DOKEZO Ubakaji wa kutisha Coco beach, Kawe beach na Kigamboni, wanaharakati wa kike kimya

DOKEZO Ubakaji wa kutisha Coco beach, Kawe beach na Kigamboni, wanaharakati wa kike kimya

Hili ni dokezo maalum toka kwa mwananchi mtumiaji wa JF mwenye nia ya kuusaidia umma kuwa na taarifa 'maalum'
Waziri Dkt. Gwajima D bhana kabisa GENTAMYCINE nichati nawe kwa Namba yako hii uliyonipa hapa ili uwarahishie Kazi wale Wanaonitafuta Kutwa kwa kuwa Mkosoaji tukuka wa Boss wako hapa JamiiForums?

Wala sithubutu Dada na utanisamehe kwa hilo. Na najua nikikupa tu Ushirikiano wangu upesi sana utanijua na najua hata Watu wa Mfumo Oysterbay St. Peters watajua wapi kwa kuanzia nami.

Labda omba tu kwa Mwenyezi Mungu kuwa Mizimu yangu ya Hasira zangu za Kizanaki na Kiyao zikitulia baada ya Kukwazika na Kunipuuza Kwenu nilipotahadharisha katika ule Uzi wangu nitakupa Ushirikiano wangu mkubwa tena hapa hapa JamiiForums ila kwa leo niache Kwanza.

Tena nina Mbinu zangu kadhaa za Kulimaliza hilo tatizo na najua utanipa Tuzo Mwenyewe ila Jazba zangu Tukuka zikipoa tu nitakutafuta hapa hapa JamiiForums na kukupa zote. Cha msingi hakikisha uwe hubanduki 24/7 hapa JamiiForums na ikiwezekana anza Kunifolo pia kama anavyonifolo pia na Boss wako Ziarani Kaunda Nation.
Daaah we jamaaa wewe 😂😂😂😂😂🔥🔥🙌🙌🙌🙌🙌
 
Tena Waziri Dkt. Gwajima D ukitaka Kulimaliza hili ukinitumia tu Mimi ( ambao nawajua hadi Mbinu zao zote ) hasa kwa Beach za Kawe na Coco ( ambako kote huko ni Makazi yangu ) naweza ( tena hata bila ya kuwatumia hao sijui wana Usalama au Kuwawinda ila kwa Kuniudhi Kwenu kama Mamlaka ( Serikali yako ) pale GENTAMYCINE nilipokuja na Uzi hapa JamiiForums Kulitahadharisha hili hata mniahidi Mamilioni nishirikiane nanyi sitochukua kwani Mlinikera sana.

Na hili liwe Fundisho Kwenu kuwa acheni Dharau kwa Members wa JamiiForums ambao huwa tunawaandikieni hapa Mambo very Sensitive ili muyafanyie Kazi haraka.
Acha kujifanya wewe ni special sana mbona umeng'ang'ania kusema wamekudharau wamekudharau! Kwani wewe nani hadi unafikiri kwamba kila mtu akiingia jf basi lazima atauona uzi wako na lazima aufanyie kazi! Acha kulazimisha umaarufu na kujipa umuhimu ambao wengine hawauoni.
Wewe anzisha mada, changia mada na pale mtu atakapo uona mchango wako na akaona huo mchango wako ni muhimu ataufanyia kazi lakini sio kulazimisha.
 
Hivi watu huwa mnawezaje kuona mtu anafanyiwa uhalifu kama huo na mkakaa kimya mkatulia kabisa? Yaan kumbe ndo maana watu wazima mnajifungia ndani kuogopa vijana wenye miaka 11 walioshika mapanga mnawaita panya rodi, uhalifu huwa unakomaa kwa kuchekea mambo ya kipuuzi kama haya, watu hamuwezi kabisa kushirikiana kutokomeza mambo haya?

Ila Hawa dada zetu nao sometimes ni tatizo mimi huko cocobeach huwa siendi lakini najua wanawake wanabakwa na hao Beach boy sasa mwanamke anaeenda inamaana kweli huwa hana taarifa kuwa huwa wenzake wanafanyiwa nini?
Wewe ungekuwepo hapo beach ungechukua hatua gani..?
 
Mwambie aje jamani mbiombio, umoja na ushirikiano na mshikamano ni chachu kwa maendeleo na ustawi wa jamii yetu. JamiiYetuFahariYetu [emoji1241]

Unyanyasaji wa kijinsia haukubaliki na dawa mojawapo ni elimisha Kila mmoja achukue tahadhari ya kwanza kwa yanayozuilika, kisha hatua zaidi.

Sent from my CPH2207 using JamiiForums mobile app
Naandaa Kwanza Kichuri cha Kwetu Mkoani Mara ( Musoma ) ambacho Kitashusha Hasira zangu kisha nitakupa Ushirikiano lakini siyo leo kuwa Mvumilivu kwani kwa sasa Akili yangu yote iko Cairo Misri naiwazia Simba SC yangu kama leo itashinda au tutatolewa rrasmi AFL na tukitolewa tu Hasira zangu zitarejea tena hivyo nawe sana iombee Simba SC yangu Ushindi ili nikifurahi basi Kiulaini tu nikupe Ushirikiano wote sawa? au Wewe ni Yanga SC?
 
Waziri Dkt. Gwajima D bhana kabisa GENTAMYCINE nichati nawe kwa Namba yako hii uliyonipa hapa ili uwarahishie Kazi wale Wanaonitafuta Kutwa kwa kuwa Mkosoaji tukuka wa Boss wako hapa JamiiForums?

Wala sithubutu Dada na utanisamehe kwa hilo. Na najua nikikupa tu Ushirikiano wangu upesi sana utanijua na najua hata Watu wa Mfumo Oysterbay St. Peters watajua wapi kwa kuanzia nami.

Labda omba tu kwa Mwenyezi Mungu kuwa Mizimu yangu ya Hasira zangu za Kizanaki na Kiyao zikitulia baada ya Kukwazika na Kunipuuza Kwenu nilipotahadharisha katika ule Uzi wangu nitakupa Ushirikiano wangu mkubwa tena hapa hapa JamiiForums ila kwa leo niache Kwanza.

Tena nina Mbinu zangu kadhaa za Kulimaliza hilo tatizo na najua utanipa Tuzo Mwenyewe ila Jazba zangu Tukuka zikipoa tu nitakutafuta hapa hapa JamiiForums na kukupa zote. Cha msingi hakikisha uwe hubanduki 24/7 hapa JamiiForums na ikiwezekana anza Kunifolo pia kama anavyonifolo pia na Boss wako Ziarani Kaunda Nation.
Namwamini Dkt. Gwajima D Kwa utendaji kazi wake na naamini atakupa ushirikiano bila kutoa siri yoyote...

Namfahamu Tangu akiwa naibu katibu mkuu Afya Tangu tuko naye Group moja Telegram la afya Tulikuwa tukijadiliana na wadau maswala mbalimbali kuhusu Halmashauri na hata Kauli ngumungumu kuhusu Viongozi ila hwezi kukuuza..

Na hata hivyo kama unaogopa kuuzwa unaweza ukatumia eSim zipo namba kibao za kununua Ni disposable unanunua then baada ya siku chache unaidispose lengo na madhumuni ni kujenga Nchi yenye ustawi safi kama wewe kila siku unavyotaka iwe....
 
Namwamini Dkt. Gwajima D Kwa utendaji kazi wake na naamini atakupa ushirikiano bila kutoa siri yoyote...

Namfahamu Tangu akiwa naibu katibu mkuu Afya Tangu tuko naye Group moja Telegram la afya Tulikuwa tukijadiliana na wadau maswala mbalimbali kuhusu Halmashauri na hata Kauli ngumungumu kuhusu Viongozi ila hwezi kukuuza..

Na hata hivyo kama unaogopa kuuzwa unaweza ukatumia eSim zipo namba kibao za kununua Ni disposable unanunua then baada ya siku chache unaidispose lengo na madhumuni ni kujenga Nchi yenye ustawi safi kama wewe kila siku unavyotaka iwe....
Umelipwa Tsh ngapi ili Kunitega niingie Nyavuni Mkuu?
 
Hbr za mchana.

Unanilaumu uki assume niliona? Lini kwanza? Naomba unipe ushirikiano basi hata kwa hatua hii. Ya jana tuipe jana na ya Leo tuipe Leo. Haya ndiyo maendeleo. Ahsante Sana. Vema tukichati kwenye namba hii 0765345777 tupange nishirikishe sekta husika tukae tuone la kufanya. Haya ndiyo maendeleo ambayo mm nayaamini.

Sent from my CPH2207 using JamiiForums mobile app
Hilo poyoyo litakupotezea muda wako bure kila mtu humu analijua ni mr misifa.
 
Naandaa Kwanza Kichuri cha Kwetu Mkoani Mara ( Musoma ) ambacho Kitashusha Hasira zangu kisha nitakupa Ushirikiano lakini siyo leo kuwa Mvumilivu kwani kwa sasa Akili yangu yote iko Cairo Misri naiwazia Simba SC yangu kama leo itashinda au tutatolewa rrasmi AFL na tukitolewa tu Hasira zangu zitarejea tena hivyo nawe sana iombee Simba SC yangu Ushindi ili nikifurahi basi Kiulaini tu nikupe Ushirikiano wote sawa? au Wewe ni Yanga SC?
Haupo serious 🤓🤓🤓🤓🤓
 
Tafadhali wote wenye ushahidi au taarifa juu ya huu ukatili wanitumie ujumbe kwenye namba 0765345777 au 0734124191 ili tuelewe vizuri zaidi tupange uchunguzi kwa hatua zaidi. Na iwapo jambo hili lipo, huu ni unyanyasaji wa kijinsia na tukimpata au kuwapata hawa makatili, watatutajia mnyororo mzima uchukuliwe hatua. Aidha , taarifa zitasaidia kumulima utaratibu mzima wa hizi huduma.

Lakini ndugu wanawake na mabinti, jilindeni na huduma ambazo hazina usajili au utaratibu rasmi popote pale, ni hatari.

Naitwa Dkt Gwajima Dorothy Waziri wa Maendeleo ya Jamii Jinsia Wanawake na Makundi Maalumu. Ahsante Sana.
Mheshimiwa,
Pitia hii pia ingawa ni ya kitambo kiasi.
Seems hao ma beach boys hawajaanza huo mchezo leo, ni wazoefu..
👇👇
 
Waziri Dkt. Gwajima D bhana kabisa GENTAMYCINE nichati nawe kwa Namba yako hii uliyonipa hapa ili uwarahishie Kazi wale Wanaonitafuta Kutwa kwa kuwa Mkosoaji tukuka wa Boss wako hapa JamiiForums?

Wala sithubutu Dada na utanisamehe kwa hilo. Na najua nikikupa tu Ushirikiano wangu upesi sana utanijua na najua hata Watu wa Mfumo Oysterbay St. Peters watajua wapi kwa kuanzia nami.

Labda omba tu kwa Mwenyezi Mungu kuwa Mizimu yangu ya Hasira zangu za Kizanaki na Kiyao zikitulia baada ya Kukwazika na Kunipuuza Kwenu nilipotahadharisha katika ule Uzi wangu nitakupa Ushirikiano wangu mkubwa tena hapa hapa JamiiForums ila kwa leo niache Kwanza.

Tena nina Mbinu zangu kadhaa za Kulimaliza hilo tatizo na najua utanipa Tuzo Mwenyewe ila Jazba zangu Tukuka zikipoa tu nitakutafuta hapa hapa JamiiForums na kukupa zote. Cha msingi hakikisha uwe hubanduki 24/7 hapa JamiiForums na ikiwezekana anza Kunifolo pia kama anavyonifolo pia na Boss wako Ziarani Kaunda Nation.
Heee kumbe unatafutwa tena ndugu? Mm siyajui hayo. Ila watanzania wengi tu huwa tunashirikiana kupata ufumbuzi wa changamoto za kijamii makundi maalumu.

Ila kwa kuwa wewe una mazingira maalumu, haya basi ahsante Sana. Ngoja nami nione jinsi gani nitashirikiana na wengine wasio na mazingira maalumu ya maisha Ili kwa pamoja kufanya hatua za kuwasaidia wanawake watumiaji wa maeneo hayo yanayodaiwa ni hatarishi. Hatua ya kwanza ni wao pia watoe ushirikiano na tufanye mjadala nao maana jambo la kijamii Ili lifanikiwe, linahitaji jamii yenyewe ishiriki kwenye wito wa kufikiri ni jinsi gani tupate ufumbuzi.

Kushinda JF tu kuwinda thread zako kwa kweli ngumu, maana mambo ni mengi ya kufuatilia. Ngoja tuanze na huu wa Leo. Tukijaliwa. Ubarikiwe.

Sent from my CPH2207 using JamiiForums mobile app
 
Siku za wikiend weka vijana wako,koko Beach,Kawe Beach n.k wafanye upelelezi utagundua
Tafadhali wote wenye ushahidi au taarifa juu ya huu ukatili wanitumie ujumbe kwenye namba 0765345777 au 0734124191 ili tuelewe vizuri zaidi tupange uchunguzi kwa hatua zaidi. Na iwapo jambo hili lipo, huu ni unyanyasaji wa kijinsia na tukimpata au kuwapata hawa makatili, watatutajia mnyororo mzima uchukuliwe hatua. Aidha , taarifa zitasaidia kumulima utaratibu mzima wa hizi huduma.

Lakini ndugu wanawake na mabinti, jilindeni na huduma ambazo hazina usajili au utaratibu rasmi popote pale, ni hatari.

Naitwa Dkt Gwajima Dorothy Waziri wa Maendeleo ya Jamii Jinsia Wanawake na Makundi Maalumu. Ahsante Sana.
 
View attachment 2791151
Angalia huyu binti hapo amefanya sex mbele ya ndugu zake na wazazi bila kujua, anatoka akipandisha chupi na hawezi kusema kutokana na aibu:

Watu wanapokwenda beach, wasichana wengi wanapenda kuogelea na wengi wao hawajui, hivyo wale Beach Boys wanaokodisha maboya huingia nao kwenye maji kwa lengo la kuwafundisha.

“Kinachofuata sasa, Beach Boys hupeleka boya hadi kwenye kina kirefu, wakifika huko kijana huomba apewe penzi huku akimtishia mdada kuwa akigoma anamuachia afe.

“Mdada akijifanya mbishi anazamishwa, anakunwya maji kidogo kisha anaibuliwa, akishaona mlango wa kuzimu anakubali kiulainii. Kwa staili hii wadada wengi wamepewa mimba na kuambukizwa magonjwa.”

Mmoja wa mabinti aliyewahi kufanyiwa mchezo huo aliyeomba hifadhi ya jina lake alidai kuwa, kuna wakati alifika na wenzake kwa lengo la kufundishwa kuogelea lakini kilichompata hatasahau.

“Mimi kila wakati nikienda kule beach natamani sana kuogelea lakini nilikuwa siwezi ndo nikaambiwa wale vijana wanaokodisha yale maboya ukitaka wanakufundisha.

“Siku moja nikaenda pale, nikaongea na kijana mmoja ambaye alikubali kunifundisha kwa malipo ya shilingi elfu tano. Wakati ananifundisha akawa ananipeleka kwenye sehemu yenye maji mengi, tukaenda mbali sana ambako nisingeweza kurudi peke yangu.

“Huko akaanza kunitaka nimpe penzi huku akisema hata nisipomlipa, kwa kweli nilichangayikiwa. Wakati najifikiria alishaanza kunichezea kisha akanibaka,” alidai binti huyo.​


Mambo ya kipumbavu haya haya sitaki yasikia, hao mabinti nao wana shida, watu wapumbavu hawawezi kuisha huku duniani, na serikali haiwezi wamaliza, ila watu wanaweza jizuia nao
 
Naandaa Kwanza Kichuri cha Kwetu Mkoani Mara ( Musoma ) ambacho Kitashusha Hasira zangu kisha nitakupa Ushirikiano lakini siyo leo kuwa Mvumilivu kwani kwa sasa Akili yangu yote iko Cairo Misri naiwazia Simba SC yangu kama leo itashinda au tutatolewa rrasmi AFL na tukitolewa tu Hasira zangu zitarejea tena hivyo nawe sana iombee Simba SC yangu Ushindi ili nikifurahi basi Kiulaini tu nikupe Ushirikiano wote sawa? au Wewe ni Yanga SC?
[emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28] Genta bhana. Kila la heri, ila hasira za Kanda hiyo nazo zinahitaji mjadala maalumu. Kila la heri

Sent from my CPH2207 using JamiiForums mobile app
 
Heee kumbe unatafutwa tena ndugu? Mm siyajui hayo. Ila watanzania wengi tu huwa tunashirikiana kupata ufumbuzi wa changamoto za kijamii makundi maalumu.

Ila kwa kuwa wewe una mazingira maalumu, haya basi ahsante Sana. Ngoja nami nione jinsi gani nitashirikiana na wengine wasio na mazingira maalumu ya maisha Ili kwa pamoja kufanya hatua za kuwasaidia wanawake watumiaji wa maeneo hayo yanayodaiwa ni hatarishi. Hatua ya kwanza ni wao pia watoe ushirikiano na tufanye mjadala nao maana jambo la kijamii Ili lifanikiwe, linahitaji jamii yenyewe ishiriki kwenye wito wa kufikiri ni jinsi gani tupate ufumbuzi.

Kushinda JF tu kuwinda thread zako kwa kweli ngumu, maana mambo ni mengi ya kufuatilia. Ngoja tuanze na huu wa Leo. Tukijaliwa. Ubarikiwe.

Sent from my CPH2207 using JamiiForums mobile app
"""Kushinda JF tu kuwinda thread zako kwa kweli ngumu, maana mambo ni mengi ya kufuatilia. Ngoja tuanze na huu wa Leo. Tukijaliwa. Ubarikiwe."""


Safii sana
 
Back
Top Bottom