawake wenyewe wanaunga mkono. Badooo!
AlipendaAlafu kina kifupi sana hicho...
Aah mi siuzi mechi mkuu, hata nyege ziweje. Rough rider zitatumika.Tafuta boya kajiunge coco beach pale ulongoni..
Na ombea nisikudake 😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂
Na wao si wanataka dozi?Ubakaji wa kutisha Coco beach, Kawe beach na Kigamboni, wanaharakati wa kike kimya
Bila ridhaa hapana, tofautisha kubakwa na ku kusudia.Na wao si wanataka dozi?
Hbr za mchana. Kazi yangu mojawapo ya kwanza kabisa ni kuifungua jamii macho kwa elimu ya tahadhari KUEPUKA mambo yanayoweza kuhatarisha maendeleo na ustawi wao. Kama kazi zingine tu za sekta zingine kwamba, elimu kwa jamii ni muhimu Ili KUEPUKA tatizo. Kazi ya jamii katika hatua za awali ni kusikia na kuchukua hatua. Huenda wengi hata hawaelewi kabisa. Hakuna anayebarikiwa kwa taarifa aina hizi za kudhalilisha Jinsia halafu akae kimya bila neno.Dkt. Gwajima D Tafuta kazi nyingine ya kufanya achana na hao malaya wa hapo coco beach.
Haiwezekan huo ukawa ubakaji hata kidogo.
Ni kweli, kwanza tangu mwanzoni alikua kina kifupi, unaweza ona kabisa mawimbi yanapiga ukingoni na rangi ya mchanga inaonekana + kulana mate.Hakuna aliyebakwa hapo. Ameridhia mwenyewe
Dada zetu nao wana shida mkuu...Aah mi siuzi mechi mkuu, hata nyege ziweje. Rough rider zitatumika.
Sema hawa jamaa itakua wanawapa sana mimba na ukimwi dada zetu
Wanafunzi wawe na walimu na beach boy[wauza unga] wasisogelee.Mkuu pia inaonekana wewe bado mgeni mitaa hiyo...
Beach kuna madem weng sana wanajiuza...unamchukua unaoga nae unapiga bao, unamlipa mlivyokubaliana....
Mimi ambacho ningekuunga mkono ni kukataza wanafunzi kwenda beach..lakn sasa utawajuaje?