Ubalozi wa Marekani: Mbowe ameshambuliwa kikatili, wakumbushia pia shambulio la Tundu Lissu huku kukiwa hakuna hatua zilizochukuliwa

Unatumika vibaya jitafakari.
 
Sirro alimuomba dereva wa Lissu asaidie uchunguzi akafichwa mkuu

Sent using Jamii Forums mobile app
Anapotibiwa dereva na lissu panajulikana polisi walishindwa kwenda kuwahoji? Enh hiyo compound ina walinzi na watu wengine kibao wanaoishi pale je walihojiwa? Je endapo lissu na dereva wake wangefia kwny tukio kwa hiyo polisi isengejihangaisha na uchunguzi?
 
Mambo ya vyama yasikuondolee furaha mkuu, wala never expect great things kutoka kwao mkuu, mwanadamu ni dhaifu, fanya kazi kwa bidii mtegemee Mungu utafanikiwa.

Just a piece of advice

Sent using Jamii Forums mobile app
Nafanya kazi kwa juhudi na wakati huohuo natumia juhudi nyingi zaidi kuichukia CCM na mashetani wote wanaoisupport CCM!
 
Hatuna haja ya kutetea wavamizi, labda kama Sisi ni sehemu ya huo uvamizi! Badala ya kusikitikia Wamarekani waliolaani shambulizi, sikikitikia waliotekeleza shambulio! #ifyoucantseetheproblemmaybeyouarepartoftheproblem!!
 

You're very shallow minded!
Hivi tukio lolote la kupigwa, kushambuliwa, kutekwa au kuuawa watu wanatakiwa wakae kimya mpaka Polisi wamalize Uchunguzi?
Lissu alishambuliwa tarehe 7/9/2017 na Polisi bado wanafanya Uchunguzi more than 2 years....watu wakae kimya tu wakimsubiri Kiroboto Muroto?? Pambaf zako!
 
Mtu kagonga zake Bia za kutosha...

Mpaka saa 7 usiku..kaamua arudi kwake...aka-miss ngazi....kadondoka...

Anaamka anasingizia kakanyagwa.....kama sio illusion za pombe ni nini???

Msigwa kasema , yeye , lema na mbowe walikua jana baa mpaka usiku.
Kumbe! Unafaa kumusaidia Afande Murotu mambo yaishe haraka kwa kuwa ulikuwepo kwenye tukio. Safi sana.
 
Tusitegemee lolote. Hii imetoka! Taifa linaelekea kubaya.
 
Huyu Balozi naye aache upumbavu wake. Anaacha kuzungumzia vitendo vya kibaguzi vinavyotendeka kwao anajifanya yeye ni mwema sana kwa Watanzania. Akome kabisa.
 
I just expressed my thoughts, halafu ndio mnaosemaga freedom of speech [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] ukitaka freedom of speech kibali na small minded kama sisi tujieleze and don't get angry...

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Aiseee kumbe hata hao waliomvunja mguu walimkosea sana,ilitakiwa wamfi*e kabisa...

Unayataka ya George Floyd yaje Tanzania? Try to think big brother! Acha roho za kishetani hizo na ujue Moto unakungoja jehanum!
 
Kateni misaada na mikopo na mtumie ushawishi wenu Benki ya Dunia na IMF wakate mikopo mpaka watapokubali kuruhusu ucchunguzi huru wa matukio haya.
Aisee tutateseka sana. WB na IMF wakikukazia utapata tabu sana tena hasa ukiwa nchi maskini kama Tanzania
 
Siku hawa jamaa wakikinukisha sijui itakuwaje ?
 
Usa hana haki ya kunyoshea Tanzania mkono nchiambayo maaskari wanaua Wananchi wake barabarani ndio inanyoshea Tanzania mkono
Wapeleke upumbafu kwao


Mbowe aache maisha ya kihuni yeye ni kiongozi
Kutwa kucha kuomba msaada na Jana mlikuwa mnajadiliwa barua yenu ya kuomba msamaha mpewe Mkopo kwa kuficha taarifa za mikopo mingine halafu unasemaje we kijani kibichi?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…