Ikulu T
JF-Expert Member
- Aug 21, 2023
- 1,600
- 4,714
Nenda halaf ukute ndo arobaini yaoBasi na mimi nitaenda kufanya hiyo kazi ya u beach boy, kumbe wanafaidi sana.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nenda halaf ukute ndo arobaini yaoBasi na mimi nitaenda kufanya hiyo kazi ya u beach boy, kumbe wanafaidi sana.
Hii itabidi niiundie uzi kabisa 😅😅😅"""Kushinda JF tu kuwinda thread zako kwa kweli ngumu, maana mambo ni mengi ya kufuatilia. Ngoja tuanze na huu wa Leo. Tukijaliwa. Ubarikiwe."""
Safii sana
Asee.Ukiangalia hapa ni kama alitaka kulia kwa kilichotokea.
Now i feel sorry for her
View attachment 2791154
Nakubaliana na wewe mkuu 😂😂😂🤝🤝🤝🤝🤝🤝🤝Hii itabidi niiundie uzi kabisa 😅😅😅
Sio akifanya uenda ashafqnyiwa na hawezi kukwambia.tuache mzaha.hawa mabinti ni dada zetu,ndugu zetu,watoto wetu,mama zetu.wako asipofanyiwa leo basi ujue atafanyiwa kesho.tudhibiti leo.Dada yangu akifanya upuuzi wake huko hatoruhusu nijue.
Doctor Gwajima upo vizuri huwa upo karibu sana na jamii na unafaa kuwa kiongozi. hili limelalamikiwa sana, wengine wanawapeleka hadi ng'ambo ya pili kwenye mapango ambako watu hawawaoni, hata watu wazima huwa wanafanyishwa ngono sana na hawa watoto. anaogelea naye hadi pembeni ambapo hawaonekani ila wamezibwa na pango la kwenye maji, kule anamwambia nakuacha huku huku au tukifika katikati wakati nakurudisha nakuachia.Tafadhali wote wenye ushahidi au taarifa juu ya huu ukatili wanitumie ujumbe kwenye namba 0765345777 au 0734124191 ili tuelewe vizuri zaidi tupange uchunguzi kwa hatua zaidi. Na iwapo jambo hili lipo, huu ni unyanyasaji wa kijinsia na tukimpata au kuwapata hawa makatili, watatutajia mnyororo mzima uchukuliwe hatua. Aidha , taarifa zitasaidia kumulima utaratibu mzima wa hizi huduma.
Lakini ndugu wanawake na mabinti, jilindeni na huduma ambazo hazina usajili au utaratibu rasmi popote pale, ni hatari.
Naitwa Dkt Gwajima Dorothy Waziri wa Maendeleo ya Jamii Jinsia Wanawake na Makundi Maalumu. Ahsante Sana.
Ni kweli bibimkubwa, Mimi nimeshinda sana beach kule pia kuhusu wanaobakwa inawezekana ila asilimia kubwa ukiwatazama hao mabinti wanaoogeleshwa na hao vijana wengi hawajitambui kuanzia mavazi, umri hadi akili na ndo maana muda mwingine mimi niliwaona kama wenyewe hupenda kufanyiwa hivyo... Wengine hadi washakariri kabisa me Beach boy fulani ndo ataniogelesha sasa kwa hali hiyo si unaona kabisa hali hii ni kujitakia?, Cha pili Ni kwanini mabinti wanakubali kufundishwa kuogelea na watu wasiowafahamu? Tunafahamu kuna utofauti wa a jinsia ambao huchochea vishawishi pindi mnapokuwa close, Askari wa kiume hapaswi kumkamata mwanamke sasa iwaje mwanamke afunsishwe kuogelea na mwanaume tena ambae hana mahusiano nae? Kwenye hili naomba tu likifika suala la kuondoa hizi mambo basi m-deal na hao wasichana maana ndo kama hawajitambui.Ndiyo maana na mm nimeanza na kutoa wito kuhusu hao manusura kutoa taarifa Ili tuwe na maelezo rasmi. Huenda labda hawajui kuhusu huduma za kisheria kuhusu ukatili wa kijinsia. Nimewarahisishia na mawasiliano yangu Ili nikipata watano tu, hoja inajijenga vzr kwa data. Sifurahii kabisa taarifa za ukatili wa kijinsia na kwa watoto. Nadhani hata nyie humu mko kama mimi hamfurahii kabisa. Au vipi ndugu zangu?
Sent from my CPH2207 using JamiiForums mobile app
Free willDoctor Gwajima upo vizuri huwa upo karibu sana na jamii na unafaa kuwa kiongozi. hili limelalamikiwa sana, wengine wanawapeleka hadi ng'ambo ya pili kwenye mapango ambako watu hawawaoni, hata watu wazima huwa wanafanyishwa ngono sana na hawa watoto. anaogelea naye hadi pembeni ambapo hawaonekani ila wamezibwa na pango la kwenye maji, kule anamwambia nakuacha huku huku au tukifika katikati wakati nakurudisha nakuachia.
Jengine, utaniwia kwa lugha ngumu nitakayotumia, ni muhimu niwe wazi ili nianika ubaya ulivyo: nadhani baada ya kushughulikia hili, serikali pia isaidiane na wananchi tufichue madanguro pia yaliyokaa kama salon za kiume, kuna vidada vidogo mno vinatoa huduma za massage, sauna, waxing.
MASSAGE: hazifanywi na wataalamu waliosomea wa mishipa, unampa uti wa mgongo mtu asiyesomea, kuna siku watakuharibia nerve zote, hawafanyi kama wanavyofanya wachina na wafilipino, mdada alikuwa bar maid tu maisha yamempiga amejua kushikashika uso kwa scrub, anarukia kwenye kufanyia watu massage. wanakuambia uchague, full body, body to body au half. body to body mwanaume ninavua nguo zote na mwanamke anavua nguo zote halafu anaanza massage na kunibambia, ananikalia yuko uchi vilevile, mnaishia kufanya ngono na anakutoa pesa.hii nihatari kwasababu wanasambaza magonjwa sana. imagine kama mwanaume, unahisi uchi wa mwanamke huu hapa upo vilevile unakugusagusa na wakati mwingine umeshaanza kulowa kwasababu na yeye ni mwanadamu mwenye hisia. au ukigeuka juu unauona huu hapa na anakufanyia manjonjo ili mfanye ngono, kinachotokea mnafanya ngono halafu na massage inaishia hapohapo, unaenda tu kuoga. je? kafanya ngono na wangapi? wewe ni wa ngapi?
SAUNA: anakubembeleza wee, unaingia chumbani, kule unavua nguo zote, na yeye anavua zote, anamwagia maji kwenye yale mawe ya moto mvuke unakupiga afu anakuja kukupiga massage mwili wote ukiwa na lile jasho. sasa pale kwasababu kuna majasho, yeye hawezi kuja akiwa amevaa nguo zake, ingekuwa hivyo atabadilisha nguo mara ngapi kwa wateja wengi anaohudumia. hivyo na yeye anakuja uchi. anakufanyia massage akiwa mtupu, mnaishia kufanya ngono, na pesa anakutoa. hii haina tofauti na hiyo ya kwanza.
WAXING: hii wameiga Brazil, wanakunyoa nywele sehemu za siri kwa nta, akimaliza anakuosha na kukusafisha, na kama mwanaume halisi ukishamwonyesha mwanamke ubboo wako lazima utakata na wewe uione ya kwake, mnaishia kufanya ngono na pesa anakutoa.
wengi watauliza nimejuaje, nimeshafanya sana haya, ila niliacha baada ya kumrudia Mungu, ila yanafanyika sana na ndio maana salon inayolipa sana ni ile utakuta kuna wanawake wazurii wamekaa nje kama promotion wamevaa tight tu au vigauni vifupiii mapaja nje, hapo ndipo wanaume wengi wanaenda. taifa linateketea hivihivi, magonjwa yanasambazwa kwa watu kujifanya wana salon kumbe ni danguro. na bei yake ipo juu na sidhani kama hata kodi wanatoa.
kwa ajili ya kulinda maadili na kuokoa maisha ya wengine, yafaa serikali iwe inavamia hizi salon na massage palour au sauna na kuangalia yanayofanyika kama ndiyo waliyopatia leseni na kama wanatoa kodi stahiki. imagine, wanawake wapo nyumbani wanafikiri baba ameenda kunyoa salon kume kaenda kuzini, jioni akirudi analala na mwanamke huyo tena, aliyekuwa innocent nyumbani anapata UTI, HEPATITIS, NGOMA,KASWENDE na magonjwa mengine kwasababu tu ya hawa wadada malaya.
nimechomekea tu lakini.
Kavideo katamu chaputa akikaa kimasihara anaweza kukatumia kama material
Nadhani dhana nzima ya watu wenye uhitaji hujaifahamu vizuri hasa kuhusu baadhi ya determinants zake kwa baadhi ya watu wenye uhitaji kuwa ilikuwaje kisa mkasa wakafika walipo.Tumia cheo chako kusaidia watu wenye uhitaji sio hao makahaba
Anapelekwa kina fulani,jamaa anamuambia ampe k,ukizingua nakuzamisha au natoa upepoVile dada aliyebakwa anavyotoka na kuvaa chupi au namna alivyokuwa ansikilizia.?
Mkuu mimi huwa silei upumbavu wa mfanywa... Me naongea uhalisia, Hayo mambo ya kuleta huruma huruma kisa jinsia ni Ke hamtopata suluhu, Binafsi naamini huyo mkumbaf wa kike akigoma kwenda kuogeleshwa na asiemfahamu hatobakwa.Sio akifanya uenda ashafqnyiwa na hawezi kukwambia.tuache mzaha.hawa mabinti ni dada zetu,ndugu zetu,watoto wetu,mama zetu.wako asipofanyiwa leo basi ujue atafanyiwa kesho.tudhibiti leo.
Waanambiwa sana wasiende hukoUkiangalia hapa ni kama alitaka kulia kwa kilichotokea.
Now i feel sorry for her
View attachment 2791154
Bado sana. Mpaka siku binti au dada anakumbwa na masaibu haya ndiyo mtu unashtuka. Mfumo dume bado unatawala japo nimeona hata baadhi ya wanawake wenyewe wanaunga mkono. Badooo!
imagine, angekuwa binti yako, ungemwita "demu lenyewe mcharuko"? wanahitaji kusaidiwa.Waanambiwa sana wasiende huko
Hawakomi,dem lenyewe linaonekana
Mcharuko hao hawakomi
Ova
Kiongoz najua ninayoandika hapa,hilo suala la hapo coco beach lipo tangu 2013 hv,Ni la siku nying mno na huvumi kuhusu ubakaji huo upo tangu enz hizo na kila mtu analijua hilo.Nadhani dhana nzima ya watu wenye uhitaji hujaifahamu vizuri hasa kuhusu baadhi ya determinants zake kwa baadhi ya watu wenye uhitaji kuwa ilikuwaje kisa mkasa wakafika walipo.
Nikushauri sasa na wewe kuwa, vema tumia muda wako mwingine kupita kurasa za wizara kusoma utekelezaji wa wizara kuhusu makundi mbalimbali ya wahitaji.
Nina Imani ukipata uelewa mzuri wa genesis au kisa mkasa cha BAADHI ya watu wenye uhitaji, utarudi kunishukuru au utarudi kuniuliza kuhusu mpango wa kufanyia kazi determinants za kuelekea kwenye uhitaji. Sijui kama utanielewa vzr au nichambue zaidi.
Sent from my CPH2207 using JamiiForums mobile app
Uko sahihi kabisa, Hawa wengi wao ni vijana balehe waliokosa malezi na makuzi sahihi na matokeo yake wanajidanganya na kudanganywa vilevile. Mwisho wa siku ni hasara kwao kwa utitiri wa maradhi, mimba za utotoni na kisha labda vifo na kutuachia baadhi ya Yatima tunaanza kuhangaika nao. Mtu mmoja amesema niachane na haya nishughulike na Makundi ya wenye uhitaji. Na mm nikamrejesha kwenye genesis ya baadhi ya watu wa makundi hayo. Sijui kama kanielewa hoja yangu. ClegyNi kweli bibimkubwa, Mimi nimeshinda sana beach kule pia kuhusu wanaobakwa inawezekana ila asilimia kubwa ukiwatazama hao mabinti wanaoogeleshwa na hao vijana wengi hawajitambui kuanzia mavazi, umri hadi akili na ndo maana muda mwingine mimi niliwaona kama wenyewe hupenda kufanyiwa hivyo... Wengine hadi washakariri kabisa me Beach boy fulani ndo ataniogelesha sasa kwa hali hiyo si unaona kabisa hali hii ni kujitakia?, Cha pili Ni kwanini mabinti wanakubali kufundishwa kuogelea na watu wasiowafahamu? Tunafahamu kuna utofauti wa a jinsia ambao huchochea vishawishi pindi mnapokuwa close, Askari wa kiume hapaswi kumkamata mwanamke sasa iwaje mwanamke afunsishwe kuogelea na mwanaume tena ambae hana mahusiano nae? Kwenye hili naomba tu likifika suala la kuondoa hizi mambo basi m-deal na hao wasichana maana ndo kama hawajitambui.