RUSTEM PASHA
JF-Expert Member
- Jan 26, 2016
- 4,707
- 11,365
Ndio hivo mkuu, kuna jamaa yangu mmoja ye anachofanya nikwenda kuchukua wafanyakazi wa MO anawapandishia laki tatu kwenye mishahara yao, hakafu wanapiga kazi masaa 12, unyonyaji hauwezi kuisha.Hahahahah jamaa muuaji, Job security kwa 400k kwa mwezi? Maisha ya Dar yalivyo magumu utakuta hio 400 ni bila any other benefits kama bima,house allowance na Transport.
Bora hata huyo jamaako walau hata laki 7 aisee. Laki 3 umfanyishe kazi mtu mwezi mzima?Ndio hivo mkuu, kuna jamaa yangu mmoja ye anachofanya nikwenda kuchukua wafanyakazi wa MO anawapandishia laki tatu kwenye mishahara yao, hakafu wanapiga masaa 12, unyonyaji hauwezi kuisha.
Hapa Tanzania kuna Wahindi wengi wa India, wengi wa Uingereza, wengi wa Tanzania, wako pia wa Kanada na kwingineko. Raia wa nchi zote duniani popote duniani waliopo na kwa manufaa yao wanatakiwa na nchi zao wajisajiri kwenye Balozi za nchi zao ili wajulikane na waweze kusaidiwa ikibidi. Mjinga ni wewe si Balozi wa India!Kina Dewj ni wabongo sio wahindi.
Hapo tu ndio wajindi wa India wanapojichanganyaga wamidhani ni wahindi wenzao.
Kumbe ni wabongo tena wa mikoani
Wanasema hivi huku wakiruka na ungo, haooooooo safari Ziwa TanganyikaWaha Wa Kigoma Wanasema
Aho Lelo (Hapo Sasa)
Aisee nahisi ataweka michanga kwa vinywaji ama azidishe chemicals kwa hasira utajijua final consumer huko.🤔🤔Na sisi watumiaji wa bidhaa za Mo tunakenua meno tu, kibarua aliyechoka na manyanyaso ndio akutengenezee juisi unywe?
Laki 7 kwa mwezi,kazini masaa 12 perday ,6 days per week,mzee sio kitoto.Bora hata huyo jamaako walau hata laki 7 aisee. Laki 3 umfanyishe kazi mtu mwezi mzima?
MImi mjinga kivipi?Hapa Tanzania kuna Wahindi wengi wa India, wengi wa Uingereza, wengi wa Tanzania, wako pia wa Kanada na kwingineko. Raia wa nchi zote duniani popote duniani waliopo na kwa manufaa yao wanatakiwa na nchi zao wajisajiri kwenye Balozi za nchi zao ili wajulikane na waweze kusaidiwa ikibidi. Mjinga ni wewe si Balozi wa India!
Eeh kwahio figure mkuu atleast unaweza jibana bana ukabakia hata na chenchi kidogo. Kodi ya meza+ vocha+nauli 300k.Laki 7 kwa mwezi,kazini masaa 12 perday ,6 days per week,mzee sio kitoto.
Mzee Dewji huyo mzee inaonekana mafia sana since kitambo
Aisee
babake nae anafanya kazi apo apo?Mo ni mbabe mpaka kwa baba yake. Siku moja nipo ofcn kwake alim summon baba ake (Gulam) ofcn kwake kwa practise ya kawaida mtoto anatakiwa afuate baba!
Ufanisi ... performance mkuu.Hawa wahindi wanaoajiriwa Tanzania huwa sielewi ni kwanini wamejazana Tz huku, kuna watz kibao wenye sifa. Nampongeza Magufuli kwa kuanza kukataa ku renew vibali vyao vya kazi mara wamalizapo mikataba yao, nahili limeanza December hii.
No wonder MO anafanikiwa!Mo ni mbabe mpaka kwa baba yake. Siku moja nipo ofcn kwake alim summon baba ake (Gulam) ofcn kwake kwa practise ya kawaida mtoto anatakiwa afuate baba!
Wahindi wakisikia MeTL wanajua ni Choli cholii mwenzao kumbe MzaramoUbalozi wa India nchini Tanzania umewatahadharisha raia wake wote kutokubali kuajiriwa na kampuni ya MeTL ya Mo Dewji.
Hatua hiyo imekuja baada ya kupata taarifa za manyanyaso kwa wafanyakazi hao ikiwemo kulazimishwa kulazimisha kujaza kesi za uwongo na kukamatwa.
Katika taarifa yao Ubalozi wamesema walipokuwa wakipata malalamiko na kuwasiliana na uongozi wa MeTL wamekuwa wakipata majibu yasiyo na staha.
Katika taarifa yao waliyoandika Facebook wamesema kumekuwa na vishawishi wafute ‘post’ hiyo lakini kwa kuheshimu utu wa wahindi wamesema hawatafuta.
==
View attachment 1645166
https://www.facebook.com/
Tena mbongo.Hatimaye wahindi wamepata mkali wao