Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Muwe mnakataa pesa zao kwanza...Omba omba huna sauti kwa anayekusaidia.Usa hana haki ya kunyoshea Tanzania mkono
Mbowe aache maisha ya kihuni yeye ni kiongozi
Muwe mnakataa pesa zao kwanza...Omba omba huna sauti kwa anayekusaidia.
Sent using Jamii Forums mobile app
Kwanza wao ndo wanajikomba komba kutupa mikopoHakuna anayeomba ila kuna kukopa
Hatimaye tunaowaita kuwa ni mabeberu wazidi kuunguruma dhidi ya matukio ya kihuni ya kushambuliwa viongozi wa upinzani yanayoshamiri nchini.
View attachment 1473622
Mbinu Mpya za kuiba Hela za wafadhiliHatimaye tunaowaita kuwa ni mabeberu wazidi kuunguruma dhidi ya matukio ya kihuni ya kushambuliwa viongozi wa upinzani yanayoshamiri nchini.
View attachment 1473622
Taifa la Ubaguzi wa Rangi, Wauaji wa Watu weusi, Mashabiki wa Ushoga na usagaji, Watengeneza virusi vya Corona, Watengeneza virusi vya Ebola, Watengeneza virusi vya Ukimwi, Watengeneza Mbu wa Maralia, Watengeneza Mfumo wa uchumi Kandamizi wa kumtajilisha Mmarekani, N.k.Hatimaye tunaowaita kuwa ni mabeberu wazidi kuunguruma dhidi ya matukio ya kihuni ya kushambuliwa viongozi wa upinzani yanayoshamiri nchini.
View attachment 1473622
Sio wewe unaenda na kulialia kutaka pesa mtoto wa kiumeWakale mavi uko
Hapana, Ila Jana alijaribu kuikomoa pombeHivi mna uhakika gani kama ni pombe?? Na hizo pombe kwani kaanza kunywa jana??
Kwa aina hii ya uangukaji nilitarajia mkono,bega na mbavu vipate dhoruba.Mbinu Mpya za kuiba Hela za wafadhili
View attachment 1473648
Hivi mna uhakika gani kama ni pombe?? Na hizo pombe kwani kaanza kunywa jana??