Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Suala la ulevi si ndio wamesema hao wabunge?Ni aibu pia kiongozi wa kiwango cha Mbowe kuwa mlevi
Hujamsikia msigwaSuala la ulevi si ndio wamesema hao wabunge?
Hivi anayekaa na viongozi wenzake kubadilishana mawazo kisha mnamvizia kumshambulia na yule anayevizia shemeji zake na kuwabaka hadi mimba nani muhuni hapo?Usa hana haki ya kunyoshea Tanzania mkono nchiambayo maaskari wanaua Wananchi wake barabarani ndio inanyoshea Tanzania mkono
Wapeleke upumbafu kwao
Mbowe aache maisha ya kihuni yeye ni kiongozi
Sana tuu! Watu hawajui kinachokuja wangezimia. Haya matamko tamko ya wakubwa sio ya kuchezea kwa kuleta uchaguzi magumashi. Kunamtu atajikuta mtaroni kama Gaddafi.Huu ndio mwaka mwepesi kuondoa utawala huu madarakani.
Si umeona kilichotokea baada ya polisi kuua. Nguvu ya umma imeshinikiza mpaka polisi ameshitakiwa kwa kosa la kuua na si kuua bila kukusudia.Uvccm watasema mbona kwao G. Floyd kauwawa na polisi utadhani uovu hu-halalisha ouvu mwingine
Inasikitisha sana unapoona spika anatoa lugha kejeli vile, siju tunaelelea wapi?Si umeona kilichotokea baada ya polisi kuua. Nguvu ya umma imeshinikiza mpaka polisi ameshitakiwa kwa kosa la kuua na si kuua bila kukusudia.
Inasikitisha sana unapoona spika anatoa lugha kejeli vile, siju tunaelelea wapi?
Us Embassy imhamia mtaa wa Ufipa? Au ndio kukosa usingizi? Maana Bawacha mnaongoza kwa kutokuolewa.
Nenda mlangoni kwao kawalilie labda watakusikia...,nenda na pombeKateni misaada na mikopo na mtumie ushawishi wenu Benki ya Dunia na IMF wakate mikopo mpaka watapokubali kuruhusu ucchunguzi huru wa matukio haya.
Alikunywa nyagi & veve
Atapona soon.
Hawa jamaaa hata ukijiwekea Kinga watakudaka tuWazungu wanachofanyaga ni kukusanya ushahidi hata miaka mitano huku ukidharau maonyo yao wanayotoaga kiupole
Ukijakustuka umechelewa
Mark this.