Ubalozi wa Marekani: Mbowe ameshambuliwa kikatili, wakumbushia pia shambulio la Tundu Lissu huku kukiwa hakuna hatua zilizochukuliwa

Ubalozi wa Marekani: Mbowe ameshambuliwa kikatili, wakumbushia pia shambulio la Tundu Lissu huku kukiwa hakuna hatua zilizochukuliwa

Mtu kagonga zake Bia za kutosha...

Mpaka saa 7 usiku..kaamua arudi kwake...aka-miss ngazi....kadondoka...

Anaamka anasingizia kakanyagwa.....kama sio illusion za pombe ni nini???

Msigwa kasema , yeye , lema na mbowe walikua jana baa mpaka usiku.
Kwahiyo?
Kwanini wao wako salama?

Luckman1
 
Hatimaye tunaowaita kuwa ni mabeberu wazidi kuunguruma dhidi ya matukio ya kihuni ya kushambuliwa viongozi wa upinzani yanayoshamiri nchini.
View attachment 1473622
Huwezi toka kwa jirani ukaenda kwa jirani bali hutoka nyumbani kwenda kwa jirani

Shaaban Robert

Kwanini msimalizane na yenu huko mkamuacha huyu chapombe aende akatibiwe mguu.
 
Mashirikiano ya Tanzania na Marekani

Wadau wa Maendeleo mfano misaada toka kwa watu wa Marekani kwa wananchi wa Tanzania. Nchi marafiki huambiana ukweli ktk changamoto mbalimbali ziwe za kijamii, kiuchumi na kimataifa hili halikwepeki.

Mubashara na Mkurugenzi Mkazi USAID Tanzania Andy Karas-UBALOZINI LEO



source : USEmbassyTZ
 
USA wailaumu hii kitu ndio iliyomvamia mwenyekiti na kumkanyaga kanyaga [emoji23][emoji1787][emoji2960]
IMG-20200609-WA0016.jpg
 
Kateni misaada na mikopo na mtumie ushawishi wenu Benki ya Dunia na IMF wakate mikopo mpaka watapokubali kuruhusu ucchunguzi huru wa matukio haya.

Sasa wewe mpumbavu. Moja. Hiyo misaada huwa inawasaidia wakina Nani. Mbili. Uchunguzi wa watu wenye mapanga. Kama ungekuwa na akili hata 2%. Ungenyamaza.
 
Wazungu wanachofanyaga ni kukusanya ushahidi hata miaka mitano huku ukidharau maonyo yao wanayotoaga kiupole
Ukijakustuka umechelewa
Mark this.
Hata 10 to 15 yrs lengo ni kupata ushahidi usio na chembe ya shaka.wakikunyonga ujue hujaonewa. Waache wachekelee tu. Ipo siku watajuta sana.
 
Hatimaye tunaowaita kuwa ni mabeberu wazidi kuunguruma dhidi ya matukio ya kihuni ya kushambuliwa viongozi wa upinzani yanayoshamiri nchini.
View attachment 1473622
Mbona Statement ya KUMHUSU Floyd na wausi wengine waliouawa huko kwao mikononi mwa dola hawajatolea tamko?
Hivi tang Trump awe bosi wao kuna mtu anayetilia maanani wanayo yasema hawa watu?
 
Joyce Mukya nasikia anaishi hapo Medali alipoteleza Mbowe kwenye ngazi akielekea kumuona. Huyu Mukya ndo huyo demu viti maalum inayesemekana amemzalia Mwamba au huyu ni demu mpya?
 
Tahadhari kwa MODS; Msiue Uhuru wa mawazo kwa kuondoa hii kuficha ukweli.

Baada ya bunge la JMT Leo hii kuleta mijadala ya wazi kumshambulia Mbowe kuwa ni mlevi na kwamba hakushambuliwa na yeyote bali alianguka kwa ulevi ubalozi wa US umetoa tamko.
Hii ni kuonyesha kuwa imedharau mijadala ya wabunge wetu kuwa ni ujinga tuu uliokuwa unajadiliwa lakini ukweli ni kuwa ameshambuliwa.
Mapema Jumuia ya ulaya nayo ilitoa tamko kulaani pia tukio hilo.
Jambo hili ni aibu kwa Bunge letu pia kwa taifa. Inasikitisha tukio la kishenzi linatokea mataifa ya nje yaliyo jaa ustaarabu yanalaani sisi wanaojiita "WAHESHIMIWA" wanakejeli na kufurahia!
Ukweli Ndugai ni Mtanzania wa kwanza kulidhalilisha bunge kwa kiwango cha juu hadi kufanana na kusanyiko lisilo heshima.
yerickonyerere___CBOcsbEA3lb___.jpg
 
Tahadhari kwa MODS; Msiue Uhuru wa mawazo kwa kuondoa hii kuficha ukweli.

Baada ya bunge la JMT Leo hii kuleta mijadala ya wazi kumshambulia Mbowe kuwa ni mlevi na kwamba hakushambuliwa na yeyote bali alianguka kwa ulevi ubalozi wa US umetoa tamko.
Hii ni kuonyesha kuwa imedharau mijadala ya wabunge wetu kuwa ni ujinga tuu uliokuwa unajadiliwa lakini ukweli ni kuwa ameshambuliwa.
Mapema Jumuia ya ulaya nayo ilitoa tamko kulaani pia tukio hilo.
Jambo hili ni aibu kwa Bunge letu pia kwa taifa. Inasikitisha tukio la kishenzi linatokea mataifa ya nje yaliyo jaa ustaarabu yanalaani sisi wanaojiita "WAHESHIMIWA" wanakejeli na kufurahia!
Ukweli Ndugai ni Mtanzania wa kwanza kulidhalilisha bunge kwa kiwango cha juu hadi kufanana na kusanyiko lisilo heshima.View attachment 1473738

Ni aibu kuwa na Spika anayeitwa Ndugai.
 
Tahadhari kwa MODS; Msiue Uhuru wa mawazo kwa kuondoa hii kuficha ukweli.

Baada ya bunge la JMT Leo hii kuleta mijadala ya wazi kumshambulia Mbowe kuwa ni mlevi na kwamba hakushambuliwa na yeyote bali alianguka kwa ulevi ubalozi wa US umetoa tamko.
Hii ni kuonyesha kuwa imedharau mijadala ya wabunge wetu kuwa ni ujinga tuu uliokuwa unajadiliwa lakini ukweli ni kuwa ameshambuliwa.
Mapema Jumuia ya ulaya nayo ilitoa tamko kulaani pia tukio hilo.
Jambo hili ni aibu kwa Bunge letu pia kwa taifa. Inasikitisha tukio la kishenzi linatokea mataifa ya nje yaliyo jaa ustaarabu yanalaani sisi wanaojiita "WAHESHIMIWA" wanakejeli na kufurahia!
Ukweli Ndugai ni Mtanzania wa kwanza kulidhalilisha bunge kwa kiwango cha juu hadi kufanana na kusanyiko lisilo heshima.View attachment 1473738
Hawa so walitudharau hata njia ya maombi tuliotumia kwenye corona
 
Back
Top Bottom