DOKEZO Ubakaji wa kutisha Coco beach, Kawe beach na Kigamboni, wanaharakati wa kike kimya

DOKEZO Ubakaji wa kutisha Coco beach, Kawe beach na Kigamboni, wanaharakati wa kike kimya

Hili ni dokezo maalum toka kwa mwananchi mtumiaji wa JF mwenye nia ya kuusaidia umma kuwa na taarifa 'maalum'
Tena Waziri Dkt. Gwajima D ukitaka Kulimaliza hili ukinitumia tu Mimi ( ambao nawajua hadi Mbinu zao zote ) hasa kwa Beach za Kawe na Coco ( ambako kote huko ni Makazi yangu ) naweza ( tena hata bila ya kuwatumia hao sijui wana Usalama au Kuwawinda ila kwa Kuniudhi Kwenu kama Mamlaka ( Serikali yako ) pale GENTAMYCINE nilipokuja na Uzi hapa JamiiForums Kulitahadharisha hili hata mniahidi Mamilioni nishirikiane nanyi sitochukua kwani Mlinikera sana.

Na hili liwe Fundisho Kwenu kuwa acheni Dharau kwa Members wa JamiiForums ambao huwa tunawaandikieni hapa Mambo very Sensitive ili muyafanyie Kazi haraka.
Hii itakua poa sana.
Ukisema mambo ya usalama
Uswazi kule watu wanastukia mapema mnoo yaaani mapema
 
Tena Waziri Dkt. Gwajima D ukitaka Kulimaliza hili ukinitumia tu Mimi ( ambao nawajua hadi Mbinu zao zote ) hasa kwa Beach za Kawe na Coco ( ambako kote huko ni Makazi yangu ) naweza ( tena hata bila ya kuwatumia hao sijui wana Usalama au Kuwawinda ila kwa Kuniudhi Kwenu kama Mamlaka ( Serikali yako ) pale GENTAMYCINE nilipokuja na Uzi hapa JamiiForums Kulitahadharisha hili hata mniahidi Mamilioni nishirikiane nanyi sitochukua kwani Mlinikera sana.

Na hili liwe Fundisho Kwenu kuwa acheni Dharau kwa Members wa JamiiForums ambao huwa tunawaandikieni hapa Mambo very Sensitive ili muyafanyie Kazi haraka.
Hbr za mchana.

Unanilaumu uki assume niliona? Lini kwanza? Naomba unipe ushirikiano basi hata kwa hatua hii. Ya jana tuipe jana na ya Leo tuipe Leo. Haya ndiyo maendeleo. Ahsante Sana. Vema tukichati kwenye namba hii 0765345777 tupange nishirikishe sekta husika tukae tuone la kufanya. Haya ndiyo maendeleo ambayo mm nayaamini.

Sent from my CPH2207 using JamiiForums mobile app
 
Bila ridhaa hapana, tofautisha kubakwa na ku kusudia.
Hebu tuwe na huruma na hawa watoto wetu.
Sasa mbona wenyewe hawasemi, wapo kimyaa. Unadhani hawajui?
Hili ni suala la siku nyingi, linajulikana vizuri tu..
 
Hbr za mchana.

Unanilaumu uki assume niliona? Lini kwanza? Naomba unipe ushirikiano basi hata kwa hatua hii. Ya jana tuipe jana na ya Leo tuipe Leo. Haya ndiyo maendeleo. Ahsante Sana. Vema tukichati kwenye namba hii 0765345777 tupange nishirikishe sekta husika tukae tuone la kufanya. Haya ndiyo maendeleo ambayo mm nayaamini.

Sent from my CPH2207 using JamiiForums mobile app
@GENTAMYCINE kimbia huku, njoo usaidie serikali
 
Hbr za mchana.

Unanilaumu uki assume niliona? Lini kwanza? Naomba unipe ushirikiano basi hata kwa hatua hii. Ya jana tuipe jana na ya Leo tuipe Leo. Haya ndiyo maendeleo. Ahsante Sana. Vema tukichati kwenye namba hii 0765345777 tupange nishirikishe sekta husika tukae tuone la kufanya. Haya ndiyo maendeleo ambayo mm nayaamini.

Sent from my CPH2207 using JamiiForums mobile app
Mungu akuweke aise,
 
Tafadhali wote wenye ushahidi au taarifa juu ya huu ukatili wanitumie ujumbe kwenye namba 0765345777 au 0734124191 ili tuelewe vizuri zaidi tupange uchunguzi kwa hatua zaidi. Na iwapo jambo hili lipo, huu ni unyanyasaji wa kijinsia na tukimpata au kuwapata hawa makatili, watatutajia mnyororo mzima uchukuliwe hatua. Aidha , taarifa zitasaidia kumulima utaratibu mzima wa hizi huduma.

Lakini ndugu wanawake na mabinti, jilindeni na huduma ambazo hazina usajili au utaratibu rasmi popote pale, ni hatari.

Naitwa Dkt Gwajima Dorothy Waziri wa Maendeleo ya Jamii Jinsia Wanawake na Makundi Maalumu. Ahsante Sana.
Asante sana waziri kwa kuja kwa wakati. Na kutoa muongozo nini cha kufanya. Huo ndio uwajibikaji. Binafsi nikushukuru
 
Ukiangalia hapa ni kama alitaka kulia kwa kilichotokea.
Now i feel sorry for her
Screenshot_20231024-122952_Video Player.jpg
 
@GENTAMYCINE kimbia huku, njoo usaidie serikali
Mwambie aje jamani mbiombio, umoja na ushirikiano na mshikamano ni chachu kwa maendeleo na ustawi wa jamii yetu. JamiiYetuFahariYetu [emoji1241]

Unyanyasaji wa kijinsia haukubaliki na dawa mojawapo ni elimisha Kila mmoja achukue tahadhari ya kwanza kwa yanayozuilika, kisha hatua zaidi.

Sent from my CPH2207 using JamiiForums mobile app
 
Hbr za mchana.

Unanilaumu uki assume niliona? Lini kwanza? Naomba unipe ushirikiano basi hata kwa hatua hii. Ya jana tuipe jana na ya Leo tuipe Leo. Haya ndiyo maendeleo. Ahsante Sana. Vema tukichati kwenye namba hii 0765345777 tupange nishirikishe sekta husika tukae tuone la kufanya. Haya ndiyo maendeleo ambayo mm nayaamini.

Sent from my CPH2207 using JamiiForums mobile app
Waziri Dkt. Gwajima D bhana kabisa GENTAMYCINE nichati nawe kwa Namba yako hii uliyonipa hapa ili uwarahishie Kazi wale Wanaonitafuta Kutwa kwa kuwa Mkosoaji tukuka wa Boss wako hapa JamiiForums?

Wala sithubutu Dada na utanisamehe kwa hilo. Na najua nikikupa tu Ushirikiano wangu upesi sana utanijua na najua hata Watu wa Mfumo Oysterbay St. Peters watajua wapi kwa kuanzia nami.

Labda omba tu kwa Mwenyezi Mungu kuwa Mizimu yangu ya Hasira zangu za Kizanaki na Kiyao zikitulia baada ya Kukwazika na Kunipuuza Kwenu nilipotahadharisha katika ule Uzi wangu nitakupa Ushirikiano wangu mkubwa tena hapa hapa JamiiForums ila kwa leo niache Kwanza.

Tena nina Mbinu zangu kadhaa za Kulimaliza hilo tatizo na najua utanipa Tuzo Mwenyewe ila Jazba zangu Tukuka zikipoa tu nitakutafuta hapa hapa JamiiForums na kukupa zote. Cha msingi hakikisha uwe hubanduki 24/7 hapa JamiiForums na ikiwezekana anza Kunifolo pia kama anavyonifolo pia na Boss wako Ziarani Kaunda Nation.
 
Hivi watu huwa mnawezaje kuona mtu anafanyiwa uhalifu kama huo na mkakaa kimya mkatulia kabisa? Yaan kumbe ndo maana watu wazima mnajifungia ndani kuogopa vijana wenye miaka 11 walioshika mapanga mnawaita panya rodi, uhalifu huwa unakomaa kwa kuchekea mambo ya kipuuzi kama haya, watu hamuwezi kabisa kushirikiana kutokomeza mambo haya?

Ila Hawa dada zetu nao sometimes ni tatizo mimi huko cocobeach huwa siendi lakini najua wanawake wanabakwa na hao Beach Boys kwa mbinu hizohizo sasa mwanamke anaeenda inamaana kweli huwa hana taarifa kuwa huwa wenzake wanafanyiwa nini?
 
Back
Top Bottom