Ubalozi wa Marekani: Mbowe ameshambuliwa kikatili, wakumbushia pia shambulio la Tundu Lissu huku kukiwa hakuna hatua zilizochukuliwa

Ubalozi wa marekani utusaidie walinzi wa Mbowe walikuwa wapi kumlinda? na kama hawakuwepo sio kesai tunguli hizo anazo kazi ya hizo tunguli ni nini? Nazo zilishindwa kumlinda?

 
Pengine tukumbuke kuwa siku ya tukio Bashite alikuwa Dodoma. ... connection?
 
Inabidi sasa kipengere cha Kabila kiwe muhimu kwenye kuchagua viongozi maana makabila mengine hsyastahili uongozi.
 
Usa hana haki ya kunyoshea Tanzania mkono nchiambayo maaskari wanaua Wananchi wake barabarani ndio inanyoshea Tanzania mkono
Wapeleke upumbafu kwao


Mbowe aache maisha ya kihuni yeye ni kiongozi
Kwani askari waliofanya mauaji Marekani hawajafikishwa mahakamani?Vipi askari aliyempiga risasi Akwilina mbona anapeta tu.Mkitaka msifuatwefuatwe acheni kuwategemea kwa lolote!
 
AS A POLITICIAN Do you want to get American attention? dont worry drink alcohol like MBOWE then do this ,fall down complain that unknown government secret agents pushed you down
 
Wamarekani safisheni nyumba yenu kwanza,ni chafu mno.Suala la kifo Cha George Floyd hamjalimaliza mmeanza kudandia mambo mengine.Badala ya kutatua matatizo ya nchi yenu kwanza mnaanza kuangazia mambo ya mlevi,mshaurini apunguze kulewa.
Hujui kwamba kesi ipo tayari mahakamani wakati ya mashambulizi ya Lisu hajakamatwa hata mtuhumiwa mmoja.
 
Ni fahari na utu kutetea amani na haki Bali ni upumbavu na uhayawani kutetea uovu na ukatili so tu juu ya binaadam bali hata wanyama.
Mpuuzi mmoja ataongelea na kujidai kuumizwa na ya Floyd wa marekani huku akichekelea ya Mbowe na Lissu wa Tanzania inayomhusu!! Black Americans hutudharau sana tuu waafrika na hawahangaiki na uovu tunaofanyiwa lkn sisi kiherehere jojijoji.
Ubalozi wako sahihi,uovu ni uovu na hukemewa popote utokeapo iwe kwao ama kwingineko,mabalozi wengine wajifunze sio yanakaa kimya wanafkiri kaziyao nikugonga passport tuu.
Heko ubalozi wa marekani,tunaomba IGP na RPC dodoma wapigwe ban kuingia marekani iwapo wataendelea kukalia kimya maovu haya yanayoendelea
 
Wao pia wanatutegemea
Kwani askari waliofanya mauaji Marekani hawajafikishwa mahakamani?Vipi askari aliyempiga risasi Akwilina mbona anapeta tu.Mkitaka msifuatwefuatwe acheni kuwategemea kwa lolote!
 
Wazungu watusaidie kupiga kelele dunia ione ushenzi wa Serikali ya ccm
 
US hawana legitimacy ya kuongelea haki za binadamu kokote kule duniani, kwao polisi wanaua raia wazi wazi tena kwa kweupe mchana, na protesters dunia nzima wanapinga senseless acts za US. So wakae kimya, sisi Tz ndio tuna jua haki na usalama wa wananchi kuliko Marekani. Bogus
 
American Police are lawless

They killed George Floyd for alleged 20 fake dollars without evidence and without sending him to any court .He was supposed to be brought before the court of law.We didnt hear any statement from American ambassoador in Tanzania about our fellow black American George Floyd

 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…