Sifurahishwi na mtu yeyote kuvamiwa au kuvamia mwenzake, ila haijathibika kuwa ikiwa ni kweli kavamiwa.Kwa sababu chama cha mashetani (CCM) ndio kiko madarakani, basi ushetani wote unahusishwa moja kwa moja na CCM pamoja na serikali yake ya kishetani!
Walishakomaa kwenye mioyo yao imejaa unyama tu.Siasa zimewalemaza hadi uwezo wa kufikiri kibinadamu umekwisha.
Usihukumu mkuu bado hatujaujua ukweliWaliotumwa na maccm watafanyaje sasa??
Wewe si umeamua kumuamini yule mgonjwa aliyesema Mbowe alikua amelewa chakari, sisi wengine tumeamua kuamini taarifa za kuvamiwa kwake na wahuni wa chama cha mashetani (CCM).Sifurahishwi na mtu yeyote kuvamiwa au kuvamia mwenzake, ila haijathibika kuwa ikiwa ni kweli kavamiwa.
Sent using Jamii Forums mobile app
Hivi Chenge aliewahi kugonga na kuua usiku wa saa kumi alikuwa anatoka wapi?Hivi saa 7 za usiku mheshimiwa mbowe alikuwa akitoka wapi?
taarifa ya kushutiwa Tundu Lissu haijatoka hadi leo ndiyo maana!Wasalaam wanabodi,
Nimeona twit ya UBALOZI WA MAREKANI wakilaani au KUSIKITISHWA na kuvamiwa na kuumizwa kwa mbunge na kiongozi wa upinzani bungeni Mh Freeman Aikael Mbowe.
Kitu ambacho kimenishangaza ni kuwa UBALOZI huo umesema moja kwa moja kuwa mh Mbowe kashambuliwa ilhali taarifa za uchunguzi bado hazija toka na swala lenyewe bado lipo katika uchunguzi.
Je, wao wamepata wapi uhakika kuwa mh Mbowe kavamiwa? Je ni sawa kwao kutoa taarifa kabla vyombo vinavyohusika kutoa taarifa?
Kwa kuwa kumekuwa na conspiracy nyingi tu juu ya tukio hilo.
Sent using Jamii Forums mobile app
But don't trust so easily, unahakika gani ni CCM wamefanya hivyo?Wewe si umeamua kumuamini yule mgonjwa aliyesema Mbowe alikua amelewa chakari, sisi wengine tumeamua kuamini taarifa za kuvamiwa kwake na wahuni wa chama cha mashetani (CCM).
Hakushambuliwa na hakuumizwa ila kaumia kutokana na masanga.Ameshambuliwa au haku shambuliwa !?.Ameumizwa au hakuumizwa !?
Nakumbuka police walimuomba dereva wake asaidie kutoa maelezo akafichwataarifa ya kushutiwa Tundu Lissu haijatoka hadi leo ndiyo maana!
Kwa hiyo mlimshambulia mkitegema kisingizio chenu cha pombe kitawasaidieni kuficha ukweli?
Uhakika unatokana na ukweli kua CCM ndio yule abilisi anayetajwa kwenye Biblia kwamba kazi yake ni kuua, kuiba na kuharibu hivyo uuaji wowote kama ilivyotokea kwa Alphonce mawazo, uizi wowote kama ilivyotokea kwenye Escrow account na uharibifu wowote kama ilivyotokea kwenye kuharibu mipango ya kutengeneza bandari yenye hadhi ya kimataifa kule Bagamayo, mhusika lazima awe shetani ambaye hapa kwetu ni CCM!But don't trust so easily, unahakika gani ni CCM wamefanya hivyo?
Sent using Jamii Forums mobile app
Sirro alimuomba dereva wa Lissu asaidie uchunguzi akafichwa mkuuMpaka kesho bado tunasubiri ripoti dhidi ya shambulizi la lissu, halafu nyumbu mmoja anakuja kuwaonya ubalozi wa USA wasiseme chochote mpaka polisi watoe ripoti
Japo lijuakali nae sio chombo cha usalama [emoji23][emoji23]Lijualikali alisema alianguka kutokana na kuzidisha pombe
kwa mkeoHivi saa 7 za usiku mheshimiwa mbowe alikuwa akitoka wapi?
Duu!Uhakika unatokana na ukweli kua CCM ndio yule abilisi anayetajwa kwenye Biblia kwamba kazi yake ni kuua, kuiba na kuharibu hivyo uuaji wowote kama ilivyotokea kwa Alphonce mawazo, uizi wowote kama ilivyotokea kwenye Escrow account na uharibifu wowote kama ilivyotokea kwenye kuharibu mipango ya kutengeneza bandari yenye hadhi ya kimataifa kule Bagamayo, mhusika lazima awe shetani ambaye hapa kwetu ni CCM!
Naichukia CCM na wapuuzi wote wa CCM kuliko hata kifo!